If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
uzalendo
Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
2 | 2 |
kusoma
|
uzalendo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
2 | 3 |
Kuandika
Kusoma |
mahojiano na dayolojia
Uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za mahojiano -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Kufupisha Kusoma Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
2 | 4 |
Kisikiliza na kuongea
|
Hotuba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
2 | 5 |
Sarufi
kusoma |
Nyakati na hali marudio
uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kutaja
Kueleza Kusoma Kuchambua |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
|
|
2 | 6 |
Kuandika
|
mahojiano na dayolojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
3 | 1 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo kueleza umuhimu wa mafumbo kutoa mifano ya mafumbo kueleza maana ya misimu kutoa mifano ya misimu |
Kusoma
Jibu maswali Malumbano |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
3 | 2 |
Sarufi
|
Uakifishaji
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
|
|
3 | 3 |
kusoma
|
Ukimwi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
3 | 4 |
Kuandika
Kusoma |
Barua meme
Shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kufupisha Kusoma Kujibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
|
|
3 | 5 |
Kusikiliza na kuongea
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
3 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Vitenzi
Mazingira fomu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu -mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
4 | 1 |
Fasihi andishi
|
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
4 | 2 |
Kusoma
Sarufi |
Ufahamu
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama Mafano Kwaa- kwama Tua- tuama Mifano kwa sentesni Pikipiki ilikuwama matopeni Kauli ya kutendata Mfano Fumba- fumbuta Kama- kamata Mifano kwa sentensi Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena |
Kusoma
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
4 | 3 |
Kusikiliza na kuongea
|
Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
4 | 4 |
kuandika
Fasihi andishi |
Utungaji wa kisanii
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma
Kufupisha Kusoma kwa zamu |
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
|
|
4 | 5 |
Kusoma
|
Urithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
|
|
4 | 6 |
Sarufi
Kusikiliza na kuongea |
Vitenzi
Maghani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau Mafano Vaa- vua Umba-umbua Mifano kwa sentesni Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua Kauli ya kutenduka Mifano kwa sentensi Siri ya wandani hao ilifichuka Mtego wa panya uliteguka somo kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
|
|
5 | 1 |
kuandika
|
Matangazo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunnzi aweze kuandika matangazo |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
|
|
5 | 2 |
Fasihi andishi
Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo! |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 3 |
Sarufi
|
Vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea Mafano Mifano kwa sentesni La- kakangu hula mkate kila siku Kauli ya kutendwa Mifano kwa sentensi La-liwa- Pa-pewa |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
|
|
5 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Ngomezi
Ripoti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano somo mwanfunnzi aweze kuandika repoti |
Kusikiliza
kuzungumza Kusoma Kufupisha |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
|
5 | 5 |
Fasihi andishi
|
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 6 |
Fasihi
|
Hadithi fupi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha |
Majadiliano Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
kitabu teule
|
|
6 | 1 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi |
Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 2 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 3 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 1 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 2 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 3 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyinginee
|
|
7 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
mapambazuko ya machweo na hadithi nyingine
|
|
7 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuelewa na kushiriki katika kutoa mchango/hoja za kujibu swali lolote katika nyanja yoyote ya fasihi |
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali Kushiriki kujibu maswali |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Your Name Comes Here