If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
3 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimu jamii; Sajili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
3 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi Sarufi |
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi Vivumishi vya Idadi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu. Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu. Kujibu maswali kwa usahihi. Kueleza maana ya viulizi.Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali. Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi. Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo. Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Utafiti Kazi ya vikundi Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kamusi ya Methali |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
|
|
3 | 3 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) Kusoma |
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia Kusoma magazeti: Tahariri na Habari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kueleza maana ya tahariri. Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri. Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika Maelezo Ufafanuzi Kujadili vidokezo Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 4 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Dhima ya Fasihi kwa jumla |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi. Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake. Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii. Kutaja sifa za fasihi simulizi. Kufafanua vipera vya fasihi simulizi. Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi |
Maelezo
Ufafanuzi Kujadili vidokezo Kuandika Kufanya zoezi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Nakala halisi ya barua rasmi Kitabu cha Fasihi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 13-16
|
|
3 | 5 |
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi. Kueleza sifa bainifu za shairi huru. Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi. Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia. Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule. Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali. Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi Kusoma Kujadili Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Shairi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
|
|
3 | 6 |
Sarufi
|
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ Matumizi ya ‘O’ rejeshi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’ Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi. Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’ Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi. Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
|
|
4 | 1 |
Sarufi
Kusoma (fasihi) Kusoma (fasihi) |
Viashiria visisitizi
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi. Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi. Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi. Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule. Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule. Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi Kujadili Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
|
|
4 | 2 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu. Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi. Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika Kusikiliza Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
|
|
4 | 3 |
Sarufi
Kusoma (fasihi) |
Vivumishi kwa pekee
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee. Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee. Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee. Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Maelezo
Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi Kusoma Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
|
|
4 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kuandika |
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. Kueleza maana ya maswala ibuka. Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi. Kujibu maswali yanahosu makala. Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe. Kuandika resipe ya chakula akipendacho. Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti Usomaji Maelezo Maswali na majibu. Maelezo Ufafanuzi Maswali na majibu Majadiliano Mazoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu Kusoma (fasihi) |
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa Matumizi ya lugha katika fasihi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni. Kutambua hasara za utengano. Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi. Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake. Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule) Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule. |
Kueleza
Kusoma kwa sauti Kuigiza Kujadili ujumbe na muundo Kujibu maswali Usomaji Maelezo Maswali na majibu. Utafiti Kusoma Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 42-43
|
|
4 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi Kusoma |
Matumizi ya lugha katika fasihi
Vielezi Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake. Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule) Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule. Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. Kuelezea muundo wa hotuba Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti Kuandika hotuba kwa hati nadhifu. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti Maelezo Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi Kuhutubu mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 1 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) |
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii. Kufafanua maana ya sajili katika lugha. Kuigiza mazungumzo. Kueleza maana ya utani. Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni. Kutaja aina za utani. Kutunga utani mbalimbali. Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali. Kutumia tamthilia teule kutoa mifano. Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe. |
Kusoma
Kuigiza Kujadili Kusikiliza Kuandika Kutamka Kueleza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
|
|
5 | 2 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi andishi;
Matumizi ya lugha katika tamthilia
Fasihi Simulizi; Ulumbi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali. Kutumia tamthilia teule kutoa mifano. Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe. Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii. Kusoma mifano kitabuni na kuchambua. Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo. |
Kusoma
Kujadili Kueleza Kuandika Kusikiliza Kuuliza maswali Utafiti (kazi ya ziada) |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 3 |
Sarufi
Kusoma Kuandika |
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi. Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi. Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi. Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa. Kufafanua chimbuko la Kiswahili. Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki. Kueleza muundo wa mazungumzo. Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe. Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali Kuigiza mazungumzo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
|
|
5 | 4 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi andishi;
Maadili na mafunzo katika tamthilia
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia Isimujamii; Mahakamani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii. Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Maswali na majibu Kuandika Kudodosa Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 5 |
Sarufi
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT) Kutambua sifa za KN na KT. Kuonyesha KN na KT katika sentensi. Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo. Kueleza umuhimu wa vyombo za habari. Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio. Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. |
Kueleza
Kusoma Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi Maswali ya dodoso Kujadili Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
|
|
5 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi |
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kutaja maadili katika tamthilia Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika Kueleza Kutunga sentensi Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. Kueleza maana ya barua ya mwaliko. Kutaja sifa za barua za mwaliko. Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko. |
Maelezo
Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu Kusoma Kujadili Kuandika Kuchora |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
|
|
6 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
Muhtasari;
Tamthilia
Muhtasari; Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 3 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea sarufi |
Shairi
Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi Vinyume vya vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi -sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya - kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kusoma
kusikiliza Kuchanganua |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
|
|
6 | 4 |
Kusoma
kuandika Kusikiliza na kuzungumza |
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake Kutambua maana ya ratiba -kuandika kwa makini -kuandika insha nzuri ya maelezo -kueleza maana ya Visasili vilivyo -kubainisha aina mbali mbali za Visasili Kutao mifano ya Visasili Kutambua maana ya mighani Sifa za mighani na umuhimu wa mighani |
kusoma
kuandika |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 |
|
6 | 5 |
sarufi
Kuandika |
Uundaji wa nomino
Uundaji wa nomino Uandishi wa insha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu -kutaja aina mbalimbali za sentensi -kuandika isnha ya masimulizi |
Kutaja
Kueleza - Kusoma Kutoa mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
6 | 6 |
Fasihi
Kusoma Marudio Kusikiliza na kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa -kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
- Kusoma
Kuchambua - Kueleza Kutaja Mifano Maelezo |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 1 |
Kuandika
Fasihi |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Maelezo
-Kuandika - Uchambuzi Majadiliano |
kitabu cha mwanafunzi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
7 | 2 |
Fasihi
Kusoma 2 |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
- Uchambuzi
Majadiliano - Kueleza Kutaja Mifano - Kueleza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika Fasihi |
Fasihi simulizi
Ushairi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
Maelezo
- Maelezo Kuandika - Uchambuzi Majadiliano |
Kitabu
Kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
|
|
7 | 4 |
Fasihi
kusoma Kusikiliza na kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mchezo wa kuigiza Maamkizi na mazungumzo- isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo -kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
- Uchambuzi
Majadiliano - Kusoma Kukariri Kuandika Kutunga sentensi |
Hadithi fupi
kamusi Kitabu kitabu cha mwanafunzi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 5 |
Sarufi
Kuandika Fasihi andishi |
vishazi
wasifu BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
- Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
|
|
7 | 6 |
Fasihi
andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusoma kwa zamu
- Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 |
Midterm |
|||||||
9 | 1 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Maelezo
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
9 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu - Kusoma Kujibu maswali |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
9 | 3 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi kuandika |
Miviga
setensi ya Kiswahili utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusikiliza
kuzungumza Maelezo Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
9 | 4 |
Fasihi
Fasihi andishi Ufahamu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Haki zetu binadamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti -kuandika muhtasari wa matukio hayo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu Kutaja kueleza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
9 | 5 |
Kuzikiliza na kuongea
sarufi Kuandika |
maigizo
aina za sentensi utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili Kuandika kumbukumbu |
Kuchambua
Mjadala Kusoma kuandika |
kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
9 | 6 |
Fasihi simulizi
Fasihi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio -kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma
kuchambua - Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
10 | 1 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea sarufi |
Haki zetu binadamu
maigizo aina za sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu -kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Kutaja
kueleza Kuchambua Mjadala |
kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
10 | 2 |
Kuandika
Fasihi simulizi Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio -kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma
kuandika kuchambua - Kusoma |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
10 | 3 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza sarufi |
usalama barabarani
ushairi nyimbo uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo kukariri mashairi kuimba nyimno kutambua dhima ya nyimbo kutunga mifano wa wimbo -kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi -kutaja aina ya sentensi sahili kujaza jedwali kuandika sentesni ambatano kuandika sentesni changamano |
- Kusoma
Jibu maswali Kisikiliza na kushiriki Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159 |
|
10 | 4 |
Kuandika
Fasihi Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
tahadhari
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’ Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari ilani na onyo -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
Kuandika
kueleza - Kusoma Kuchambua |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
|
|
10 | 5 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
uzalendo
Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
10 | 6 |
kusoma
Kuandika Fasihi |
uzalendo
mahojiano na dayolojia Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
11 | 1 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea Sarufi |
Uzalendo
Hotuba Nyakati na hali marudio |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano Kutaja Kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
11 | 2 |
kusoma
Kuandika Fasihi |
uzalendo
mahojiano na dayolojia Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
11 | 3 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea Sarufi |
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano Kutaja Kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
11 | 4 |
kusoma
Kuandika Fasihi |
Ukimwi
Barua meme Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
11 | 5 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
Shairi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
11 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi |
Vitenzi
Mazingira fomu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
12 | 1 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Ufahamu Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
12 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi |
Methali
Utungaji wa kisanii Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
12 | 3 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Urithi Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
12 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Maghani
Matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano mwanfunnzi aweze kuandika matangazo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
|
|
12 | 5 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
|
|
12 | 6 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Vitenzi
Ngomezi Ripoti Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano mwanafunzi aweze kuandika repoti -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
|
|
13 |
Endterm |
Your Name Comes Here