Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 2
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
1 3
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kudodosa
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
1 4
Sarufi
Kuandika
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Maswali ya dodoso
Kujadili
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
1 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
1 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kueleza
Kutunga sentensi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 1
Kusoma
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
2 2
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Muhtasari; Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kueleza
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
2 3
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Muhtasari; Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ;
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
somo
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 4
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Kusoma
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusikiliza
Kuchanganua
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
2 5
kuandika
Fasihi
Ratiba
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
kuandika
kusoma
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
2 6
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Dini ya ulimwengu
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
3 1
sarufi
Uundaji wa nomino
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
Kutaja
Kueleza
-          Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
3 2
Kuandika
Fasihi
Uandishi wa insha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kuandika isnha ya masimulizi
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
Kutoa mifano
-          Kusoma
Kuchambua
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
3 3
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Virai
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
3 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
somo
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
Maelezo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
3 5
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-          Uchambuzi
Majadiliano
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 6
Kusoma
2
Kusikiliza na kuzungumza
Kukandamizwa
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
somo
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
4 1
Kuandika
Fasihi
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Maelezo
Kuandika
-          Uchambuzi
Majadiliano
Kitabu
Kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
4 2
Fasihi
kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-          Uchambuzi
Majadiliano
-     
Kusoma
Kukariri
Hadithi fupi
kamusi
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
-      Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
4 4
Kuandika
Fasihi andishi
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V
-kuandika muhtasari wa onyesho hilo
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
4 5
Fasihi andishi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V
-kuandika muhtasari wa onyesho hilo
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma kwa zamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 6
Kusikiliza na kuongea
sarufi
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Kusikiliza
kuzungumza
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
5 1
kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
5 2
Fasihi andishi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusoma kwa zamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 3
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Maelezo
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
5 4
Fasihi
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 5
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
Haki zetu binadamu
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kutaja
kueleza
Kuchambua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
5 6
sarufi
Kuandika
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Kuandika kumbukumbu
Mjadala
Kusoma
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
6 1
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
-          Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Jibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 2
Kisikiliza na kuongea
kusoma
Hotuba
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Malumbano
Kusoma
Kuchambua
Kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
6 3
Kuandika
Fasihi
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
6 4
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Uzalendo
Hotuba
Nyakati na hali marudio
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kusoma
Jibu maswali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
6 5
kusoma
Kuandika
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
6 6
Fasihi
Kusoma
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Jibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 1
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Malumbano
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
7 2
kusoma
Kuandika
Ukimwi
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kuchambua
Kufupisha
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
7 3
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kuchambua
Kusoma
Kujibu maswali
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 4
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
7 5
kuandika
Fasihi
Mazingira fomu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
7 6
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Ufahamu
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusoma kwa zamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
8 2
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8 3
Kusoma
Sarufi
Urithi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
8 4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
8 5
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
8 6
Kusoma
Sarufi
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusoma
Kujibu maswali
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
9 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Ngomezi
Ripoti
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kuchambua
Kusoma kwa zamu
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207

Your Name Comes Here


Download

Feedback