If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
Fasihi andishi;
Maadili na mafunzo katika tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii. |
Kusoma
Kujadili Maswali na majibu Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
1 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi andishi;
Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule. Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii. Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kusoma
Kujadili Maswali na majibu Kuandika Kudodosa Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
1 | 4 |
Sarufi
Kuandika |
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT) Kutambua sifa za KN na KT. Kuonyesha KN na KT katika sentensi. Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo. Kueleza umuhimu wa vyombo za habari. Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio. |
Kueleza
Kusoma Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi Maswali ya dodoso Kujadili |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Redio na vinasa sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
|
|
1 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi) |
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma kifungu na kueleza. Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu. Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili. Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kutaja maadili katika tamthilia Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuigiza Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
|
|
1 | 6 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi |
Kusoma kwa kina;
Fasihi andishi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia Kutaja maadili katika tamthilia Kuchambua vipengele tofauti za fasihi. Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha mbele ya darasa Kuandika Kueleza Kutunga sentensi Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kamusi ya kiswahili |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 1 |
Kusoma
|
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. |
Maelezo
Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
|
|
2 | 2 |
Kuandika
Kusoma (fasihi) |
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Muhtasari; Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya barua ya mwaliko. Kutaja sifa za barua za mwaliko. Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko. Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuchora Kueleza Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
|
|
2 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma |
Muhtasari;
Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni? |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. somo |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi Kusoma |
Fasihi Simulizi
Vinyume vya vitenzi Maenezi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya - kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha -Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusikiliza
Kuchanganua kusoma |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
|
|
2 | 5 |
kuandika
Fasihi |
Ratiba
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua maana ya ratiba -kuandika kwa makini -kuandika insha nzuri ya maelezo -kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
kuandika
kusoma |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101 |
|
2 | 6 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza |
Dini ya ulimwengu
Visasili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake -kueleza maana ya Visasili vilivyo -kubainisha aina mbali mbali za Visasili Kutao mifano ya Visasili Kutambua maana ya mighani Sifa za mighani na umuhimu wa mighani |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
3 | 1 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
Uundaji wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu -kutaja aina mbalimbali za sentensi |
Kutaja
Kueleza - Kusoma |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
3 | 2 |
Kuandika
Fasihi |
Uandishi wa insha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kuandika isnha ya masimulizi -Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
Kutoa mifano
- Kusoma Kuchambua |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
|
|
3 | 3 |
Kusoma
Marudio
2 |
Kukandamizwa
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa Virai |
- Kueleza
Kutaja Mifano Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Fasihi simulizi
Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano somo -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
Maelezo
- Maelezo Kuandika |
Kitabu
Kamusi |
ngano
‘Fasihi simulizi’ Uk 112-114 |
|
3 | 5 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 6 |
Kusoma
2 Kusikiliza na kuzungumza |
Kukandamizwa
sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi somo -kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
- Kueleza
Kutaja Mifano Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
4 | 1 |
Kuandika
Fasihi |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Maelezo
Kuandika - Uchambuzi Majadiliano |
Kitabu
Kamusi Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
4 | 2 |
Fasihi
kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mchezo wa kuigiza |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo -kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Uchambuzi
Majadiliano - Kusoma Kukariri |
Hadithi fupi
kamusi Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 3 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi |
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali -kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma - Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
4 | 4 |
Kuandika
Fasihi andishi |
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
- Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
|
|
4 | 5 |
Fasihi
andishi
Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma kwa zamu
- Kusoma Kujibu maswali |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Kusikiliza
kuzungumza Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
5 | 1 |
kuandika
Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
5 | 2 |
Fasihi andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusoma kwa zamu
- Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 3 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Maelezo
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
5 | 4 |
Fasihi
Fasihi andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 5 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea |
Haki zetu binadamu
maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu -kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kutaja
kueleza Kuchambua |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
5 | 6 |
sarufi
Kuandika |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili Kuandika kumbukumbu |
Mjadala
Kusoma kuandika |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
6 | 1 |
Fasihi
Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
- Kusoma
Kuchambua Kusoma Jibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
6 | 2 |
Kisikiliza na kuongea
kusoma |
Hotuba
uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Malumbano
Kusoma Kuchambua |
Kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
6 | 3 |
Kuandika
Fasihi |
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za mahojiano -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
6 | 4 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea Sarufi |
Uzalendo
Hotuba Nyakati na hali marudio |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano Kutaja Kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 5 |
kusoma
Kuandika |
uzalendo
mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 6 |
Fasihi
Kusoma |
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Uraibu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Kuchambua Kusoma Jibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 1 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi |
Fasihi simulizi
Mafumbo
Misimu
Kazi mradi
Uakifishaji |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Malumbano
Kutaja Kueleza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
|
|
7 | 2 |
kusoma
Kuandika |
Ukimwi
Barua meme |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
7 | 3 |
Fasihi
Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kuchambua Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
|
Vitenzi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
7 | 5 |
kuandika
Fasihi |
Mazingira
fomu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
|
|
7 | 6 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Ufahamu Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
8 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Methali
Utungaji wa kisanii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
8 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
8 | 3 |
Kusoma
Sarufi |
Urithi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
|
|
8 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Maghani
Matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kuandika matangazo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
|
|
8 | 5 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
|
|
8 | 6 |
Kusoma
Sarufi |
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
|
|
9 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Ngomezi
Ripoti Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kuandika repoti -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
Your Name Comes Here