Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1-2

Exam 1

2 3
Ufahamu
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
2 4
Kuandika
Kusoma
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kuandika kumbukumbu
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
kuandika
-          Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
ushairi nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
2 6
Kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
3 1-2
Kisikiliza na kuongea
kusoma
Kuandika
Hotuba
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
somo
kutambua aina za mahojiano
Malumbano
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Tamthilia

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
3 3
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
3 4
Sarufi
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
3 5
kusoma
Kuandika
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
3 6
Kusoma
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
4 1-2
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
kusoma
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Uakifishaji
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
somo
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kuchambua
Kitabu
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
4 3
Kusoma
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
4 4
kuandika
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
4 5
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
4 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 1-2
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
5 3
kuandika
Kusoma
Matangazo
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kufupisha
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
5 4
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
5 5
Kusikiliza na kuongea
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
5 6
kuandika
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
6 1-2
Fasihi
Hadithi fupi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha

Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi


Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 3
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi

Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 4
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 5
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 5-6
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7-8

Henrok Exam

9

Revision and closing


Your Name Comes Here


Download

Feedback