Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2
Sarufi
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya viulizi.Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali.
Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 7-10
2 3-4
Sarufi
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Vivumishi vya Idadi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
2 5
Kusoma
Kuandika
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi.
Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
2 6
Kusikiliza na kuzungumza
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii.
Kutaja sifa za fasihi simulizi.
Kufafanua vipera vya fasihi simulizi.
Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
3 1
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Shairi: Mikanda Tujifungeni
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi.
Kueleza sifa bainifu za shairi huru.
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi.
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Shairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
3 2
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
3 3-4
Sarufi
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’
Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
3 5
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Viashiria visisitizi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi.
Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi.
Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi.
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
3 6
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
4 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu.
Kujibu maswali kutokana na ufahamu.
Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu.
Kusikiliza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
4 3-4
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Vivumishi kwa pekee
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.

-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili

Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
4 5
Kusoma
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
4 6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe.
Kuandika resipe ya chakula akipendacho.
Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari.
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni.
Kutambua hasara za utengano.
Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kueleza
Kusoma kwa sauti
Kuigiza
Kujadili ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 39-41
5 1
Kusoma kwa Ufahamu
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
5 2
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 3-4
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Kuelezea muundo wa hotuba
Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti
Kuandika hotuba kwa hati nadhifu.
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kueleza
Kujadili
Kuhutubu mbele ya darasa
Kusoma
Kuigiza
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
5 6
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
6 1
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii.
Kusoma mifano kitabuni na kuchambua.
Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo.
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuandika
Kusoma
Utafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
6 2
Sarufi
Kusoma
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.
Kufafanua chimbuko la Kiswahili.
Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
6 3-4
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo.
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe.
Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo.

-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kuigiza mazungumzo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili

Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
6 5
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
6 6
Sarufi
Kuandika
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Maswali ya dodoso
Kujadili
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
7

Mid term

8 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
8 2
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
8 3-4
Sarufi
Kusoma
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.

Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
8 5
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
8 6
Kusoma (fasihi)
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
9 1
Kusoma
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
9 2
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
kusikiliza
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
9 3-4
Kusoma
kuandika
Fasihi
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
kusoma
kuandika
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi

Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
9 5
Kusoma
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
9 6
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Visasili
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kusoma
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
10 1
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
10 2
Kuandika
Fasihi
Uandishi wa insha
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kutoa mifano
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
10 3-4
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa

Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
-kusoma            - kutaja mifano

Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
10 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
Maelezo
-          Maelezo
-Kuandika
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
10 6
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 1
Fasihi
Kusoma
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 2
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
11 3-4
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi
Fasihi simulizi
Ushairi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Maelezo
-          Maelezo
Kuandika
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk

NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 5
Fasihi
kusoma
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
11 6
Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
12 1
Sarufi
Kuandika
vishazi
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
12 2
Fasihi andishi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
12 3-4
Fasihi andishi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
Kitabu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
12 5
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Maelezo
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
12 6
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi

Your Name Comes Here


Download

Feedback