If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 2 |
Sarufi
Kusoma |
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi. Kutambua viambishi awali na tamati. Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue. |
Kueleza
Kutunga sentensi Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
|
|
1 | 3 |
Kusoma
|
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi. Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake. Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira. |
Maelezo
Ufafanuzi. Ufaraguzi. Majadiliano. Maswali na majibu |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
|
|
1 | 4 |
Kusoma (fasihi)
|
Muhtasari;
Tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma tamthilia teule yote. Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
1 | 5 |
Kusoma (fasihi)
Kusoma |
Muhtasari;
Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni? |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhamira kwa ufupi. Kufafanua maudhui kwa ufupi. |
Kusoma
Kueleza Kujadili Kuandika Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
1 | 6 |
Kusikiliza na kuongea
|
Fasihi Simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga Dhima ya soga Kusoma riwaya |
kusikiliza
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
|
|
2 | 1 |
sarufi
|
Vinyume vya vitenzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi Mafano Shuka- panda Nuka-nukia Lala-amka Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha |
Kuchanganua
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
|
|
2 | 2 |
Kusoma
kuandika |
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 |
|
2 | 3 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
kusoma
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
|
2 | 4 |
Kusoma
|
Dini ya ulimwengu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi |
Visasili
Uundaji wa nomino |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili vilivyo -kubainisha aina mbali mbali za Visasili Kutao mifano ya Visasili Kutambua maana ya mighani Sifa za mighani na umuhimu wa mighani |
Kusoma
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
|
|
2 | 6 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni -kutaja aina mbalimbali za sentensi mifano- samehe, abiri, husudu |
- Kusoma
Kueleza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
|
|
3 | 1 |
Kuandika
|
Uandishi wa insha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi |
Kutoa mifano
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
|
|
3 | 2 |
Fasihi
Kusoma Marudio |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao -kueleza sifa za wahusika |
- Kusoma
Kuchambua |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 3 |
2
|
sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai Anian mbalimbali ya virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi Virai vielezi Kirai kivumishi Virai vihusishi |
-kusoma - kutaja mifano
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
|
|
3 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika |
Fasihi simulizi
Ushairi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi kitabu cha mwanafunzi |
ngano
‘Fasihi simulizi’ Uk 112-114 |
|
3 | 5 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
3 | 6 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya udhaifu huo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 1 |
Kusoma
2 |
Kukandamizwa
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa |
- Kueleza
Kutaja Mifano |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
4 | 2 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Nago Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
|
|
4 | 3 |
Kuandika
|
Ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
- Maelezo
Kuandika |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
4 | 4 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi -kutaja baadhi ya matanikio hayo |
- Uchambuzi
Majadiliano |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Hadithi fupi kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 5 |
kusoma
|
mchezo wa kuigiza
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
-
Kusoma Kukariri |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
|
|
4 | 6 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa Kujibu maswali |
Kuandika
Kutunga sentensi Kusoma |
kitabu cha mwanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
|
|
5 | 1 |
Sarufi
Kuandika |
vishazi
wasifu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi mfano vishazi huru Mwashi amewasili mgeni atakuja shuleni leo vishazi tegemezi jiwe lililomgonga cheti kilichopotea |
- Kuandika
Kutunga sentensi |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
|
|
5 | 2 |
Fasihi
andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 3 |
Fasihi
andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V -kuandika muhtasari wa onyesho hilo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 4 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
mhepa
Miviga |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
|
|
5 | 5 |
sarufi
|
setensi ya Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili kutambua miundo ya kikundi nomino (KN) mfano nomino za pekee kiwakilishi pekee nomino na nomino nomino na kivumisi nomino na vivumishi nomino kivumishi na kielezi miundo ya kikunndi tenzi |
Maelezo
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
|
|
5 | 6 |
kuandika
Fasihi |
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
6 |
MID-TERM EXAM |
|||||||
7 |
HALF-TERM |
|||||||
8 | 1 |
Fasihi andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la … -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 | 2 |
Kusoma
|
mhepa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
- Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
|
|
8 | 3 |
Kusikiliza na kuongea
sarufi |
Miviga
setensi ya Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
|
|
8 | 4 |
kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
|
|
8 | 5 |
Fasihi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho …….. -kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu |
Kuchambua
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 | 6 |
Fasihi andishi
Ufahamu |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
Kusoma kwa zamu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI.
Kitabu Kamusi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
9 | 1 |
Kuzikiliza na kuongea
|
maigizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kuchambua
|
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
9 | 2 |
sarufi
|
aina za sentensi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
|
|
9 | 3 |
Kuandika
Fasihi simulizi |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu |
Kusoma
kuandika |
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
9 | 4 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio hayo |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
9 | 5 |
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea |
Haki zetu binadamu
maigizo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kutaja
kueleza |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
9 | 6 |
sarufi
|
aina za sentensi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi mfano sentensi sahihi sentensi ambatano sentensi changamano mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi mfano kutumia viunganishi, vishazi viwili |
Mjadala
|
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150
|
|
10 | 1 |
Kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu |
Kusoma
kuandika |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
|
|
10 | 2 |
Fasihi simulizi
Fasihi |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo -kuandika muhtasari wa matukio |
Kusoma
kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
10 | 3 |
Kusoma
|
usalama barabarani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
- Kusoma
Jibu maswali |
Kitabu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159 |
|
10 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
ushairi
nyimbo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi kuimba nyimno kutambua dhima ya nyimbo kutunga mifano wa wimbo |
Kisikiliza na kushiriki
|
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
|
|
10 | 5 |
sarufi
Kuandika |
uchanganuzi wa sentensi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi -kutaja aina ya sentensi sahili kujaza jedwali kuandika sentesni ambatano kuandika sentesni changamano |
Maelezo
|
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
|
|
10 | 6 |
Fasihi
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
11 | 1 |
Fasihi
|
Uchambuzi:
‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso -kuchambua vilivyo maudhui |
- Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
11 | 2 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
uzalendo
Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
11 | 3 |
kusoma
|
uzalendo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali |
Kusoma
Kuchambua |
Tamthilia
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 169-170
|
|
11 | 4 |
Kuandika
|
mahojiano na dayolojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
11 | 5 |
Fasihi
Kusoma |
Uchambuzi: Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
Uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini /kuelewa -kchambua vipengele vya maudhui |
Kusoma
Kuchambua |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
kitabu |
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI.
|
|
11 | 6 |
Kisikiliza na kuongea
|
Hotuba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
12-13 |
END-TERM EXAM |
Your Name Comes Here