Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Kufungua shule na kufanya marudio ya mtihani uliopita

2 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma dondoo
Viwakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk120-122)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Janga la ukimwi
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu lenye mada Janga la ukimwi.
Kujadili matukio katika kifunguu kicho.
Kujibu maswali kuhusu kifungu
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk130-132)
2 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -Usafi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi.
Kutambua lengo la shairi hilo.
Kujibu maswali kuhusu ushairi
Kueleza maana ya vielezi.
Kutaja na kujadili aina tofauti za vielezi.
Kutoa mifano ya aina tofauti za vielezi.
Kutumia vielezi vyema kwa kuunda sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Hadithi fupi
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hadithi fupi.
Kutaja na kujadili sifa za hadithi fupi.
Kutaja mambo muhumu katika uandishi wa hadithi fupi..
Kuandika hadithi fupi
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk143)
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi simulizi-maigizo
Ushairi -mwanamke
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maigizo.
Kutaja na kujadili aina tofauti za maigizo.
Kujadili sifa za maigizo.
Kueleza dhima ya maigizo
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk145-147)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 6
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Viunganishi
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya viunganishi na kueleza manufaa yake katika sentensi.
Kutaja mifano ya viunganishi .
Kutumia viunganishi vyema katika sentensi
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk148-150)
3 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Unadishi wa insha
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Kueleza maana ya mjadala.
Kutaja wahusika katika mjadala.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujibu zoezi kikamilifu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
3 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Kusoma taarifa
Vihusishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Kueleza maana ya vihusishi.
Kujadili matumizi ya vihusishi.
Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya vihusishi.
Kutumia vihusishi vyema katika sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 3
Kusoma kwa mapana
Mtambo wa ATM
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ATM
Kusoma taarifa kuhusu ATM.
Kueleza alichojifunza kuhusu ATM
Kueleza jinsi ya kutumia ATM
Kujibu maswali kutoka kwa taarifa ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk160-163)
3 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Resipe
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Kutambua maneno yenye sauti tatanishi /f/ na /v/
Kutamka vitanza ndimi ipasavyo.
Kueleza maana ya visasili.
Kujadili dhima ya visasili
Kusoma kisa mfano ya kisasili kwenye kitabu cha mwanafunzi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
3 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Tarakilishi
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Kueleza maana ya vihisishi
Kujadili matumizi ya vihisishi.
Kutaja mifano ya vihisishi.
Kutumia vihusishi katika sentensi ipasvyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 6
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Ufisadi
Risala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi.
Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo.
Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175)
4 1
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi simulizi-nyimbo
Ushairi -Mrija
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili sifa za nyimbo.
Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya nyimbo.
Kuimba wimbo wa harusi ipasavyo.
Kueleza maana ya semi.
Kueleza matumizi ya misemo
Kutoa mifano ya misemo
Kueleza maana ya mrija.
Kujadili muundo wa shairi
Kukariri shairi lenye mada mrija
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk177-181)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 2
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Vinyume vya vitenzi
Jinsia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185)
4 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kisanii
Fasihi simulizi-methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kujadili aina ya mashairi.
Kujadili sifa za shairi hizi.
Kutaja vitu muhimu vya kuzingatiwa katika uundaji wa shairi hizi
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 186)
4 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ajira ya watoto
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu.
Kusoma ufahamu katika kitabu cha mwanafunzi kuhusu ajira ya Watoto.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Kueleza maana ya ukanushaji.
Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati
Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 190-192)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusoma maktabani
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili kusoma maktabani.
Kufanya utafiti kuhusu mazingira
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200)
4 6
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-Hekaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hekaya.
Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 1
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Lubigisa
Sentensi ya kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Umoja wa kitaifa
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutafuta ujumbe kuhusu umoja wa kitaifa
Kutaja manufaa ya umoja wa kimataifa.
Kueleza jinsi ambavyo umoja wa kitaifa inaweza kufanikishwa.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
5 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi simulizi
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya shairi simulizi.
Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba.
Kutafsiri maana ya wimbo huo.
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk213)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 4
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Mnyambuliko wa vitenzi
Afya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
5 5
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kiuamilifu
Majadiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220)
5 6
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Nidhamu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 224-226)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Maadili
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
6 2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Redio/Kanda za kunasia sauti
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 3
Sarufi
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
6 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Jana si leo
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 235-236)
6 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Safari yenye hatari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Safari yenye hatari
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 6
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Uundaji wa maneno
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246)
7 1
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Imla
Daktari na mgonjwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa.
Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari.
Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
7 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Ukubwa na udogo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kutambua umoja na wingi wa nomino.
Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Matumizi ya kamusi
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza jinsi ya kutumia kamusi.
Kutambua matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati.
Kueleza maana ya imla mchanganyiko.
Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
7 4
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Kusoma kwa ufahamu
Majadiliano
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 5
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Uakifishaji
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
7 6
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
8-9

Kufanya mtihani na kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback