If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 |
Sarufi
|
Vielezi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza dhana ya vielezi. Kueleza aina za vielezi. Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi. |
Maelezo
Ufafanuzi Maswali na majibu Ufafanuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
|
|
1 | 3 |
Kusoma
Kuandika |
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kuelezea muundo wa hotuba Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti Kuandika hotuba kwa hati nadhifu. Kueleza maana ya isimujamii. Kufafanua maana ya sajili katika lugha. Kuigiza mazungumzo. |
Kueleza
Kujadili Kuhutubu mbele ya darasa Kusoma Kuigiza Kusikiliza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
|
|
1 | 4 |
Kusoma
Marudio
2 Kusikiliza na kuzungumza |
Kukandamizwa
sarufi Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa Virai somo -kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
- Kueleza
Kutaja Mifano Kufikia mwisho wa somo mwanafunzi aweze Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
2 | 1 |
Kuandika
Fasihi |
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Maelezo
Kuandika - Uchambuzi Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
2 | 2 |
Fasihi
Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Uchambuzi
Majadiliano - Kueleza Kutaja Mifano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
2 | 3 |
2
Kusikiliza na kuzungumza Kuandika |
sarufi
Fasihi simulizi Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutoa maana ya Virai Aina mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi somo -kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano -kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
Maelezo
- Maelezo Kuandika |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
2 | 4 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo -kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Hadithi fupi kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 1 |
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza Sarufi |
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii vishazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali -kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea |
-
Kusoma Kukariri Kuandika Kutunga sentensi - Kuandika |
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
|
|
3 | 2 |
Kuandika
Fasihi andishi |
wasifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifukazi -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
- Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
|
|
3 | 3 |
Fasihi
andishi
Kusoma Kusikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusoma kwa zamu
- Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 4 |
sarufi
kuandika |
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Maelezo
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
4 | 1 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. mhepa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu - Kusoma Kujibu maswali |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege Kitabu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Kusikiliza
kuzungumza Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
4 | 3 |
kuandika
Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Kamusi BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
4 | 4 |
Fasihi andishi
Ufahamu Kuzikiliza na kuongea |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu -kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kusoma kwa zamu
Kutaja kueleza Kuchambua |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI.
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 1 |
sarufi
Kuandika |
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili Kuandika kumbukumbu |
Mjadala
Kusoma kuandika |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
5 | 2 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea kusoma |
uzalendo
Hotuba uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali -kujibu maswali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano Kusoma Kuchambua |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
5 | 3 |
Kuandika
Fasihi |
mahojiano na dayolojia
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za mahojiano -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
5 | 4 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea Sarufi |
Uzalendo
Hotuba Nyakati na hali marudio |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano Kutaja Kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 1 |
kusoma
Kuandika |
uzalendo
mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kuchambua Kufupisha |
Tamthilia
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 2 |
Fasihi
Kusoma |
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Uraibu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Kuchambua Kusoma Jibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
6 | 3 |
Kisikiliza na kuongea
Sarufi kusoma |
Fasihi simulizi
Mafumbo
Misimu
Kazi mradi
Uakifishaji Ukimwi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Malumbano
Kutaja Kueleza Kusoma Kuchambua |
Kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
|
|
6 | 4 |
Kuandika
Fasihi |
Barua meme
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
|
|
7 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea Kusikiliza na kuongea |
Shairi
Vitenzi Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
7 | 2 |
kuandika
Fasihi |
Mazingira
fomu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 192
|
|
7 | 3 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Ufahamu Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Methali
Utungaji wa kisanii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
8 | 1 |
Fasihi
Fasihi andishi Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Urithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kuchambua
Kusoma kwa zamu Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
8 | 2 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea |
Vitenzi
Maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka somo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
|
|
8 | 3 |
kuandika
Fasihi |
Matangazo
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kuandika matangazo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma
Kufupisha Kuchambua |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
|
|
8 | 4 |
Fasihi andishi
Kusoma Sarufi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu kamusi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
9 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Ngomezi
Ripoti Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kuandika repoti -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha Kuchambua Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
Your Name Comes Here