Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2024
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 3-4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Sarufi
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Sarufi
Sarufi
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Vivumishi vya Idadi
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.

Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
Kitabu cha Fasihi
Kitabu cha Shairi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
2 5
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Vivumishi kwa pekee
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa
Matumizi ya lugha katika fasihi
Matumizi ya lugha katika fasihi
Vielezi
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
2 6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kusoma
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Kusoma
Kusoma
Kuandika
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
8-9

Midterm break


Your Name Comes Here


Download

Feedback