If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1-2 |
Exam 1 |
|||||||
2 | 3 |
Ufahamu
|
Haki zetu binadamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
2 | 4 |
Kuandika
Kusoma |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
usalama barabarani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kuandika kumbukumbu -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
kuandika - Kusoma Jibu maswali |
kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
ushairi
nyimbo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kukariri mashairi kuimba nyimno kutambua dhima ya nyimbo kutunga mifano wa wimbo |
Kisikiliza na kushiriki
|
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
|
|
2 | 6 |
Kusoma
|
uzalendo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
3 | 1-2 |
Kisikiliza na kuongea
kusoma Kuandika |
Hotuba
uzalendo mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali somo kutambua aina za mahojiano |
Malumbano
Kusoma Kuchambua Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Tamthilia kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174 |
|
3 | 3 |
Kisikiliza na kuongea
|
Hotuba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
3 | 4 |
Sarufi
|
Nyakati na hali marudio
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
|
|
3 | 5 |
kusoma
Kuandika |
uzalendo
mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
3 | 6 |
Kusoma
|
Uraibu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
4 | 1-2 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi kusoma |
Fasihi simulizi
Mafumbo
Misimu
Kazi mradi
Uakifishaji Ukimwi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu somo Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Malumbano
Kutaja Kueleza Kusoma Kuchambua |
Kitabu
kitabu Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181 |
|
4 | 3 |
Kusoma
|
Shairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
4 | 4 |
kuandika
|
Mazingira
fomu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
|
|
4 | 5 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
4 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Methali
Utungaji wa kisanii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
5 | 1-2 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea |
Vitenzi
Maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka somo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200 |
|
5 | 3 |
kuandika
Kusoma |
Matangazo
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kuandika matangazo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kufupisha Kusoma Kujibu maswali |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
|
|
5 | 4 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
|
|
5 | 5 |
Kusikiliza na kuongea
|
Ngomezi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
|
5 | 6 |
kuandika
|
Ripoti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kuandika repoti |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
|
|
6 | 1-2 |
Fasihi
|
Hadithi fupi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi |
Majadiliano Kuuliza na kujibu maswali Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
kitabu teule
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
|
6 | 3 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 5-6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7-8 |
Henrok Exam |
|||||||
9 |
Revision and closing |
Your Name Comes Here