If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
3 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Isimu jamii; Sajili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
3 | 2 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) |
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tahariri. Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri. Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti. Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi. Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake. |
Maelezo
Ufafanuzi Kujadili vidokezo Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti Nakala halisi ya barua rasmi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
|
|
3 | 4-5 |
Kusoma
Kuandika Kusikiliza na kuzungumza Sarufi Kusoma kwa Ufahamu |
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani Vivumishi kwa pekee Umoja wa Kitaifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu. Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi. Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. somo, ; Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. Kueleza maana ya vivumishi vya pekee. Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee. Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee. Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika Kusikiliza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi Maelezo Ufafanuzi Majadiliano Uchunguzi Uvumbuzi Kazi ya vikundi Usomaji Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33 |
|
3 | 6 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya isimujamii. Kufafanua maana ya sajili katika lugha. Kuigiza mazungumzo. Kueleza maana ya utani. Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni. Kutaja aina za utani. Kutunga utani mbalimbali. |
Kusoma
Kuigiza Kujadili Kusikiliza Kuandika Kutamka Kueleza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
|
|
4 | 1 |
Kusoma
Kuandika |
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa. Kufafanua chimbuko la Kiswahili. Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki. Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo. Kueleza umuhimu wa vyombo za habari. Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali Maswali ya dodoso |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) |
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kutaja maadili katika tamthilia Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuigiza Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
|
|
4 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa kina;
Fasihi andishi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi Muhtasari; Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kutaja maadili katika tamthilia Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika Kueleza Kutunga sentensi Kufanya zoezi Kueleza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 4-5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma Kusikiliza na kuongea sarufi |
Muhtasari;
Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni? Fasihi Simulizi Vinyume vya vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. somo somo -sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya - kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi kusikiliza Kuchanganua |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93 |
|
4 | 6 |
Kusoma
Kusoma Kusikiliza na kuzungumza |
Maenezi ya Kiswahili
Dini ya ulimwengu Maamkizi na mazungumzo- isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
kusoma
Kuandika Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 |
|
5 | 1 |
Sarufi
Kuandika |
vishazi
wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi |
- Kuandika
Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
|
|
5 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Kusikiliza
kuzungumza Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
5 | 3 |
kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma
Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
5 | 4-5 |
Fasihi
kusoma Kuandika |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’ Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. uzalendo mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano |
Kuchambua
- Kusoma Kusoma Kuchambua Kufupisha |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Tamthilia kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170 |
|
5 | 6 |
Kusoma
Kuandika |
Uzalendo
mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Jibu maswali Kusoma Kufupisha |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 1 |
Kusoma
Sarufi |
Uraibu
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kusoma
Jibu maswali Kutaja Kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
6 | 2 |
kusoma
Kuandika Fasihi |
Ukimwi
Barua meme Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
6 | 3 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
Shairi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
6 | 4-5 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Vitenzi
Mazingira fomu Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
|
6 | 6 |
Kusoma
Sarufi Kusikiliza na kuongea |
Ufahamu
Vitenzi Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena somo kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
7 | 1 |
kuandika
Fasihi |
Utungaji wa kisanii
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
|
|
7 | 2 |
Fasihi andishi
Kusoma |
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Urithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 3 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea kuandika |
Vitenzi
Maghani Matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka somo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano mwanfunnzi aweze kuandika matangazo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
|
|
7 | 4-5 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma Sarufi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo somo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209 |
|
7 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Ngomezi
Ripoti Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kuandika repoti -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
Your Name Comes Here