If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
3 | 1 |
Kuandika
Kusoma kwa Ufahamu |
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Shairi: Mikanda Tujifungeni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi. Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake. Kusoma na kutaja maudhui katika shairi. Kueleza sifa bainifu za shairi huru. Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi. |
Maelezo
Ufafanuzi Kujadili vidokezo Kuandika Kufanya zoezi Kusoma. Kusikiliza Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Nakala halisi ya barua rasmi Kitabu cha Shairi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 13-16
|
|
3 | 2 |
Kusoma
|
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya barua kwa mhariri Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu. Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Magazeti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
|
|
3 | 3 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti. |
Kueleza
Kujadili Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
|
|
3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu |
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Umoja wa Kitaifa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maadili na maudhui ya kifungu. Kujibu maswali kutokana na ufahamu. Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu. Kueleza umuhimu wa usanifishaji. Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’ Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini. |
Kusikiliza
Kujadili Kuandika Kufanya zoezi Usomaji Maelezo Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
|
|
3 | 5 |
Kusoma
|
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kuelezea muundo wa hotuba Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti Kuandika hotuba kwa hati nadhifu. |
Kueleza
Kujadili Kuhutubu mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
|
|
3 | 6 |
Kusoma
|
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa. Kufafanua chimbuko la Kiswahili. Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki. |
Kueleza
Kusoma Kujadili Kuandika Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
|
|
4 | 1 |
Kuandika
Sarufi |
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Mwingiliano wa Maneno |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa mazungumzo. Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe. Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo. Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT) Kutambua sifa za KN na KT. Kuonyesha KN na KT katika sentensi. |
Kueleza
Kujadili Kuandika Kuigiza mazungumzo Kusoma Kutunga sentensi Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
|
|
4 | 2 |
Kusoma
|
Shairi
Nyuki nimekoni?
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
|
|
4 | 3 |
Kusoma
sarufi |
Maenezi ya Kiswahili
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
kusoma
Maelezo |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 |
|
4 | 4 |
sarufi
|
setensi ya Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
4 | 5 |
Fasihi simulizi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio |
Kusoma
kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
4 | 6 |
Fasihi
Kuandika |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo Kuandika kumbukumbu |
- Kusoma
Kuchambua Kusoma kuandika |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 1 |
Fasihi simulizi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio |
Kusoma
kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 2 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 3 |
sarufi
Fasihi |
uchanganuzi wa sentensi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi -kutaja aina ya sentensi sahili kujaza jedwali kuandika sentesni ambatano kuandika sentesni changamano -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
Maelezo
- Kusoma Kuchambua |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
|
|
5 | 4 |
Fasihi
|
Uchambuzi:
‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
5 | 5 |
Kusoma
kusoma |
uzalendo
uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo -kujibu maswali |
Kusoma
Jibu maswali Kusoma Kuchambua |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
5 | 6 |
Kuandika
|
mahojiano na dayolojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
6 | 1 |
Fasihi
|
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
6 | 2 |
Kusoma
Kuandika |
Uzalendo
mahojiano na dayolojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Jibu maswali Kusoma Kufupisha |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
6 | 3 |
Fasihi
|
Uchambuzi:Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
6 | 4 |
kusoma
|
Ukimwi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
|
|
6 | 5 |
Fasihi
Kusoma |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Shairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui -kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kuchambua Kusoma Kujibu maswali |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
6 | 6 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 1 |
Fasihi andishi
Fasihi |
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kusoma kwa zamu
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 2 |
Fasihi andishi
|
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 3 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
|
|
7 | 4 |
Fasihi andishi
kuandika |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Ripoti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo mwanfunnzi aweze kuandika repoti |
Kusoma kwa zamu
Kusoma Kufupisha |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 5 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
7 | 6 |
Fasihi andishi
|
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo -kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
8 | 1 |
Ushairi
|
Bahari/aina za ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kudfurusu kwa kukumbuka na kutaja ainana sifa za bahari hizi za ushairi Kuchambua ushairi ipasavyo na kutambulisha bahari yake |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Mashairi |
E. Kezilahabi Kunga za Ushairi Malenga wa Ziwa kuu |
|
8 | 2 |
Isimu Jamii
|
Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua |
Kujadiliana Kuuliza na kujibu maswali Kufanya zoezi |
Vifaa halisi Picha na michoro |
Odeo I.I na Maina C. Fani ya Isimu Jamii UK 52-55 |
Your Name Comes Here