Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Mtihani wa kwanza wa muhula

2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
somo, ;
Kueleza maana ya viulizi.
Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali.
Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
2 3
Sarufi
Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.
Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
2 4
Kusoma
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 5
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 6
Kusoma
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
3 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia.
Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule.
Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule.
Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule.
Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule.
Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule.
Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 4
Kusoma
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
3 5
Kusoma (fasihi)
Matumizi ya lugha katika fasihi
Matumizi ya lugha katika fasihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo,
Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake.
Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule)
Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali.
Kutumia tamthilia teule kutoa mifano.
Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe.
Kusoma
Kujadili
Kueleza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali.
Kutumia tamthilia teule kutoa mifano.
Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe.
Kusoma
Kujadili
Kueleza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 3
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 4
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 5
Kusoma (fasihi)
Muhtasari; Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 6
Kusoma (fasihi)
Muhtasari; Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 1
sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 2
Kusoma
Fasihi
Maenezi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
kusoma
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
5 3
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 4
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
5 5
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
-          Kusoma
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 6
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Virai
Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
Kitabu
Kamusi
6 1
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-          Uchambuzi
Majadiliano
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
6 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Hadithi fupi
kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 5
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V
-kuandika muhtasari wa onyesho hilo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
6 6
sarufi
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
7 1
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 3
sarufi
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
7 4
kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
7 5
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 6
sarufi
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
8

Mtihani wa mwisho wa muhula

9

Udurusu na kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback