Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
Kusoma
kusikiliza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
2 2
sarufi
Kusoma
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
Kuchanganua
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
2 3
kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
2 4
Fasihi
Kusoma
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Visasili
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kusoma
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
2 6
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
3 1
Kuandika
Fasihi
Uandishi wa insha
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kutoa mifano
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
3 2
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
3 3
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
3 4
Kuandika
Fasihi
Ushairi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-          Maelezo
-Kuandika
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
3 5
Fasihi
Kusoma
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
3 6
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
Maelezo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
4 2
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
4 3
kusoma
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
-      Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
4 5
Kuandika
Fasihi andishi
wasifu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
4 6
Fasihi andishi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 1
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
5 2
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Maelezo
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
5 3
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 4
Fasihi andishi
Kusoma
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
5 5
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Kusikiliza
kuzungumza
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
5 6
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
6 1
Fasihi
Fasihi andishi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
6 2
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kutaja
kueleza
Kuchambua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
6 3
sarufi
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
6 4
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
kuandika
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
6 5
Fasihi
Ufahamu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kutaja
kueleza
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
6 6
Kuzikiliza na kuongea
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
7 1
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Kuandika kumbukumbu
Mjadala
Kusoma
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
7 2
Fasihi simulizi
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
7 3
Kusoma
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
-          Kusoma
Jibu maswali
Kitabu
Kamusi

Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159
7 4
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Kisikiliza na kushiriki
Maelezo
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
7 5
Kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuandika
kueleza
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
7 6
Fasihi
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
NGUU ZA JADI na Clara Momanyi
8-9

Endterm exam


Your Name Comes Here


Download

Feedback