Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
3 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
3 2
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 3
Kusoma
Kuandika
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi.
Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
3 4-5
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
somo, ;
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu.
Kujibu maswali kutokana na ufahamu.
Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu.
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Usomaji
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
3 6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kutamka
Kueleza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
4 1
Kusoma
Kuandika
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.
Kufafanua chimbuko la Kiswahili.
Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki.
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Maswali ya dodoso
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
4 3
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Muhtasari; Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kueleza
Kutunga sentensi
Kufanya zoezi
Kueleza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 4-5
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Muhtasari; Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
somo
somo
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
kusikiliza
Kuchanganua
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
4 6
Kusoma
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Maenezi ya Kiswahili
Dini ya ulimwengu
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
kusoma
Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
5 1
Sarufi
Kuandika
vishazi
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
5 2
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Kusikiliza
kuzungumza
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
5 3
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
5 4-5
Fasihi
kusoma
Kuandika
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’
Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
kutambua aina za mahojiano
Kuchambua
-          Kusoma
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Tamthilia
kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
5 6
Kusoma
Kuandika
Uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Jibu maswali
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
6 1
Kusoma
Sarufi
Uraibu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kusoma
Jibu maswali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
6 2
kusoma
Kuandika
Fasihi
Ukimwi
Barua meme
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
6 3
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
6 4-5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Vitenzi
Mazingira fomu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 6
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Ufahamu
Vitenzi
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
7 1
kuandika
Fasihi
Utungaji wa kisanii
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
7 2
Fasihi andishi
Kusoma
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 3
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
7 4-5
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
7 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Ngomezi
Ripoti
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207

Your Name Comes Here


Download

Feedback