If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1-2 |
Kuandika
|
Utangaji wa kuamilifu
Ilani |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua mtindo unaofwatwa katika uandishi wa mahojiano Kutambua vipengee muhimu yanayozingatiwa katika uandishi wa mahojiano somo ; Kueleza maana na umuhimu wa ilani Kutaja sifa za ilani na onyo Kutaja aina za ilani Kutengeneza ilani na onyo Kueleze tofauti za onyo na ilani |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 21-22) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 38-42) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 3 |
Kuandika
|
Ilani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana na umuhimu wa ilani Kutaja sifa za ilani na onyo Kutaja aina za ilani Kutengeneza ilani na onyo Kueleze tofauti za onyo na ilani |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 4 |
Kuandika
|
Uandishi wa insha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha Kuandika insha |
Majadiliano
Kuandika Maswali na majibu Mazungumzo Maelezo |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 5 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua madhumini ya matangazo Kuandika matangazo Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo Kutaja njia za kupitisha matangazo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115) Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila) |
|
1 | 6 |
Kuandika
|
Dayolojia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya dayolojia Kuandika dayolojia Kueleza mtindo wa dayolojia Kusoma na kuigiza dayolojia |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117) |
|
2 | 1-2 |
Kuandika
|
Ratiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya ratiba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba. Kuandika ratiba . Kueleza maana ya hotuba. Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134) |
|
2 | 3 |
Kuandika
|
Taarifa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya taarifa. Kutaja na kujadili sifa za taarifa. Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144) |
|
2 | 4 |
Kuandika
|
Unadishi wa insha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha. Kuandika insha kuhusu mada aipendayo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152) |
|
2 | 5 |
Kuandika
|
Unadishi wa insha
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha. Kuandika insha kuhusu mada aipendayo |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152) |
|
2 | 6 |
Kuandika
|
Resipe
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya resipe. Kujadili matumizi ya resipe. Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe. Kuunda resipe |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165) |
|
3 | 1-2 |
Kuandika
|
Risala
Barua rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kuleza maana ya risala. kujadili matumizi ya risala kutambua mifano ya risala. Kuandika risala somo ; Kueleza maana ya barua rasmi. Taja sehemu tofauti za barua rasmi. Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi. Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176) KLB Kiswahili kitukuzwe 2 (uk 200-204) |
|
3 | 3 |
Kuandika
|
Uandishi wa Insha - Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali. Kujadili utunzi wa insha. Kuandika insha ya methali yeyote. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230) |
|
3 | 4 |
Kuandika
|
Uandishi wa Insha - Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali. Kujadili utunzi wa insha. Kuandika insha ya methali yeyote. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230) |
|
3 | 5 |
Kuandika
|
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya mualiko. Kutambua sifa za mialiko. Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko. Kuandika barua ya mualiko. |
Maswali dodoso
Maelezo Majadiliano Kusoma Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu |
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240) |
|
3 | 6 |
SURA YA KUMI NA TISA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Methali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kufafanua maana ya methali na umuhimu wake - Kutambua sifa za methali za Kiswahili - Kueleza dhima za methali katika jamii - Kutoa mifano ya methali mbalimbali - Kuchunguza tamathali za lugha katika methali |
- Mazungumzo kuhusu methali za kimapokeo
- Mwalimu aeleze sifa za methali - Wanafunzi watoe mifano ya methali - Majadiliano kuhusu dhima za methali - Kukusanya methali kutoka jamii mbalimbali |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Makusanyo ya methali za Kiswahili - Chati za dhima za methali - Karatasi za kukusanya methali |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 207-209
|
|
4 | 1-2 |
Kusoma kwa Kina
|
Riwaya
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza sifa za riwaya kama utanzu wa fasihi - Kuchunguza vipengele vya riwaya - Kuchambua maudhui ya riwaya teule - Kutambua wahusika na uchambuzi wao - Kufafanua tamathali za usemi zilizotumiwa |
- Kusoma riwaya teule kwa makini
- Kuchambua maudhui ya riwaya - Majadiliano kuhusu wahusika na tabia zao - Kutambua tamathali za lugha - Kuandika uchambuzi mfupi wa riwaya |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Nakala za riwaya teule - Chati za uchambuzi wa fasihi - Karatasi za uchambuzi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 211
|
|
4 | 3 |
SURA YA KUMI NA TISA
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
|
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 4 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
4 | 5 |
SURA YA ISHIRINI
Kusoma kwa Ufahamu |
Urithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa maudhui ya hadithi kuhusu urithi - Kuchunguza changamoto za ugawaji wa urithi - Kutambua wahusika na tabia zao - Kufafanua athari za ubinafsi katika ugawaji wa mali - Kutathmini mafunzo yanayojitokeza |
- Kusoma kifungu kuhusu familia ya Zakaria
- Kuchambua changamoto za ugawaji wa mali - Majadiliano kuhusu tabia za jamaa - Kujibu maswali ya ufahamu - Kujadili umuhimu wa haki za watoto |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Makaratasi ya maswali - Chati za uchambuzi wa wahusika - Mifano ya sheria za urithi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 214-215
|
|
4 | 6 |
Kusoma kwa Ufahamu
|
Urithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa maudhui ya hadithi kuhusu urithi - Kuchunguza changamoto za ugawaji wa urithi - Kutambua wahusika na tabia zao - Kufafanua athari za ubinafsi katika ugawaji wa mali - Kutathmini mafunzo yanayojitokeza |
- Kusoma kifungu kuhusu familia ya Zakaria
- Kuchambua changamoto za ugawaji wa mali - Majadiliano kuhusu tabia za jamaa - Kujibu maswali ya ufahamu - Kujadili umuhimu wa haki za watoto |
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu - Makaratasi ya maswali - Chati za uchambuzi wa wahusika - Mifano ya sheria za urithi |
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 214-215
|
|
5 | 1-2 |
SURA YA ISHIRINI
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
|
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 3 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 4 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
5 | 5 |
SURA YA ISHIRINI NA MOJA
Kusikiliza na Kuzungumza |
Ngomezi - Mawasiliano kwa Ngoma
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ngomezi Kutaja matukio yanayohusiana na ngomezi Kufafanua sifa za ngomezi Kuigiza baadhi ya ngomezi Kueleza dhima za ngomezi katika jamii |
Mazungumzo ya utangulizi kuhusu njia za mawasiliano ya kiasili Kusikiliza maelezo kuhusu aina za ngomezi (kifo, mavuno, mwaka mpya, mwezi kupatwa) Mjadala wa vikundi kuhusu matukio yanayohusiana na ngomezi Kuigiza ngomezi za kutangaza kifo na kusherehekea mavuno Mazungumzo kuhusu dhima za ngomezi katika jamii |
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Ngoma au vifaa vya kuiga sauti Vielelezo vya picha za sherehe Kanda za sauti |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 219-221
|
|
5 | 6 |
Kuandika
|
Utungaji wa Kiuamilifu: Ripoti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana na umuhimu wa ripoti Kutambua sehemu za ripoti Kufafanua kanuni za kuandika ripoti Kuandika ripoti sahihi Kutumia lugha sahihi ya kirasmi |
Mazungumzo kuhusu maana ya ripoti Kujifunza muundo wa ripoti Kusoma mfano wa ripoti Kujadili mambo yanayopaswa kuzingatiwa Zoezi la kuandika ripoti ya ziara Kusahihisha ripoti zilizoandikwa |
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Mifano ya ripoti Fomu za kuandikia Kalamu na karatasi Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 227-232
|
|
6 | 1-2 |
SURA YA ISHIRINI NA MOJA
|
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
|
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 3 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 4 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Fasihi Andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 5 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Fasihi Andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
6 | 6 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Fasihi Andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
7 |
MARUDIO NA MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA |
|||||||
8 | 1-2 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Fasihi Andishi |
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
|
8 | 3 |
SURA YA ISHIRINI NA MBILI
Kuandika |
Insha na Barua Mbalimbali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika insha ya ulinganisho Kuandika barua ya kuomba kazi Kuandika barua ya kupongeza Kutoa wasifu wa nchi Kutumia lugha sahihi ya uandishi Kuzingatia muundo sahihi wa barua |
Kujadili aina za insha na barua Kuandika insha ya kulinganisha maisha ya kale na ya leo Zoezi la kuandika barua ya kuomba kazi Kuandika barua ya kupongeza rafiki Kutoa wasifu wa nchi ya kuzuru Kusahihisha na kuboresha maandiko |
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Mifano ya insha na barua Karatasi za uandishi Kalamu Kamusi ya Kiswahili Fomu za barua |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 248-252
|
|
8 | 4 |
|
Insha na Barua Mbalimbali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
|
|
|
8 | 5 |
|
Insha na Barua Mbalimbali
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
|
|
|
|
|
8 | 6 |
Fasihi Andishi
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia |
Kusoma
Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
|
Your Name Comes Here