Home






MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
DARASA LA KWANZA
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA SHUGHULI ZA UFUNZAJI MASWALI DADISI NYENZO TATHMINI MAONI
1 1
Siku za wiki
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku
kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku
kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza
kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano
kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani.
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno.
"
"
wa siku za wiki.
"
"
mashairi kuhusu siku za wiki.
"
"
majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k.

za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili."
Wiki moja ina siku ngapi? Unaenda shule siku gani? 3) Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano? 4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
Charti Vifaa halisi
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
1 2
Siku za wiki
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku
kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku
kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza
kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano
kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani.
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno.
"
"
wa siku za wiki.
"
"
mashairi kuhusu siku za wiki.
"
"
majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k.

za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili."
Wiki moja ina siku ngapi? Unaenda shule siku gani? 3) Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano? 4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
Charti Vifaa halisi
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
1 3
Siku za wiki
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku
kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku
kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza
kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano
kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani.
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno.
"
"
wa siku za wiki.
"
"
mashairi kuhusu siku za wiki.
"
"
majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k.

za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili."
Wiki moja ina siku ngapi? Unaenda shule siku gani? 3) Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano? 4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
Charti Vifaa halisi
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
1 4
Siku za wiki
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku
kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku
kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza
kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano
kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani.
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno.
"
"
wa siku za wiki.
"
"
mashairi kuhusu siku za wiki.
"
"
majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k.

za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili."
Wiki moja ina siku ngapi? Unaenda shule siku gani? 3) Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano? 4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
Charti Vifaa halisi
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
2 1
Kusikili za na Kuzung umza
Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia
kadi za maneno
Wiki moja ina siku ngapi
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
2 2
Kusikili za na Kuzung umza
Msamiati
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku
Mwanafunzi aweza kuimba wimbo wa siku za wiki.
Mwanafunzi aweza kukariri mashairi kuhusu siku za wiki
Wiki moja ina siku ngapi
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
2 3
Kusikili za na Kuzung umza
Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuelezea shughuli za siku aweze: kusimulia matukio katika siku tofauti za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza
Mwanafunzi asimulie kisa darasani.
Mwanafunzi aonyeshe umakinifu anaposikiliza masimulizi ya mwalimu na wanafunzi wenzake
Ni matukio yapi uliyowahi kushuhudia
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
2 4
Kusikili za na Kuzung umza
Masimulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kuelezea shughuli za siku kufahamu masimulizi ya matukio ya siku za wiki aliyosimuliwa ili kupata ujumbe
Wanafunzi waweza kusimuliana matukio ya
"siku za wiki wakiwa wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize masimulizi kuhusu matukio ya siku za wiki kupitia vifaa vya kiteknolojia k.m. simu, kinasasauti, kipakatalishi n.k."
Ni matukio yapi uliyowahi kushuhudia
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
3 1
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi
Umewahi kusikiliza hadithi ipii
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
3 2
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi
Umewahi kusikiliza hadithi ipii
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
3 3
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazojumuisha matukio ya siku za wiki ili kujenga umakinifu
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi.
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi
Umewahi kusikiliza hadithi ip
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
3 4
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kufahamu hadithi aliyosomewa katika mada ili kupata ujumbe
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi.
Mwanafunzi asikilize hadithi ikisomwa na mwalimu.
Mwanafunzi aeleze matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi
Umewahi kusikiliza hadithi ip
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
4 1
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja ili kuimarisha mazungumzo
Mwanafunzi ashirikishwe kutambua sauti /m/, /a/,
/u/ na /k katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti lengwa, kisha watamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili na katika darasa.
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
4 2
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja ili kuimarisha mazungumzo
Mwanafunzi ashirikishwe kutambua sauti /m/, /a/,
/u/ na /k katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti lengwa, kisha watamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili na katika darasa.
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
4 3
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi
zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya)
"kutamkia sauti. Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi.
Mwanafunzi aambatanishe silabi kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa"
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
4 4
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi.
Mwanafunzi aambatanishe silabi kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
5 1
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma maneno kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa katika kujenga stadi ya kusoma
"Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za maneno.
Wanafunzi waweza kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno"
marefu zaidi vipande vipande
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
5 2
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za maneno.
Wanafunzi waweza kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
5 3
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande.
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k.
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
5 4
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande.
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k.
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
6 1
Familia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuchangamkia kutumia maneno yanayojumuisha sauti zilizofunzwa katika mawasiliano ya kila siku
Mwanafunzi afinyange na aandike maumbo ya herufi za sauti alizosoma hewani na vitabuni.
Mwanafunzi aandike maneno yaliyo na herufi za sauti alizofunzwa kwa kunakili aliyoandika mwalimu
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
6 2
Kusikili za na Kuzung umza
Maneno ya heshima
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno ya heshima katika familia
Wanafunzi waweza kuonyeshwa mchoro wa mtoto akipokea zawadi halafu wajadili neno linalofaa kutumiwa na anayepokea zawadi.
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
6 3
Kusikili za na Kuzung umza
Maneno ya heshima
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia maneno ya heshima katika mawasiliano
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini.
Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
6 4
Kusikili za na Kuzung umza
Maneno ya heshima
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuambatanisha maneno ya heshima na hisia zifaazo katika mawasiliano
zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini. Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
7 1
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma: Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi
Mwanafunzi aweza kujadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
7 2
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma: Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi
Mwanafunzi aweza kujadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
7 3
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma: Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu familia darasani
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea
kwenye hadithi. Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
Charti
Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
7 4
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma: Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma hadithi kuhusu familia darasani
Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye asome akiwa peke yake au wiwili wawili.
.
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
8 1
Kusikili za na Kuzung umza
Sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
8 2
Kusikili za na Kuzung umza
Sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
8 3
Kusikili za na Kuzung umza
Sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi
Manafunzi aweza kusoma sentensi zinazojumuisha matumizi ya nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi.
Mwanafunzi aweza kujaza mapengo kwa kutumia maneno na viambishi vinavyowakilisha nafsi ya kwanza na wakati uliopo kama vile; mimi nina ; sisi tuna.
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
8 4
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha mazungumzo
Mwanafunzi atambue sauti /t/, /l/, /n/ na /o/ katika maneno.
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
9

Midterm break

10 1
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno
Mwanafunzi asikilize mwalimu anapotamka sauti lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili au kama darasa
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
10 2
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi
zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia
kadi za herufi
Ni sauti zipi unazojua kutamka
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
10 3
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi na kuchanganua yaliyo marefu zaidi. Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
Unajua kusoma herufi na
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
10 4
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi na kuchanganua yaliyo marefu zaidi. Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
Unajua kusoma herufi na
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
11 1
Kusikili za na Kuzung umza
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k.
Unajua kusoma herufi na
Charti Vifaa harisi
Maswalimepesi ya kauli
11 2
Kusoma:
Hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,

kutambua msamiati uliotumiwa katika hadithi ili kuimarisha mawasilian



Mwanafunzi ajadili picha
zilizojumuishwa kwenye
"hadithi.


Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi."
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya
kusoma na kusomewa
hadithi.
Je, ni nini maana ya usafi gani?
Mwalimu asikize
sentensi za
wanafunzi wanapotunga.



Wanafunzi " Uk 91 Oxford Kiswahili" Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
11 3
Kusoma:
hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma

Mwanafunzi asome
hadithi baada ya
mwalimu, kisha pamoja na mwalimu na baadaye akiwa peke yake au wawili wawili

Kufikia mwisho wa mada mwanafunzi aweze kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma
Fanya zoezi la
kwanza ukurasa
93

Tarakilishi " Uk 92-93 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi" ya lugha gredi 1
11 4
Kusoma:
hadithi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

kusoma hadithi zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma
Mwanafunzi aeleze maana na matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi
Unafikiri ni nini kitakachotokea katika hadithi hii?
Mwalimu asahihishe zoezi la mwanafunzi.
Wanafunzi Uk 93 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
12 1
Sarufi:
Matumizi ya huyu na hawa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,

kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano


Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi
"ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele.


Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha"
matumizi ya huyu na
hawa
Je, unajua ni kwa nini tunatumia huyu na hawa
Mwalimu asikize
wanafunzi
wakisoma.


Tarakilishi " Uk94 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
12 2
Sarufi:
Matumizi ya huyu na hawa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,

kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano


Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi
"ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele.


Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha"
matumizi ya huyu na
hawa
Je, unajua ni kwa nini tunatumia huyu na hawa
Mwalimu asikize
wanafunzi
wakisoma.


Tarakilishi " Uk94 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
12 3
Sarufi:
Matumizi ya huyu na hawa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kuandika sentensi kwa kutumia huyu na hawa katika kuimarisha stadi ya kuandika kuthamini utunzi wa sentensi sanifu katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza
kujaza mapengo kwenye
tarakilishi kupitia mchezo wa kuburura na kutia kapuni.
Je, utatumia neno lipi kuonyesha kwamba "mtu ni mmoja? Watu wakiwa wengi unaonyesha vipi?"
Mwalimu asikize
majibu wa
mwanafunzi kuhusu maswali aliyowapa.
Uk 95-96 " Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1 Wanafuzi"
12 4
Vyakula vya kiasilia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
,

"kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha stadi ya
kuzungumza"





Mwanafunzi atambue
sauti lengwa /s/, /b/, /y/ na
"/z/ katika maneno.


Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti"
lengwa, kisha atamke
pamoja na mwalimu na
mwishowe atamke akiwa
peke yake, wawili na
kama darasa.
Ni sauti zipi unazoweza kutamka?
Mwalimu asikize
sauti ambazo
mwanafunzi anaweza tamka.
Wanafunzi Uk97-98 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1 Wanafunzi
13 1
Vyakula vya kiasilia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno katika kuimarisha stadi ya kuzungumza
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.


Mwanafunzi atambue herufi zinazowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma.
"Wanafunzi Uk 98 Oxford Kiswahili" Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
13 2
Vyakula vya kiasilia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno katika kuimarisha stadi ya kuzungumza
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.


Mwanafunzi atambue herufi zinazowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma.
"Wanafunzi Uk 98 Oxford Kiswahili" Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
13 3
Vyakula vya kiasilia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:


kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma

Mwanafunzi
aambatanishe silabi
"kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa.


Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za"
maneno.
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Mwalimu atazame
mwanafunzi
akisoma silabi katika uk 99 kisha utunge maneno.

Wanafunzi " Uk 98-99 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
13 4
Vyakula vya kiasilia
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

kusoma herufi za sauti moja katika kuimarisha stadi ya kusoma
Wanafunzi waweza
kushirikishwa kusikiliza
mgeni mwalikwa mwenye
umahiri wa kutamka sauti
lengwa.

Mwanafunzi aweza
kufinyanga maumbo ya
herufi inayowakilisha
sauti iliyofunzwa.

Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
Mwalimu aanaglie
mwanafunzi
akifanya zoezi.








Wanafunzi Uk99-100 Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
14

End term exam


Your Name Comes Here


Download

Feedback