Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA NNE
MWAKA WA 2024
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Mtihani wa ufunguzi

2 1
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu Jamii
Hadithi fupi
Fasihi simulizi na fasihi andishi
Maana, lugha na mawasiliano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na lugha

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Utendaji wa wanafunzi
kitabu teule
2 2
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Vivumishi, ngeli za majina na upatanishi wake
Matangazo
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuvibainisha vivumishi vya sifa, vionyeshi, idadi na kuvitumia pamoja na ngeli mbalimbali katika sentensi

Kuuliza
Kusikiliza
Kujibu maswali
Jedwali, kadi zenye vivumishi vya sifa vionyeshi na idadi
Nakala za matangazo ya redio nay a kuandikwa
Nakala za barua rasmi
 KLB BK4 UK 26-27
Nkwera: Fasihi na sarufi UK 28
2 3
Fasihi
Kuandika insha ya methali
Kusikiliza na kuzungumza
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kuandika insha ya methali
Kusikiliza na kuzungumza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti ya hadithi, dhamira, maudhui, lugha na wahusika katika hadithi


Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mifano ya insha za methali
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 4
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Nomino/jina
Magazeti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Utambuzi wa aina mbalimbali za nomino, kuzitolea mifano katika sentensi sahihi

Kusikiliza
Kuuliza
Kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Taifa Leo
Majira
Majarida Ya Kiswahili
Katika maktaba
 KLB BK4 UK 32-35
F.V. Nkwera
2 5-6
Fasihi
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Isimu Jamii
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Muhtasari
Mtandao
Vitenzi
Memo
Hadhi na chimbuko la lugha ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui na wahusika katika hadithi fupi

Kuvitanbua na kutaja aina zake na kuweza kuvitungia sentensi

Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali
Kutambulisha vitenzi
Kuuliza
Kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Fungu la ufupisho
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tarakilishi
Rununu
Nukilishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
KLB BK4 UK 43-46
3 1
Fasihi
Kusikiliza na kuongea
Kusoma kwa ufahamu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Methali na misemo
Haki za binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na matumizi ya lugha

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Vinasa sauti
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 2
Sarufi
Isimu Jamii
Viwakilishi
Dhana ya lahaja za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Aina za viwakilishi zitambulishwe na ziweze kutumika katika umoja na wingi ipasavyo katika mwasiliano

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK4 UK 58-60
Oxford BK4 UK
3 3
Fasihi
Kuandika
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Tahakiki
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa ipasavyo

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tamthilia
Riwaya
Diwani ya ushairi na hadithi fupi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 4
Fasihi
Kusikiliza na kuongea
Fasihi simulizi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mafumbo
Lakabu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi

Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Picha na bango lenye picha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 5-6
Kusoma
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Isimu Jamii
Viwanda
Viunganishi
Wavuti
Simu na Memo
Usanifishaji wa Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusomakuimarisha matamshi bora na kuweza kuujua na kuutumia ipasavyo
Kujibu maswali ipasavyo

Kudurusu kuhusu sehemu muhimu za simu, memo na kuzibainisha ili kuweza kudhihirisha matumizi yake ipasavyo katika mtungo

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kutunga mtungo
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Picha na bango lenye picha
Vifaa halisi
Picha na bango lenye picha
Picha na michoro

Tuki
Kamusi sanifu
KLB BK4 UK 84-88
KLB BK4 UK 91-93
Mwongozo wa insha
4 1
Fasihi
Kusikiliza na kuongea
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Bungeni
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
4 2
Kusoma
Sarufi
Kusoma
Kumbukumbu za mkutano
Vielezi
Riwaya teule
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma kwa matamshi bora, kuelewa msamiati, kumudu kuandika kumbukumbu za mkutano ipasavyo

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Nakala za kumbukumbu za mkutano
Chati ya vielezi
Utendaji wa wanafunzi
Vitabu vya riwaya (hadithi)

Chem. UK 169
KLB BK4 UK 97-99
4 3
Isimu Jamii
Fasihi
Maendeleo ya Kiswahili nchini Kenya
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana na kuweza kuelewa hatua ambazo lugha ya Kiswahili imepiga nchini Kenya ipasavyo

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 38-51
4 4
Sarufi
Isimi Jamii
Vihusishi
Vivumishi
Chamgamoto na mikakati ya kuimarisha Kiswahili Kenya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha aina mbalimbali za vihusishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi na katika mawasiliano

Kusikiliza
Kutunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK4 UK 110
4 5-6
Fasihi
Kusoma
Kuandika
Sarufi
Kusikiliza na kuzungumza
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Mashairi huru
Utungaji wa kisanii
Vihisishi
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

Kuzingatia kanuni za utunzi wa mashairi huru na kuweza kutunga mashairi mazuri

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuweza kutunga mashairi mazuri yaliyo na maudhui
Vifaa halisi
Picha na michoro
Makala ya majarida ya kiswahili
Mifano ya mashairi huru
Vifaa halisi
Picha na michoro
Chati
Mchoro na picha
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyinginee
 KLB BK4 UK 114
Mwongozo wa utunzi
5 1
Fasihi
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Utandawazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma na kuchambua ploti, dhamira, maudhui, wahusika na mbinu za lugha na za kisanaa katika hadithi fupi

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Ramani ya ulimwengu
Michoro na picha
mapambazuko ya machweo  na hadithi nyingine
5 2
Sarufi
Fasihi
Ushairi
Mwingiliano wa maneno
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Bahari/aina za ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuyatambua maneno/istilahi ziundazo sentensi na kuzitumia ipasavyo kwa ufasaha

Kuitunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Chati na michoro
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mashairi

KLB BK4 UK 76-77
5 3
Isimu Jamii
Kusikiliza na kuzungumza
Changamoto zinazokabili Kiswahili nchini na mikakati ya kuimarisha
Matamshi bora (kudurusu)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha mikakati inayokikabili Kiswahili kwa sasa nchini Kenya
Kujadiliana na pia kubainisha mikakati ya kuzitatua

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 52-55
5 4
Sarufi
Isimu Jamii
Kuakifisha (kudurusu)
Sajili katika muktadha isiyo rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha alama za kuakifisha na kuweza kuzitumia ipasavyo katika maandishi

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK1 UK 22-23
5 5-6
Fasihi
Kusoma
Kuandika
Sarufi
Kusikiliza na kuzungummza
Isimu Jamii
Kudurusu
Kusoma kwa Mapana
Utungaji wa kuiamilifu
Mwingiliano wa maneno
Miriga
Mazungumzo ya kawaida nay a biashara
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kutambua istilahi ziundazo sentensi na kutambua nafasi zake katika sentensi pia kuzitumia kwa ufasaha

Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Kutunga sentensi
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Ramani ya dunia
Makala yanayohusu utandawazi
Nakala za hotuba
Vinasa sauti
Chati na michoro
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

KLB BK4 UK 76-77
Chem BK4 UK 76-77
6 1
Fasihi simulizi
Isimu Jamii
Fasihi Simulizi
Utani
Kusoma kwa mapana
Mighani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi bora kueleza ain za utani na kuweza kuzitumia ipasavyo katika mazungumzo

Kusimilia visa
Kuigiza na kufanya zoezi
Kinasa sauti
Vifaa halisi
Picha na michoro
KLB BK4
UK 158-160
Hellenistic Publishers
Mwongozo wa fasihi simulizi
6 2
Kusoma
Sarufi
Vinyago vya Bosi
Miundo ya sentensi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutamka maneno ipasavyo
Kuelewa msamiati
Kushiriki katika mjadala na kutumia msamiati huu kwa ufasaha

Kusoma
Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Michoro
Makala mbalimbali

Tuki: kamusi sanifu
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 125-129
6 3
Fasihi
Isimu Jamii
Fasihi Simulizi
Kudurusu
Sajili ya nyumbani na hospitalini
Visakale
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Kanda za kunasia sauti
kitabu teule
6 4
Kusoma
Kuandika
Wajibu wa Kiswahili kitaifa na kimataifa
Insha ya masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kujadili na kutaja nafasi ya Kiswahili kama lugha ya kitaifa na kimataifa

Kusoma
Kusikiliza
Kujibu maswali
Makala mbalimbali na vinasa sauti
Nakala za masimulizi mbalimbali

Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 131-134
6 5-6
Fasihi
Isimu Jamii
Kusikiliza na Kuzungumza
Kusoma
Sarufi
Kudurusu
Maabadini na mahakamani
Hotuba
Uvumbuzi
Yambwa na chagizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kukuza staid za kusoma kwa matamshi bora
Kujadiliana msamiati na kutumia ipasavyo katika sentensi

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi katika vikundi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Itendaji wa wanafunzi darasani
Utendaji wa wanafunzi
Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule
F. Nkwera
KLB BK4
UK 136 
7 1
Fasihi
Fasihi Simulizi
Isimu Jamii
Kudurusu
Tamthilia
Sajili ta darasani na muktadha wa kituo cha polisi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tamthilia teule

Rejea zote za fasihi
7 2
Kuandika
Kusikiliza na Kuzungumza
Matangazo
Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika na kutoa matangazo kwa kuzingatia kaida zake
Kuandaa matangazo mazuri

Kutaja
Kuandaa
Kuandika
Matangazo
Mabango
Vifaa halisi
Utendaji wa wanafunzi

Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 143
7 3
Fasihi
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Kudurusu
Soga
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Utendaji wa wanafunzi
Nakala za ratiba mbalimabli
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 4
Kusoma
Fasihi
Sarufi
Ufisadi
Kudurusu
Virai
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuimarisha matamshi bora
Kujadili msamiati
Kutunga sentensi na kutanmbua athari za ufisadi katika jamii

Kutaja visa
Kuuliza na kujibu maswali
Kujadiliana
Vifaa halisi
Picha na michoro
Jedwali
Picha na vifaa halisi

Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 150-153
Mwongozo wa mwalimu
7 5-6
Kuandika
Fasihi Simulizi
Kusoma
Sarufi
Fasihi Simulizi
Insha ya mawazo na maelezo
Malumbano ya utani
Haki za watoto
Vishazi
Mashairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandika insha hiyo kikamilifu

Kusoma kwa sauti na kwa ufasaha
Kuutumia msamiati
Kujibu maswali kawa ufasaha

Kutaja kanuni zihusikanazo na insha hizo

Kujadiliana
Kusoma na kujibu maswali
Nakala za insha za mawazo
Kinasa sauti
Vifaa halisi
Picha na michoro
Michoro ya mtawi kwenye chati
Shairi la arudhi na huru
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4 UK 157 
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 161-162
Mwongozo wa mwalimu
8

Likizo fupi/mtihani

9 1
Kuandika
Fasihi
Maelezo na maelekezo
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kutambua sifa zake na kuweza kuandaa na kutunga maelekezo mazuri yasiyopotosha

Kubainisha kanuni za maelezo
Kutunga insha nzuri ufaayo
Mifano ya insha
Vifaa halisi
Picha na michoro
Kiswahili Fasaha BK4 UK 166 
9 2
Isimu Jamii
Fasihi Simulizi
Ushairi
Sajili ya viwandani nay a bungeni
Mawaidha
Bahari za Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa na kueleza sifa za sajili hizo
Kubainisha sifa za pekee katika kujibu maswali


Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Waalikwa kutoa mawaidha
Kunga za ushairi

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 104-105
9 3
Kusoma kwa ufahamu
Fasihi
Sokoni
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kufafanua maana ya msamiati uliotumika
Kujibu maswali

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 169-171
Mwongozo wa mwalimu
9 4
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Uchanganuzi wa sentensi
Kusoma kwa mapana Kiswahili
Tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kuzingatia aina za maneno, kishazi, kirai, kundu nomino na kundi tenzi
Kufanya zoezi

Kupambanua sentensi kwa:
- Mistari
- Michoro/jedwali
- Matawi
Utendaji wa wanafunzi
Michoro na majedwali
Majarida
Magazeti
Picha, michoro, mabango, magazeti, vifaa halisi
Mwongozo wa mwalimu
KLB BK4
UK 171-174 
9 5-6
Fasihi
Isimu Jamii
Sarufi
Kusoma
Kudurusu
Sajili ya lugha ya kiutawala
Kipozi na kitondo
Usanifishaji wa Kiswahili (Kenya)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kujadiliana maswali ya fasihi kuhusu ploti, dhamira, maudhui, wahusika, mbinu za lugha na za kisanaa

Kuelewa na kueleza sifa za sajili ya kiutawala
Kubainisha sifa zake za pekee
Kujibu maswali

Kujadiliano
Kuuliza na kujibu maswali
Kufanya zoezi

Majadiliano
Kuuliza na kujibu maswali

Vifaa halisi
Picha na michoro
kitabu teule

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 107
10 1
Fasihi
Kuandika
Lakabu
Kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa maana na matumizi ya lakabu
Kubainisha umuhimu wake katika jamii

Kusikiliza
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Mifano ya nakala za kumbukumbu
Ngure: Fasihi Simulizi
KLB BK4 UK 80 
10 2
Sarufi
Fasihi Simulizi
Kusoma
Uchanganusi wa sentensi (Kudurusu)
Kudurusu
Haki za binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuchanganua sentensi kwa kutambulisha KN + KT na vipashio vyake kwa matawi, mistari na jedwali ipasavyo

Kujadiliana
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati
UK 98-107
KLB BK4 UK 171
10 3
Fasihi Simulizi
Sarufi
Fasihi
Mighani
Uakifishaji
Kudurusu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kwa kuzingatia matamshi bora, kughani na kubainisha umuhimu wa mighani

Majadiliano
Kughani
Vifaa halisi
Picha na michoro
Nakala za maswali
Mwongozo wa fasihi sanifu
10 4
Kuandika
Isimu Jamii
Fasihi simulizi
Meme na barua meme
Sajili ya kitaaluma
Maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kubainisha nukulishi au kipepesi/faksi, mdahalishi na barua za rununu
Kubainisha faida za huduma hizo
Kusikiliza
Kuuliza na kujibu maswali
Majadiliano
Kufanya zoezi
Vifaa halisi
Picha na michoro
I. Ikarabati UK 4
KLB BK4 UK 50 
10 5-6
Sarufi
Kusikiliza na Kuongea
Kusoma
Fasihi
Kuandika
Sarufi
Mzizi wa kitenzi na viambishi
Maigizo
Katiba ya wanyama
Ushairi
Wasifu
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudurusu tena ? mzizi wa kitenzi na viambishi na kuweza kuvitumia ipasavyo katika sentensi

Kusoma, kuchambua dhamira, maudhui, mbinu za lugha na wahusika bila utatanishi

Kusikiliza
Kuuliza maswali
Majadiliano

Kusoma
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Picha za wanyama
Viungo vya miili yao
Mazingira ya shule
Maleba
Vifaa vya bandia
Nakala za wasifu
Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro
 KLB BK4 UK 43
kitabu teule
11 1
Isimu Jamii
Fasihi
Kusikiliza na Kuzungumza
Daktari na mgonjwa
Ushairi
Ulevi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuelewa sifa na msamiati utumikao katika muktadha wa mahojiano kati ya daktari na mgonjwa na kueleza

Kujadiliana
Kuigiza
Kuuliza na kujibu maswali
Maleba
Mahambo
Vifaa halisi
Picha na michoro
Ushairi

Odeo I.I na Maina C.
Fani ya Isimu Jamii UK 112
11 2
Kusoma
Fasihi Simulizi
Sarufi
Uandishi
Fasihi Simulizi
Nyakati na hali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma, kujadili na kutoa maana ya msamiati
Kueleza hatua za shughuli za uandishi na kuweza kuandika ipasavyo

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Majadiliano
Picha na matbaa
Picha za uandishi wa Kiswahili
Mifano ya kazi za fasihi
Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 190-194
11 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu Jamii
Utungaji wa kisanii
Ngomezi
Makosa katika matumizi ya lugha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kukuza staid za kuandika kisanii

Maelezo
Kusoma na kuandika
Makala ya mashairi ya arudhi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4 UK 197
11 4
Kusoma
Fasihi Simulizi
Kuandika
Makala kutoka kwa wavuti
Mazungumzo
Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kusoma makala yaliyoteuliwa kutoka kwenye wavuti kwa ufasaha na kuweza kujibu maswali

Kusoma
Kuuliza na kujibu maswali
Makala
Vifaa halisi
Picha na michoro
Aina mbalimbali za mazungumzo
Makala ya ufupisho
Tuki: Kamusi sanifu
KLB BK4
UK 204-206 
11 5-6
Sarufi
Fasihi Simulizi
Kusikiliza na kuzungumza
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma
Sentensi Uundaji wa maneno, uunganishi
Viungo muhimu vya riwaya
Maghani na majigambo
Tondozi na pembezi
Fasihi na mazingira ya sasa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kudurusu ? aina za sentensi, uchanganuzi na uundaji wa maneno yenye shina moja na kuyatungia sentensi sahihi

Kutambua aina za tondozi na pembezi, kuweza kuzitofautisha na kufanya zoezi

Kisikiliza
Kuuliza na kujibu maswali

Utambuzi wa aina za tondozi na pembezi
Kufanya zoezi
Jedwali
Vifaa halisi
Picha na michoro
Riwaya teule
Utendaji wa wanafunzi
Vifaa halisi
Picha na michoro
Vitu halisi na utendaji wa wanafunzi
 KLB BK4
UK 211-213
Mwongozo wa fasihi simulizi
NgureFasihi simulizi
KLB BK4
UK 216-218
12

Mtihani wa mwisho wa muhula

13

Kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback