Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 1-2
Kuandika
Utangaji wa kuamilifu
Ilani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mtindo unaofwatwa katika uandishi wa mahojiano
Kutambua vipengee muhimu yanayozingatiwa katika uandishi wa mahojiano

somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 21-22)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 3
Kuandika
Ilani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana na umuhimu wa ilani
Kutaja sifa za ilani na onyo
Kutaja aina za ilani
Kutengeneza ilani na onyo
Kueleze tofauti za onyo na ilani
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 38-42)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 4
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 5
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-matangazo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua madhumini ya matangazo
Kuandika matangazo
Kutaja mambo muhimu ya kuzingaitiwa katika uandishi wa matangazo
Kutaja njia za kupitisha matangazo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 111-115)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
1 6
Kuandika
Dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
2 1-2
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
2 3
Kuandika
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144)
2 4
Kuandika
Unadishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
2 5
Kuandika
Unadishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
2 6
Kuandika
Resipe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
3 1-2
Kuandika
Risala
Barua rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
somo ;
Kueleza maana ya barua rasmi.
Taja sehemu tofauti za barua rasmi.
Kutambua na kueleza miundo tofauti za barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia miundo tofauti
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176)
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 200-204)
3 3
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
3 4
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
3 5
Kuandika
Utungaji wa kiuamilifu-Barua ;mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mualiko.
Kutambua sifa za mialiko.
Kutaja na kujadili aina tofauti ya mialiko.
Kuandika barua ya mualiko.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 237-240)
3 6
SURA YA KUMI NA TISA

Kusikiliza na Kuzungumza
Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kufafanua maana ya methali na umuhimu wake
- Kutambua sifa za methali za Kiswahili
- Kueleza dhima za methali katika jamii
- Kutoa mifano ya methali mbalimbali
- Kuchunguza tamathali za lugha katika methali
- Mazungumzo kuhusu methali za kimapokeo
- Mwalimu aeleze sifa za methali
- Wanafunzi watoe mifano ya methali
- Majadiliano kuhusu dhima za methali
- Kukusanya methali kutoka jamii mbalimbali
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Makusanyo ya methali za Kiswahili
- Chati za dhima za methali
- Karatasi za kukusanya methali
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 207-209
4 1-2
Kusoma kwa Kina
Riwaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kueleza sifa za riwaya kama utanzu wa fasihi
- Kuchunguza vipengele vya riwaya
- Kuchambua maudhui ya riwaya teule
- Kutambua wahusika na uchambuzi wao
- Kufafanua tamathali za usemi zilizotumiwa
- Kusoma riwaya teule kwa makini
- Kuchambua maudhui ya riwaya
- Majadiliano kuhusu wahusika na tabia zao
- Kutambua tamathali za lugha
- Kuandika uchambuzi mfupi wa riwaya
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Nakala za riwaya teule
- Chati za uchambuzi wa fasihi
- Karatasi za uchambuzi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 211
4 3
SURA YA KUMI NA TISA
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 4
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 5
SURA YA ISHIRINI

Kusoma kwa Ufahamu
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa maudhui ya hadithi kuhusu urithi
- Kuchunguza changamoto za ugawaji wa urithi
- Kutambua wahusika na tabia zao
- Kufafanua athari za ubinafsi katika ugawaji wa mali
- Kutathmini mafunzo yanayojitokeza
- Kusoma kifungu kuhusu familia ya Zakaria
- Kuchambua changamoto za ugawaji wa mali
- Majadiliano kuhusu tabia za jamaa
- Kujibu maswali ya ufahamu
- Kujadili umuhimu wa haki za watoto
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Makaratasi ya maswali
- Chati za uchambuzi wa wahusika
- Mifano ya sheria za urithi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 214-215
4 6
Kusoma kwa Ufahamu
Urithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa maudhui ya hadithi kuhusu urithi
- Kuchunguza changamoto za ugawaji wa urithi
- Kutambua wahusika na tabia zao
- Kufafanua athari za ubinafsi katika ugawaji wa mali
- Kutathmini mafunzo yanayojitokeza
- Kusoma kifungu kuhusu familia ya Zakaria
- Kuchambua changamoto za ugawaji wa mali
- Majadiliano kuhusu tabia za jamaa
- Kujibu maswali ya ufahamu
- Kujadili umuhimu wa haki za watoto
- Kitabu Cha Mwanafunzi
- Mwongozo wa Mwalimu
- Makaratasi ya maswali
- Chati za uchambuzi wa wahusika
- Mifano ya sheria za urithi
KLB Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu, Kurasa 214-215
5 1-2
SURA YA ISHIRINI
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 3
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 4
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 5
SURA YA ISHIRINI NA MOJA

Kusikiliza na Kuzungumza
Ngomezi - Mawasiliano kwa Ngoma
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana ya ngomezi
Kutaja matukio yanayohusiana na ngomezi
Kufafanua sifa za ngomezi
Kuigiza baadhi ya ngomezi
Kueleza dhima za ngomezi katika jamii

Mazungumzo ya utangulizi kuhusu njia za mawasiliano ya kiasili
Kusikiliza maelezo kuhusu aina za ngomezi (kifo, mavuno, mwaka mpya, mwezi kupatwa)
Mjadala wa vikundi kuhusu matukio yanayohusiana na ngomezi
Kuigiza ngomezi za kutangaza kifo na kusherehekea mavuno
Mazungumzo kuhusu dhima za ngomezi katika jamii
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Ngoma au vifaa vya kuiga sauti
Vielelezo vya picha za sherehe
Kanda za sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 219-221
5 6
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kueleza maana na umuhimu wa ripoti
Kutambua sehemu za ripoti
Kufafanua kanuni za kuandika ripoti
Kuandika ripoti sahihi
Kutumia lugha sahihi ya kirasmi

Mazungumzo kuhusu maana ya ripoti
Kujifunza muundo wa ripoti
Kusoma mfano wa ripoti
Kujadili mambo yanayopaswa kuzingatiwa
Zoezi la kuandika ripoti ya ziara
Kusahihisha ripoti zilizoandikwa
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Mifano ya ripoti
Fomu za kuandikia
Kalamu na karatasi
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 227-232
6 1-2
SURA YA ISHIRINI NA MOJA
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma Kujadili Kuwasilisha Kuuliza maswali Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 3
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 5
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 6
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7

MARUDIO NA MTIHANI WA MWISHO WA MWAKA

8 1-2
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 3
SURA YA ISHIRINI NA MBILI

Kuandika
Insha na Barua Mbalimbali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

Kuandika insha ya ulinganisho
Kuandika barua ya kuomba kazi
Kuandika barua ya kupongeza
Kutoa wasifu wa nchi
Kutumia lugha sahihi ya uandishi
Kuzingatia muundo sahihi wa barua

Kujadili aina za insha na barua
Kuandika insha ya kulinganisha maisha ya kale na ya leo
Zoezi la kuandika barua ya kuomba kazi
Kuandika barua ya kupongeza rafiki
Kutoa wasifu wa nchi ya kuzuru
Kusahihisha na kuboresha maandiko
Kitabu cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Mifano ya insha na barua
Karatasi za uandishi
Kalamu
Kamusi ya Kiswahili
Fomu za barua
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha Tatu Uk. 248-252
8 4
Insha na Barua Mbalimbali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
8 5
Insha na Barua Mbalimbali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
8 6
Fasihi Andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege

Your Name Comes Here


Download

Feedback