Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Mgomo wa Walimu

2 2
Sarufi
Kuandika
Aina za maneno-vivumishi
Ilani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuelezea maana ya vivumishi
Kutambua aina ya vivumishi
Kutaja mifano ya vivumishi
Kutumia vivumishi katika sentesi na mazungumzo
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Majadiliano
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 30-37)
2 3
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Vivumishi 2
Matamshi bora
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja aina za vivumishi
Kutoa mifano ya aina yote ya vivumishi
Kutumia vivumishi vyema katika sentensi
Kutambua na kutamka maneno yaliyo na sauti tatanishi /ch/ na /sh/
Kueleza maana ya misemo
Kutaja aina ya misemo
Kutambua madhumuni ya misemo
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Maswali dodoso
Majadiliano
Kusoma
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 52-69)
2 4
Sarufi
Kuandika
Vitenzi
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vitenzi
Kutaja aina za vitenzi
Kutumia vitenzi katika mazungumzo na sentensi
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Majadiliano
Mazungumzo
Maelezo
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(UK 78-82)
2 5
Kusoma
Sarufi
Ripoti kuhusu ukimwi
Aina za maneno-vitenzi vishirikishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ripoti
Kufafanua ripoti
Kutambua vipengele muhimu katika uandishi wa ripoti
Kueleza maana ya vitenzi vishirikishi
Kutaja aina ya vishirikishi
Kutumia vishirikishi katika mazungumzo na sentensi vyema
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Majadiliana
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 89-91)
2 6
Kusoma kwa kina
Kuandika
ushairi
Utungaji wa kiuaminifu -barua simu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ushairi
Kukariri ushairi
Kueleza maana ya barua simu
Kutaja mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa barua simu
Kuandika barua simu
Maelezo
Majibu na maswali
kuandika
Mazungumzo
Majadiliano
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mashairi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 95-96)
3 1-2
Kuandika
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Dayolojia
Kusoma dondoo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo

somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia
Kusoma dondoo katika kitabu cha mwanafunzi vyema.
Kueleza mtiririko wa mtukio katika dondoo.
Kutambua wahusika katika dondoo.
Kujiu maswali sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
3 3
Sarufi
Kuandika
Viwakilishi
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza kazi ya viwakilishi.
Kutambua aina ya viwakilishi.
Kujadili aina za viwakilishi na kutaja mifano.
Kutumia viwakilishi vyema katika sentensi na mazungumzo
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk122-129)
3 4
Sarufi
Kuandika
Vielezi
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vielezi.
Kutaja na kujadili aina tofauti za vielezi.
Kutoa mifano ya aina tofauti za vielezi.
Kutumia vielezi vyema kwa kuunda sentensi
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk138-142)
3 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -mwanamke
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Kueleza maana ya viunganishi na kueleza manufaa yake katika sentensi.
Kutaja mifano ya viunganishi .
Kutumia viunganishi vyema katika sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 6
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Unadishi wa insha
Kusoma taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
4 1-2
Sarufi
Kuandika
Kusoma kwa ufahamu
Vihusishi
Resipe
Tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vihusishi.
Kujadili matumizi ya vihusishi.
Kutambua na kueleza aina mbalimbali ya vihusishi.
Kutumia vihusishi vyema katika sentensi

somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk157-159)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
4 3
Sarufi
Kuandika
Vihisishi
Risala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vihisishi
Kujadili matumizi ya vihisishi.
Kutaja mifano ya vihisishi.
Kutumia vihusishi katika sentensi ipasvyo
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk172-174)
4 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -Mrija
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mrija.
Kujadili muundo wa shairi
Kukariri shairi lenye mada mrija
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5
Kusoma kwa mapana
Sarufi
Jinsia
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Kueleza maana ya ukanushaji.
Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati
Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185)
4 6
Kuandika
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
5 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-Hekaya
Sentensi ya kiswahili
Uandishi wa kawaida-Muhtasari
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hekaya.
Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
somo ;
Kueleza maana ya muhtasari.
Kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa muhtasari.
Kuandika muhtasari ya kisa cha Lubigisa.
Kueleza maana ya shairi simulizi.
Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba.
Kutafsiri maana ya wimbo huo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
5 3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Taarifa
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma tarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 214-215)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 4
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Afya
Utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi.
Kueleza mtiririko wa matukia katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 217- 218)
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Majadiliano
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 6
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
6 1-2
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Maadili
Uandishi wa Insha - Methali
Redio/Kanda za kunasia sauti
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
somo ;
Kutaja umuhimu wa redio.
Kutambua vipindi tofauti vya redio na runinga.
Kujadili ujumbe yanayojadiliwa katika vipindi hivi.
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 227-230)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 3
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Jana si leo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwanafunzi ..Jana si leo.
Kueleza alichojifunza kutoka kwa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
6 4
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Safari yenye hatari
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Safari yenye hatari
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 243-245)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 6
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Taja aina ya tarakilishi.
Kutambua matumizi ya tarakilishi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 247-248)
7 1-2
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Imla
Daktari na mgonjwa
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Ukubwa na udogo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya Imla.
Kuandika kwa usahihi kifungu isomwayo na mwalimu.
Kuugiza mazungumzo kati ya daktari na mgonjwa.
Kutaja sifa za lugha ya mgonjwa na daktari.
Kujadili uhusiano kati ya mgonjwa na daktari.
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kutambua umoja na wingi wa nomino.
Kutumia umoja na wingi vyema katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 248)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 3
Kusoma kwa mapana
Kuandika
Matumizi ya kamusi
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza jinsi ya kutumia kamusi.
Kutambua matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati.
Kueleza maana ya imla mchanganyiko.
Kuandika sentensi wasomewayo na mwalimu.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 257)
7 4
Kusikiliza na kuzungumza (Marudio0
Kusoma kwa ufahamu
Majadiliano
Nidhamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya majadiliano.
Kusoma majadiliano katika kitabu cha mwanafunzi.
Kutaja sifa za majadiliano.
Kueleza maana ya muhtasari.
Kutambua umuhimu wa muhtasari.
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Nidhamu
.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Kueleza mtindo wa shairi hilo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Maswali dodoso
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 221-224)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 5
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Uakifishaji
Maadili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Kueleza maana ya maadili.
Kusoma taarifa kwenye kitabu cha mwanafunzi kwa mapana.
Kutambua mambo muhimu yaliyozungumziwa katika taarifa.
Kujibu maswali kuhusu taarifa ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
7 6
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
8

Kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback