Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
2 2
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
2 3
kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
2 4-5
Kuandika
Fasihi
Kusoma
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
2 6
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
3 1
Sarufi
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
3 2
kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
3 3
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
3 4-5
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
3 6
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
4 1
kusoma
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
4 2
Kuandika
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
4 3
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
4 4-5
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
4 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 1
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 2
Fasihi andishi
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 3
Kusoma
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
5 4-5
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 6
kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
6 1
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 2
Kusoma
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
6 3
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
6 4-5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano

somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
6 6
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
7 1
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 2
Kusoma
Sarufi
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
7 3
Kusikiliza na kuongea
Ngomezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
7 4-5
kuandika
Fasihi
Ripoti
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu

Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 213-214

Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 

Your Name Comes Here


Download

Feedback