Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
3 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
3 2
Sarufi
Viulizi
Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya viulizi.
Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali.
Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi.
somo ;
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.
Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 7-10
3 3
Kusoma
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 4-5
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
somo, ;
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi.
Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kufanya zoezi
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Nakala halisi ya barua rasmi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 13-16
3 6
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
4 1
kusoma
Kuandika
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
4 2
Fasihi
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
4 3
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
4 4-5
Sarufi
kusoma
Kuandika
Nyakati na hali marudio
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
somo
kutambua aina za mahojiano
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Tamthilia

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
4 6
Fasihi
Kusoma
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Jibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 1
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
5 2
kusoma
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
5 3
Kuandika
Fasihi
Barua meme
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
5 4-5
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi
Vitenzi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 6
kuandika
Fasihi
Mazingira fomu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
6 1
Fasihi andishi
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 2
Kusoma
Sarufi
Ufahamu
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
6 3
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
6 4-5
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 6
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
7 1
kuandika
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
7 2
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
7 3
Kusoma
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
7 4-5
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Vitenzi
Ngomezi
Ripoti
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
kamusi
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
7 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 

Your Name Comes Here


Download

Feedback