Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA III

School




To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.











Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

KUFUNGUA SHULE NA MARUDIO YA MTIHANI

2 1
Kusoma
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
2 2
Kisikiliza na kuongea
kusoma
Hotuba
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Malumbano
Kusoma
Kuchambua
Kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
2 3
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
2 4
Fasihi
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
2 5
Kusoma
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
2 6
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
3 1
Sarufi
kusoma
Nyakati na hali marudio
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kuchambua
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
3 2
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
3 3
Fasihi
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
3 4
Kusoma
Uraibu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
3

MJARABU

4 1
Kisikiliza na kuongea
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
4 2
Sarufi
kusoma
Uakifishaji
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kuchambua
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
4 3
Kuandika
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
4 4
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
4 5
Kusoma
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
4 6
Kusikiliza na kuongea
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 3
Fasihi andishi
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
5 4
Kusoma
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
5 5
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
5 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
6 1
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 2
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
6 3
Kusoma
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
6 4
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendau
Mafano
Vaa- vua
Umba-umbua
Mifano kwa sentesni
Ninavipanga viatbu vyangu , mtu asije akavipangua
Kauli ya kutenduka
Mifano kwa sentensi
Siri ya wandani hao ilifichuka
Mtego wa panya uliteguka
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 202-203
6 5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Maghani
Matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
6 6
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
7 1
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 2
Kusoma
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
7 3
Sarufi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutenda na kauli ya kutendea
Mafano
Mifano kwa sentesni
La- kakangu hula mkate kila siku
Kauli ya kutendwa
Mifano kwa sentensi
La-liwa-
Pa-pewa
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 210-211
7 4
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Ngomezi
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
somo
mwanfunnzi aweze kuandika repoti
Kusikiliza
kuzungumza
Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
7 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
7 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
8

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA WA TATU

9

KUFUNGA NA KUSAHIHISHA


Your Name Comes Here


Download

Feedback