If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi |
Isimu jamii; Sajili
Viulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili. Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini. Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi. |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuuliza maswali Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
|
|
1 | 2 |
Sarufi
Kusoma |
Vivumishi vya Idadi
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo. Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi. |
Kueleza
Kuandika Kujadiliana Kuuliza maswali Kazi ya vikundi Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
|
|
1 | 3 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Nakala halisi ya barua rasmi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
1 | 4-5 |
Kusoma (fasihi)
Sarufi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
‘A’ Unganifu Virejeshi ‘O’ na ‘amba’ |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu. Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino. Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu. |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi Kusoma Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23 |
|
1 | 6 |
Sarufi
|
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi. Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi. Kujibu maswali kwa usahihi. |
Kusoma
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Kufanya zoezi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili |
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
|
|
2 | 1 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
2 | 2 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
2 | 3 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
2 | 4-5 |
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza Kusoma (fasihi) |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Isimujamii; Mahakamani Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani. Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani. Kusoma kifungu na kujibu maswali. |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi Kudodosa Kusoma Kujadili Kuigiza Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya Kiswahili Kitabu cha Fasihi Simulizi Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65 |
|
2 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 1 |
Kusoma (fasihi)
Kuandika |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Uandishi wa insha |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 2 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 3 |
Fasihi
2 |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
sarufi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 4-5 |
Fasihi
andishi
Kusikiliza na kuongea Kusoma |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Miviga uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi Kusikiliza kuzungumza |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
Kitabu Kamusi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136 |
|
3 | 6 |
Kisikiliza na kuongea
kusoma |
Hotuba
uzalendo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali |
Malumbano
|
Kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
|
|
4-5 |
Mtihani |
|||||||
5 | 2 |
Kuandika
Fasihi |
mahojiano na dayolojia
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
|
|
5 | 3 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
Uzalendo
Hotuba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 169-170
|
|
5 | 4-5 |
Sarufi
kusoma Kuandika Fasihi |
Nyakati na hali marudio
uzalendo mahojiano na dayolojia Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi mfano -li-( uliopita) walisherehekea kiambishi cha hali -me- timilifu wahalifu wamefungwa kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali kutambua aina za mahojiano |
Kutaja
Kueleza Kusoma Kufupisha |
kitabu
Tamthilia kitabu Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174 |
|
5 | 6 |
Kusoma
Kisikiliza na kuongea |
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Jibu maswali |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
|
|
6 | 1 |
Sarufi
kusoma |
Uakifishaji
Ukimwi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali |
Kutaja
Kueleza |
kitabu
Tamthilia |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
|
|
6 | 2 |
Kuandika
Fasihi |
Barua meme
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya barua meme Kuandika nukulishi |
Kusoma
Kufupisha |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182-186
|
|
6 | 3 |
Kusoma
Kusikiliza na kuongea |
Shairi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
6 | 4-5 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Vitenzi
Mazingira fomu Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka Mfano Bakisha- bakishiwa- Kauli ya kutendesha na Kosesha- kosesheana Pimisha- pimishana Mifano katika sentensi Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kusikiliza
kuzungumza Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
|
6 | 6 |
Kusoma
Sarufi |
Ufahamu
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
|
|
7 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Methali
Utungaji wa kisanii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua methali Kutaja sifa za methali, dhima ya methali na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
|
|
7 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 3 |
Kusoma
Sarufi |
Urithi
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
|
|
7 | 4-5 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika Fasihi Fasihi andishi |
Maghani
Matangazo Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Maghani Kutaja sifa za Maghani, dhima ya Maghani na kutoa mifano Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kusikiliza
kuzungumza Kujadiliana Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
|
7 | 6 |
Kusoma
Sarufi |
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu
kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 208-209
|
|
8 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
kuandika |
Ngomezi
Ripoti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Ngomezi Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano |
Kusikiliza
kuzungumza |
Kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207
|
|
8 | 2 |
Fasihi
Fasihi andishi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Your Name Comes Here