If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 1 |
Siku za wiki
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani. |
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno. " " wa siku za wiki. " " mashairi kuhusu siku za wiki. " " majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k. za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili." |
Wiki moja ina siku ngapi?
Unaenda shule siku gani?
3)
Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano?
4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
1 | 2 |
Siku za wiki
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani. |
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno. " " wa siku za wiki. " " mashairi kuhusu siku za wiki. " " majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k. za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili." |
Wiki moja ina siku ngapi?
Unaenda shule siku gani?
3)
Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano?
4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
1 | 3 |
Siku za wiki
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani. |
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno. " " wa siku za wiki. " " mashairi kuhusu siku za wiki. " " majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k. za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili." |
Wiki moja ina siku ngapi?
Unaenda shule siku gani?
3)
Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano?
4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
1 | 4 |
Siku za wiki
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani. |
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno. " " wa siku za wiki. " " mashairi kuhusu siku za wiki. " " majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k. za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili." |
Wiki moja ina siku ngapi?
Unaenda shule siku gani?
3)
Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano?
4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
2 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia
kadi za maneno |
Wiki moja ina siku ngapi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
2 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku |
Mwanafunzi aweza kuimba wimbo wa siku za wiki.
Mwanafunzi aweza kukariri mashairi kuhusu siku za wiki |
Wiki moja ina siku ngapi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
2 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuelezea shughuli za siku aweze: kusimulia matukio katika siku tofauti za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza |
Mwanafunzi asimulie kisa darasani.
Mwanafunzi aonyeshe umakinifu anaposikiliza masimulizi ya mwalimu na wanafunzi wenzake |
Ni matukio yapi uliyowahi kushuhudia
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
2 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuelezea shughuli za siku kufahamu masimulizi ya matukio ya siku za wiki aliyosimuliwa ili kupata ujumbe |
Wanafunzi waweza kusimuliana matukio ya
"siku za wiki wakiwa wawili wawili. Mwanafunzi asikilize masimulizi kuhusu matukio ya siku za wiki kupitia vifaa vya kiteknolojia k.m. simu, kinasasauti, kipakatalishi n.k." |
Ni matukio yapi uliyowahi
kushuhudia
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi
ya kauli
|
|
3 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu |
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ipii
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
3 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu |
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ipii
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
3 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazojumuisha matukio ya siku za wiki ili kujenga umakinifu |
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi.
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ip
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
3 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kufahamu hadithi aliyosomewa katika mada ili kupata ujumbe |
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi.
Mwanafunzi asikilize hadithi ikisomwa na mwalimu. Mwanafunzi aeleze matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ip
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
4 | 1 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja ili kuimarisha mazungumzo |
Mwanafunzi ashirikishwe kutambua sauti /m/, /a/,
/u/ na /k katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti lengwa, kisha watamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili na katika darasa. |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
4 | 2 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja ili kuimarisha mazungumzo |
Mwanafunzi ashirikishwe kutambua sauti /m/, /a/,
/u/ na /k katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti lengwa, kisha watamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili na katika darasa. |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
4 | 3 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya)
"kutamkia sauti. Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi. Mwanafunzi aambatanishe silabi kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa" |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
4 | 4 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi. Mwanafunzi aambatanishe silabi kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
5 | 1 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma maneno kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa katika kujenga stadi ya kusoma |
"Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za maneno.
Wanafunzi waweza kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno" marefu zaidi vipande vipande |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
5 | 2 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za maneno.
Wanafunzi waweza kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
5 | 3 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande.
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili. Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
5 | 4 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande.
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili. Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 1 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuchangamkia kutumia maneno yanayojumuisha sauti zilizofunzwa katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi afinyange na aandike maumbo ya herufi za sauti alizosoma hewani na vitabuni.
Mwanafunzi aandike maneno yaliyo na herufi za sauti alizofunzwa kwa kunakili aliyoandika mwalimu |
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno ya heshima katika familia |
Wanafunzi waweza kuonyeshwa mchoro wa mtoto akipokea zawadi halafu wajadili neno linalofaa kutumiwa na anayepokea zawadi.
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini |
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia maneno ya heshima katika mawasiliano |
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini.
Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile |
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuambatanisha maneno ya heshima na hisia zifaazo katika mawasiliano |
zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini. Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile
|
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi |
Mwanafunzi aweza kujadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi |
Mwanafunzi aweza kujadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu familia darasani |
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea
kwenye hadithi. Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye |
Unatakiwa kufanya nini
unaposomewa hadithi
|
Charti
Vifaa harisi |
Maswalimepesi
ya kauli
|
|
7 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma hadithi kuhusu familia darasani |
Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye asome akiwa peke yake au wiwili wawili.
. |
Unatakiwa kufanya nini unaposomewa hadithi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Manafunzi aweza kusoma sentensi zinazojumuisha matumizi ya nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi.
Mwanafunzi aweza kujaza mapengo kwa kutumia maneno na viambishi vinavyowakilisha nafsi ya kwanza na wakati uliopo kama vile; mimi nina ; sisi tuna. |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha mazungumzo |
Mwanafunzi atambue sauti /t/, /l/, /n/ na /o/ katika maneno.
|
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
9 |
Midterm break |
||||||||
10 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno |
Mwanafunzi asikilize mwalimu anapotamka sauti lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili wawili au kama darasa
|
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
10 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia
kadi za herufi |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
10 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi na kuchanganua yaliyo marefu zaidi. Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
|
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
10 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma herufi za sauti moja katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi na kuchanganua yaliyo marefu zaidi. Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili
|
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
11 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
11 | 2 |
Kusoma:
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumiwa katika hadithi ili kuimarisha mawasilian |
Mwanafunzi ajadili picha
zilizojumuishwa kwenye "hadithi. Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi." Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusoma na kusomewa hadithi. |
Je, ni nini maana ya
usafi gani?
|
Mwalimu asikize
sentensi za wanafunzi wanapotunga. |
Wanafunzi
"
Uk 91
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
11 | 3 |
Kusoma:
|
hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome
hadithi baada ya mwalimu, kisha pamoja na mwalimu na baadaye akiwa peke yake au wawili wawili |
Kufikia mwisho wa mada
mwanafunzi aweze
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma
|
Fanya zoezi la
kwanza ukurasa 93 |
Tarakilishi
"
Uk 92-93
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi"
ya lugha gredi 1
|
|
11 | 4 |
Kusoma:
|
hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma hadithi zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi aeleze maana na matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi
|
Unafikiri ni nini kitakachotokea katika hadithi hii?
|
Mwalimu asahihishe zoezi la mwanafunzi.
|
Wanafunzi Uk 93
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
12 | 1 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi "ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele. Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha" matumizi ya huyu na hawa |
Je, unajua ni kwa nini
tunatumia huyu na
hawa
|
Mwalimu asikize
wanafunzi wakisoma. |
Tarakilishi
"
Uk94
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
12 | 2 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi "ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele. Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha" matumizi ya huyu na hawa |
Je, unajua ni kwa nini
tunatumia huyu na
hawa
|
Mwalimu asikize
wanafunzi wakisoma. |
Tarakilishi
"
Uk94
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
12 | 3 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika sentensi kwa kutumia huyu na hawa katika kuimarisha stadi ya kuandika kuthamini utunzi wa sentensi sanifu katika mawasiliano. |
Mwanafunzi aweza
kujaza mapengo kwenye tarakilishi kupitia mchezo wa kuburura na kutia kapuni. |
Je, utatumia neno lipi
kuonyesha kwamba
"mtu ni mmoja?
Watu wakiwa wengi unaonyesha vipi?"
|
Mwalimu asikize
majibu wa mwanafunzi kuhusu maswali aliyowapa. |
Uk 95-96
"
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafuzi"
|
|
12 | 4 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, "kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha stadi ya kuzungumza" |
Mwanafunzi atambue
sauti lengwa /s/, /b/, /y/ na "/z/ katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti" lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili na kama darasa. |
Ni sauti zipi
unazoweza kutamka?
|
Mwalimu asikize
sauti ambazo mwanafunzi anaweza tamka. |
Wanafunzi
Uk97-98
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafunzi
|
|
13 | 1 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno katika kuimarisha stadi ya kuzungumza |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.
Mwanafunzi atambue herufi zinazowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma.
|
"Wanafunzi Uk 98
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
13 | 2 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua sauti za herufi moja zilizofunzwa katika maneno katika kuimarisha stadi ya kuzungumza |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya) kutamkia sauti.
Mwanafunzi atambue herufi zinazowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma.
|
"Wanafunzi Uk 98
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
13 | 3 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi
aambatanishe silabi "kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa. Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za" maneno. |
Unajua kusoma herufi
na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame
mwanafunzi akisoma silabi katika uk 99 kisha utunge maneno. |
Wanafunzi
"
Uk 98-99
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
13 | 4 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma herufi za sauti moja katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Wanafunzi waweza
kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi aweza kufinyanga maumbo ya herufi inayowakilisha sauti iliyofunzwa. |
Unajua kusoma herufi
na maneno yapi?
|
Mwalimu aanaglie
mwanafunzi akifanya zoezi. |
Wanafunzi
Uk99-100
Oxford
Kiswahili
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
14 |
End term exam |
Your Name Comes Here