Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 2-3
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
somo
Kuandika kumbukumbu
Mjadala
Kusoma
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
2 4
Fasihi simulizi
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma
kuchambua
-          Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
2 5
Kusoma
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
-          Kusoma
Jibu maswali
Kitabu
Kamusi

Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159
2 6
sarufi
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Maelezo
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
3 1
Kuandika
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
Kuandika
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
3 2-3
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo

somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
3 4
kusoma
Kuandika
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
3 5
Fasihi
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
3 6
Kusoma
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
4 1
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
4 2-3
Sarufi
kusoma
Nyakati na hali marudio
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali

somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kuchambua

kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
4 4
Kuandika
Fasihi
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
4 5
Kusoma
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
4 6
Kisikiliza na kuongea
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
5 1
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
5 2-3
kusoma
Kuandika
Ukimwi
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
somo
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kuchambua

Kusoma
Kufupisha
Tamthilia

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
5 4
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 5
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 6
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
6 1
kuandika
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
6 2-3
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 4
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
6 5
Kusikiliza na kuongea
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
6 6
kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
7 1
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 2-3
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Urithi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
7 4
Kusikiliza na kuongea
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
7 5
kuandika
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
7 6
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
8 1
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8 2-3
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
8 4
kuandika
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214
8 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 

Your Name Comes Here


Download

Feedback