Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA III

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1 1
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Isimu jamii; Sajili
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
1 2
Sarufi
Kusoma
Vivumishi vya Idadi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
1 3
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Nakala halisi ya barua rasmi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
1 4-5
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
1 6
Sarufi
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
2 1
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 2
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 3
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
2 4-5
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Isimujamii; Mahakamani
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
2 6
Kusoma (fasihi)
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 1
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 2
Fasihi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 3
Fasihi
2
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
3 4-5
Fasihi andishi
Kusikiliza na kuongea
Kusoma
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Miviga
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu
Kamusi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
3 6
Kisikiliza na kuongea
kusoma
Hotuba
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
4-5

Mtihani

5 2
Kuandika
Fasihi
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
5 3
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uzalendo
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
5 4-5
Sarufi
kusoma
Kuandika
Fasihi
Nyakati na hali marudio
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali

kutambua aina za mahojiano
Kutaja
Kueleza
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Tamthilia
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
5 6
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
6 1
Sarufi
kusoma
Uakifishaji
Ukimwi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
6 2
Kuandika
Fasihi
Barua meme
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme
Kuandika nukulishi
Kusoma
Kufupisha
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
6 3
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
6 4-5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Vitenzi
Mazingira fomu
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kusikiliza
kuzungumza
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
6 6
Kusoma
Sarufi
Ufahamu
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
7 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Methali
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali
Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
7 2
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 3
Kusoma
Sarufi
Urithi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
7 4-5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Maghani
Matangazo
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani
Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano

Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kusikiliza
kuzungumza
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
7 6
Kusoma
Sarufi
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
8 1
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Ngomezi
Ripoti
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
8 2
Fasihi
Fasihi andishi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira,
lugha, maudhui mbinu za kisanaa na
wahusika katika hadithi fupi
Kujadiliana
Kuuliza
Kujibu maswali baada ya hadithi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine

Your Name Comes Here


Download

Feedback