If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu |
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. Kueleza maudhui ya ufahamu. Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Methali |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
2 | 2 |
Sarufi
|
Viulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya viulizi.Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali. Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 7-10
|
|
2 | 3-4 |
Sarufi
Kusoma Kusoma (fasihi) |
Vivumishi vya Idadi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo. Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi. -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kueleza
Kuandika Kujadiliana Kuuliza maswali Kazi ya vikundi Kufanya zoezi Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
|
2 | 5 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri. Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri. Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti. Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi. Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake. |
Maelezo
Ufafanuzi Kujadili vidokezo Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti Nakala halisi ya barua rasmi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
|
|
2 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Dhima ya Fasihi kwa jumla
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii. Kutaja sifa za fasihi simulizi. Kufafanua vipera vya fasihi simulizi. Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
|
|
3 | 1 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) |
Shairi: Mikanda Tujifungeni
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi. Kueleza sifa bainifu za shairi huru. Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi. -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Shairi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
|
|
3 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
3 | 3-4 |
Sarufi
|
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ Matumizi ya ‘O’ rejeshi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’ Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’ Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi. Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25 |
|
3 | 5 |
Sarufi
Kusoma (fasihi) |
Viashiria visisitizi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi. Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi. Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi. -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
|
|
3 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
4 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu. Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi. Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. |
Kusikiliza
Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
|
|
4 | 3-4 |
Sarufi
Kusoma (fasihi) |
Vivumishi kwa pekee
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee. Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee. Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee. -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
|
4 | 5 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka. Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi. Kujibu maswali yanahosu makala. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
|
|
4 | 6 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe. Kuandika resipe ya chakula akipendacho. Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari. Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni. Kutambua hasara za utengano. Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Majadiliano Mazoezi Kueleza Kusoma kwa sauti Kuigiza Kujadili ujumbe na muundo Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 39-41
|
|
5 | 1 |
Kusoma kwa Ufahamu
|
Umoja wa Kitaifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Usomaji
Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
|
|
5 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
5 | 3-4 |
Sarufi
Kusoma Kuandika |
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba Fasihi Simulizi; Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. Kuelezea muundo wa hotuba Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti Kuandika hotuba kwa hati nadhifu. Kueleza maana ya isimujamii. Kufafanua maana ya sajili katika lugha. Kuigiza mazungumzo. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi Kueleza Kujadili Kuhutubu mbele ya darasa Kusoma Kuigiza Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50 |
|
5 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani. Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni. Kutaja aina za utani. Kutunga utani mbalimbali. |
Kutamka
Kueleza Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
|
|
5 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
6 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi Simulizi; Ulumbi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii. Kusoma mifano kitabuni na kuchambua. Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo. |
Kusikiliza
Kuuliza maswali Kuandika Kusoma Utafiti (kazi ya ziada) |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
|
|
6 | 2 |
Sarufi
Kusoma |
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi. Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi. Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi. Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa. Kufafanua chimbuko la Kiswahili. Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
|
|
6 | 3-4 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) |
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo. Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe. Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo. -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kueleza
Kujadili Kuandika Kuigiza mazungumzo Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
|
6 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimujamii; Mahakamani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kudodosa
Kusoma Kujadili Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
|
|
6 | 6 |
Sarufi
Kuandika |
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT) Kutambua sifa za KN na KT. Kuonyesha KN na KT katika sentensi. Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo. Kueleza umuhimu wa vyombo za habari. Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio. |
Kueleza
Kusoma Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi Maswali ya dodoso Kujadili |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
|
|
7 |
Mid term |
|||||||
8 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
|
|
8 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
8 | 3-4 |
Sarufi
Kusoma |
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi Uchambuzi wa Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. |
Kueleza
Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi Maelezo Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya kiswahili Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80 |
|
8 | 5 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko. Kutaja sifa za barua za mwaliko. Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuchora |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
|
|
8 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
9 | 1 |
Kusoma
|
Shairi
Nyuki nimekoni?
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
|
|
9 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya - kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
kusikiliza
Kuchanganua |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
|
|
9 | 3-4 |
Kusoma
kuandika Fasihi |
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake Kutambua maana ya ratiba -kuandika kwa makini -kuandika insha nzuri ya maelezo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
kusoma
kuandika Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi Kitabu Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 100-101 |
|
9 | 5 |
Kusoma
|
Dini ya ulimwengu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
9 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi |
Visasili
Uundaji wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili vilivyo -kubainisha aina mbali mbali za Visasili Kutao mifano ya Visasili Kutambua maana ya mighani Sifa za mighani na umuhimu wa mighani kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
Kusoma
Kutaja Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
|
|
10 | 1 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni -kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
- Kusoma
Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
|
|
10 | 2 |
Kuandika
Fasihi |
Uandishi wa insha
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kutoa mifano
Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
|
|
10 | 3-4 |
Kusoma
Marudio
2 |
Kukandamizwa
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
- Kueleza
Kutaja Mifano -kusoma - kutaja mifano |
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
10 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Fasihi simulizi
Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
Maelezo
- Maelezo -Kuandika |
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi |
ngano
‘Fasihi simulizi’ Uk 112-114 |
|
10 | 6 |
Fasihi
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
11 | 1 |
Fasihi
Kusoma |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu - Kueleza Kutaja Mifano |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
11 | 2 |
2
|
sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
11 | 3-4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika Fasihi |
Fasihi simulizi
Ushairi NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Maelezo
- Maelezo Kuandika Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi |
|
11 | 5 |
Fasihi
kusoma |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu - Kusoma Kukariri |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
11 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma |
kitabu cha mwanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
12 | 1 |
Sarufi
Kuandika |
vishazi
wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi |
- Kuandika
Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
|
|
12 | 2 |
Fasihi
andishi
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
|
12 | 3-4 |
Fasihi
andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu - Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Kamusi Kitabu Kamusi |
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136 |
|
12 | 5 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Maelezo
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
12 | 6 |
Fasihi
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
|
Your Name Comes Here