If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 |
MTIHANI WA KUFUNGUA SHULE/MARUDIO |
|||||||
2 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Ngomezi
Muundo wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ; Kueleza maana ya Ngomezi. Kutaja sifa za ngomezi Kufafanua umuhimu wa ngomezi Kutaja ngomezi za kisasa |
Kueleza
Kujadiliana Kuandika Kuigiza Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi ya fasihi simulizi Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 177-178
|
|
2 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Tawasifu
Isimu jamii: Sajili ya michezoni |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya tawasifu Kueleza sifa za tawasifu Kuandika tawasifu kwa lugha inayokubalika |
Kuandika
Kueleza Kujibu maswali |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 185-186
|
|
2 | 3 |
Kusoma
Kusoma (fasihi) |
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
Kusoma kwa kina; Kigogo Chozi la heri Tumbo lisiloshiba |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutaja vipengele vya kutumia kupata maadili ya kitabu teule. Kueleza maana ya anwani na umuhimu wake. Kufafanua wahusika na jinsi wanavyojenga maadili. |
Kusoma.
Kusikiliza. Kuandika. Kujadiliana. Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu |
Kitabu teule
|
|
2 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika |
Yambwa na chagizo
Maagizo na maelekezo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya yambwa na chagizo. Kubainisha chagizo katika sentensi. Kutunga sentensi zilizo na yambwa na chagizo |
Kueleza
Kusoma Kujibu maswali Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 190-191
|
|
2 | 5 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kuandika |
Virai
Dayalojia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya kirai. Kutambua aina za virai. Kutunga sentensi kudhihirisha aina za virai. |
Kusoma
Kujadili Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 198-199
|
|
2 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kutambua mbinu za sanaa katika hadithi fupi Kufafanua mbinu za sanaa na dhima yake katika hadithi Kupanua kitembo chake cha msamiati na fani za lugha. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
3 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Nyimbo na maghani
Vishazi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya nyimbo na maghani. Kutaja sifa za nyimbo na maghani. Kutaja na kueleza aina za nyimbo Kufafanua umuhimu wa nyimbo na maghani. |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 209-212
|
|
3 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Ratiba
Ulumbi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya ratiba. Kufafanua umuhimu wa ratiba. Kutaja mambo muhimu ya kuzingatia mtu anapoandika ratiba. Kuandika ratiba. |
Kusoma.
Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 216-217
|
|
3 | 3 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muktadha wa vitabu Kuchambua vipengele vya fasihi-maudhui, wahusika na lugha |
Kusoma.
Kusikiliza Kuandika Kujadiliana Uchambuzi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
3 | 4 |
Kuandika
Sarufi na matumizi ya lugha |
Barua kwa mhariri
Uchanganuzi wa sentensi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa barua kwa mhariri. Kutaja sifa za barua kwa mhariri. Kuandika barua kwa mhariri. |
Mifano.
Majadiliano Maelezo Ufafanuzi Tajriba Kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 227-228
|
|
3 | 5 |
Kusoma kwa kina
Kuandika |
Wahusika na uhusika katika fasihi andishi
Barua kwa mhariri wa gazeti |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya wahusika katika fasihi andishi. Kufafanua umuhimu wa wahusika katika fasihi andishi. Kutaja aina za wahusika katika fasihi andishi. |
Utafiti.
Mifano. Uchunguzi. Kazi mradi |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 233-234
|
|
3 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muktadha Kuchambua vipengele vya fasihi lugha, wahusika na fani Kujibu maswali |
Kusoma
Kujadili Kusikiliza kuandika |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi na matumizi ya lugha |
Isimu jamii: Sajili ya mahakamani
Uchanganuzi wa fungu tenzi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kufafanua sifa za sajili ya mahakamani Kueleza umuhimu wa sajili ya mahakamani Kutaja wanaohusika katika kutumia lugha ya mahakamani |
Usomaji.
Maelezo. Maswali na majibu. Utafiti |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 236
|
|
4 | 2 |
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza |
Insha ya mazungumzo
Changamoto za fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza muundo wa insha ya mazungumzo Kutaja sifa za insha ya mazungumzo. Kuandika insha ya mazungumzo. |
Kudadisi
Uchunguzi Ufafanuzi Uhakiki |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 241
|
|
4 | 3 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, Kubainisha aina za wahusika. Kueleza sifa bainifu za aina mbali mbali za wahusika. Kueleza umuhimu wa wahusika mbalimbali. |
Kusoma
Kujadili Kuandika Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
4 | 4 |
Sarufi na matumizi ya lugha
Kusoma kwa mapana |
Viambishi maalumu
Tahariri kutoka magazetini |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya viambishi maalumu. Kutaja aina za viambishi maalumu. Kutunga sentensi kubainisha matumizi ya kiambishi –ku-, -ndi-, -ji- |
Kuandika
Kuuliza maswali Kujibu maswali Kuigiza Majadiliano. |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 244-247
|
|
4 | 5 |
Kuandika
Kusoma kwa kina |
Mjadala
Matangazo |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza maana ya mjadala. Kufafanua kanuni za kutendesha mjadala. Kutaja umuhimu wa mjadala. |
Maelezo
Ufafanuzi. Utafiti. Kutoa mifano Kuigiza |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Oxford; Kiswahili fasaha Kidato cha nne Uk. 250
|
|
4 | 6 |
Kusoma (fasihi)
|
Kusoma kwa kina;
Kigogo
Chozi la heri
Tumbo lisiloshiba
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo, ; Kueleza umuhimu wa lugha katika kitabu teule. Kuchambua tamathali na matumizi ya lugha katika kitabu teule. Kueleza sajili na muktadha wa lugha mbalimbali. |
Kusoma
Kuadili Kudodoso fani za lugha Kuandika Kuwasilisha mbele ya darasa |
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu Kamusi |
Kitabu teule
|
|
5 | 1 |
MARUDIO
Kiswahili Karatasi ya 1 Kiswahili Karatasi ya 1 |
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
5 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
5 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
5 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
5 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
5 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
6 | 1 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
6 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
6 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
6 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
6 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
6 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
7 | 1 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
7 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
7 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
7 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
7 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
7 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
8 | 1 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
8 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
8 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
8 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
8 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
8 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
9 | 1 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
9 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
9 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
9 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
9 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
9 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
10 | 1 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
10 | 2 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
10 | 3 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha Rasmi (Lazima) – Barua, Hotuba, Memo, Ripoti
Insha za Hoja |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kutambua muundo na mtindo wa insha rasmi - Kuandika memo, barua na hotuba kwa Kiswahili sanifu - Kuepuka makosa ya lugha na kimuundo |
Mwalimu aelezee tofauti za insha rasmi Wanafunzi waandike memo/barua rasmi na kusoma hadharani Mwalimu atoe mrejesho wa kitaalamu
|
Karatasi za mitihani ya awali, mifano ya memo na barua
Mada za kijamii, mabango ya methali |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
10 | 4 |
Kiswahili Karatasi ya 1
|
Insha za Methali na Semi
Insha za Hadithi (Ubunifu) |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kuelewa methali na semi katika muktadha wa maisha - Kubuni kisa kinachoonyesha methali husika - Kutumia lugha yenye mvuto na msuko wa hadithi |
Mwalimu atoe mifano ya methali Wanafunzi wabuni hadithi fupi Ushirikiano wa darasa kusoma na kujadili
|
Orodha ya methali, vitabu vya fasihi simulizi
Kamusi, maswali ya awali |
mitihani ya Kanda
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4 |
|
10 | 5 |
Kiswahili Karatasi ya 2
|
Ufahamu na Ufupisho
Matumizi ya Lugha na Isimujamii |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- Kusoma ufahamu na kuelewa - Kutambua hoja kuu na kuziwasilisha kwa ufupisho - Kujibu maswali ya msingi kwa usahihi |
Kusoma ufahamu, kujibu maswali ya ufahamu, kufanya ufupisho, kujadili majibu kwa pamoja
|
Kamusi, mitihani ya awali
Mitihani ya awali, vitabu vya Kiswahili |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
10 | 6 |
Kiswahili Karatasi ya 3
|
Ushairi
Riwaya na Tamthilia |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kuchambua shairi kwa kuzingatia maudhui, mtindo na muundo. - Atambue mbinu za kifasihi (tamathali za usemi, taswira, urudiaji n.k). - Ajibu maswali ya mtihani yanayohusu ushairi. |
- Kusoma na kuchambua mashairi kwa vikundi. - Kubainisha mbinu na ujumbe wa mshairi. - Kufanya mazoezi ya maswali ya ushairi yaliyopita.
|
Mashairi teule, maswali ya mitihani ya awali.
Hadithi fupi, methali, vitendawili, nyimbo za simulizi. |
Kitabu cha mwanafunzi kidato 1-4
|
|
11 |
SHUGHULI ZA MTIHANI WA KITAIFA |
Your Name Comes Here