If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1-2 |
Exam 1 |
|||||||
2 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Shairi-Njaa nipishe na kando
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 3-4 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mualiko. Kutambua sifa za mialiko. Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko. Kuandika barua ya mualiko. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240) |
|
2 | 5 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Shairi-Kwaheri tunakuaga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi . Kujadili mtindo wa shairi hilo. Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
2 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
|
Majadiliano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya majadiliano. Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi. Kutaja sifa za majadiliano. Kueleza maana ya muhtasari. Kutambua umuhimu wa muhtasari. |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 1 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 2 |
Kusoma kwa ufahamu
|
Nidhamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu . Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema. Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo. Kueleza mtindo wa shairi hilo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
3 | 3-4 |
Kusoma kwa mapana
Kuandika |
Maadili
Uandishi wa Insha - Methali |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya maadili. Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana. Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa. Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo. somo ; Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali. Kujadili utunzi wa insha. Kuandika insha ya methali yeyote. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 230) |
|
3 | 5 |
Kusoma
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 6 |
Kusoma
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 1 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia. Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule. Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia. Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule. Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 3-4 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule. Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule. Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 5 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule. Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule. Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kutafiti zaidi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 1 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano. Kueleza mtindo katika tamthilia. Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 3-4 |
Kusoma (fasihi)
|
Matumizi ya lugha katika fasihi
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake. Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule) Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule. somo, ; Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali. Kutumia tamthilia teule kutoa mifano. Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Utafiti Kusoma Kujadili Kueleza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 5 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi;
Matumizi ya lugha katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali. Kutumia tamthilia teule kutoa mifano. Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe. |
Kusoma
Kujadili Kueleza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi;
Maadili na mafunzo katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii. |
Kusoma
Kujadili Maswali na majibu Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 1 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
kusoma
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
|
6 | 2 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
- Kusoma
Kuchambua |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 3-4 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika somo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Kusoma
Kuchambua - Uchambuzi Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 5 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 6 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 1 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Hadithi fupi
kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 2 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Hadithi fupi
kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 3-4 |
Fasihi
andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 5 |
Fasihi
andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 | 6 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 |
Henrok Exam |
|||||||
9 |
Revision and closing |
Your Name Comes Here