Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Sarufi
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
2 2
sarufi
Kusoma
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
Kuchanganua
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
2 3-4
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Visasili
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kusoma
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
2 5
sarufi
Kuandika
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-kuandika isnha ya masimulizi
-          Kusoma
Kueleza
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
2 6
Kusoma Marudio
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
3

MJARABU WA KWANZA

4 1
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
4 3-4
Kuandika
Kusoma
2
Ushairi
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Maelezo
-Kuandika
-          Kueleza
Kutaja Mifano
-          Kueleza
Kutaja Mifano
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
4 5
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
4 6
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
5 1
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
-     
Kusoma
Kukariri
Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
5 2
Sarufi
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
5 3-4
Kuandika
Kusikiliza na kuongea
sarufi
wasifu
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi

kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kusikiliza
kuzungumza
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
5 5
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
5 6
Kusikiliza na kuongea
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
6 1
sarufi
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
6 2
kuandika
Kuzikiliza na kuongea
utungaji wa kiuamilifu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
6 3-4
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Kuandika kumbukumbu
Mjadala
Kusoma
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
6 5
Fasihi simulizi
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma
kuchambua
-          Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 6
Ufahamu
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
7 1
Kuzikiliza na kuongea
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
7 2
sarufi
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
7 3-4
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma
kuandika
kuchambua
-          Kusoma
Kuchambua
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 5
Kusoma
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
-          Kusoma
Jibu maswali
Kitabu
Kamusi

Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159
7 6
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Kisikiliza na kushiriki
Maelezo
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
8

MITIHANI WA KATI YA MUHULA

9 1
Kuandika
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
Kuandika
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
9 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
9

LIKIZO FUPI

10 1
Fasihi
Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
10 2
Fasihi
Sarufi
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kusoma
Kuchambua
Kutaja
Kueleza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
10 3-4
Fasihi
Sarufi
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kusoma
Kuchambua
Kutaja
Kueleza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 

kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
10 5
Kuandika
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
10 6
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
11 1
kuandika
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
11 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
11 3-4
Fasihi andishi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusoma kwa zamu
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
11 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
11 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 1
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Urithi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
12 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
12 3-4
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Ngomezi
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
mwanafunzi aweze kuandika repoti
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
12 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13

MITIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGWA KWA SHULE


Your Name Comes Here


Download

Feedback