If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | SHUGHULI ZA UFUNZAJI | MASWALI DADISI | NYENZO | TATHMINI | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
2 | 1 |
Karibu Darasani
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Maamku zi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno yatumiwayo katika maamkuzi kuamkua na kuitikia maamkuzi ili kujenga stadi ya kuzungumza kutambua umuhimu wa salamu katika mawasiliano kufurahia kushiriki katika maamkuzi. |
"
Mwanafunzi aigize maamkuzi kama vile hujambo? Sijambo; Hamjambo? Hatujambo darasani horo wa watu wawili wakisalimiana " " washirikishwe katika mjadala kuhusu maamkuzi katika vikundi ili wajadili kuhusu umuhimu wa maamkuzi " " kushirikishwa katika kuigiza maamkuzi mepesi" " maamkuzi darasani wakiwa wawili wawili" |
Tunatumia maneno gani katika salamu?
Tunatakiwa kusalimian a vipi?
3 Kwa nini tunasalimia na
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
2 | 2 |
Karibu Darasani
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Maamku zi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno yatumiwayo katika maamkuzi kuamkua na kuitikia maamkuzi ili kujenga stadi ya kuzungumza kutambua umuhimu wa salamu katika mawasiliano kufurahia kushiriki katika maamkuzi. |
"
Mwanafunzi aigize maamkuzi kama vile hujambo? Sijambo; Hamjambo? Hatujambo darasani horo wa watu wawili wakisalimiana " " washirikishwe katika mjadala kuhusu maamkuzi katika vikundi ili wajadili kuhusu umuhimu wa maamkuzi " " kushirikishwa katika kuigiza maamkuzi mepesi" " maamkuzi darasani wakiwa wawili wawili" |
Tunatumia maneno gani katika salamu?
Tunatakiwa kusalimian a vipi?
3 Kwa nini tunasalimia na
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
2 | 3 |
Karibu Darasani
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Maagizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
", kutambua maagizo mepesi yanapotolewa darasani kutoa na kufuata maagizo mepesi yanayotumiwa darasani kubainisha maagizo yanayopaswa kufuatwa katika mazingira yake kuthamini umuhimu wa maagizo 1-" 2katika maisha ya kila siku |
"""
Mwanafunzi ashiriki katika kutoa na kufuata maagizo kama vile simama, keti, andika na chora "" "" video ya jinsi ya kutoa na kufuata maagizo "" " " mjadala wa maagizo yafaayo na" "yasiyofaa kufuatwa zi afafanue umuhimu wa maagizo " " katika masimulizi ya matokeo ya kufuata na kutofuata maagizo " " katika kuimba nyimbo na kukariri mashairi yanayohusu maagizo" |
"
Umewahi kuambiwa ufanye jambo lolote?
Ni nani anayetakiw"
"
Je, wajua vitu unavyotum ia darasani?
Je, wajua umoja na wingi wa vitu vya darasani"
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
2 | 4 |
Karibu Darasani
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua kwa majina vifaa vinavyopatikana darasani ili kurahisisha mawasiliano kutumia majina ya vifaa vya darasani katika sentensi ili kuwezesha mazungumzo kufurahia kutumia na kutunza vifaa vinavyopatikana darasani |
"
Mwanafunzi ataje vifaa halisi k.v. dawati, kitabu, kalamu na kifutio " " picha za vifaa halisi na kutaja majina vifaa vya darasani kadi za maneno na vifaa halisi darasani wakiwa katika v " " mwenzake kuhusu vifaa vya darasani k.m. Hii ni nini? Hii ni kalamu" |
Je, wajua vitu unavyotum ia darasani?
Je, wajua umoja na wingi wa vitu vya darasani
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
3 | 1 |
Karibu Darasani
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
" kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu" "kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu ili kujenga usikivu kufahamu hadithi aliyosomewa darasani katika kuimarisha stadi ya kusoma kuchangamkia hadithi katika maisha ya kila siku" |
"
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi " "kwenye hadithi ishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi " " msamiati uliotumika kwenye hadithi maswali. kuhusu hadithi wakiwa wawili wawili " " hadithi ikisomwa kwa kutumia tarakilishi na projekta" |
"
Kwa nini unapenda picha?"
"
Unapenda hadithi?
Kwa nini unapenda hadithi? 4)
Unakumbu ka hadithi uliyosikiliz a"
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
3 | 2 |
Karibu Darasani
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
" kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu" "kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu ili kujenga usikivu kufahamu hadithi aliyosomewa darasani katika kuimarisha stadi ya kusoma kuchangamkia hadithi katika maisha ya kila siku" |
"
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi " "kwenye hadithi ishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi " " msamiati uliotumika kwenye hadithi maswali. kuhusu hadithi wakiwa wawili wawili " " hadithi ikisomwa kwa kutumia tarakilishi na projekta" |
"
Kwa nini unapenda picha?"
"
Unapenda hadithi?
Kwa nini unapenda hadithi? 4)
Unakumbu ka hadithi uliyosikiliz a"
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
3 | 3 |
Mimi na Wenzang u
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua wenzake darasani kwa majina, jinsia, miaka na gredi ili kuweza kuwaelezea kujieleza kwa kurejelea jina, jinsia, miaka na gredi kwa ufasaha katika mawasiliano ya kila siku kutoa muhtasari wa maelezo aliyoyasikia katika mazingira yake kudhihirisha umakinifu wa kusikiliza katika mazingira yake kuchangamkia maelezo yake na ya wenzake katika kuimarisha mawasiliano kujivunia nafsi yake na wenzake katika miktadha mbalimbali. |
"
Mwanafunzi asikilize maelezo ya wengine. Mwanafunzi aweza kusikiliza maelezo ya wenzake yaliyorekodiwa kwenye simu, kinasa sauti, kipatakalishi n.k. kuwahusu katika vikundi. i waulizane. maswali na kujibizana k.m. Unaitwaje? " " akizingatia jina, jinsia, umri na gredi mbele ya darasa Mwanafunzi aeleze maana ya msamiati unaotumiwa kujieleza k.v. umri, miaka,msichana, mvulana, gredi na rafiki. Mwanafunzi atunge sentensi kwa kutumia maneno yanayotumiwa kujieleza na kueleza wenzake." " kuhusu maana na matumizi ya msamiati unaotumiwa k.m. umri, miaka, msichana, mvulana, gredi na rafiki katika vikundi" |
Wewe ni nani?
Mwenzako ni nani?
Unapenda kufanya nini?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
3 | 4 |
Mimi na Wenzang u
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Maelezo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua wenzake darasani kwa majina, jinsia, miaka na gredi ili kuweza kuwaelezea kujieleza kwa kurejelea jina, jinsia, miaka na gredi kwa ufasaha katika mawasiliano ya kila siku kutoa muhtasari wa maelezo aliyoyasikia katika mazingira yake kudhihirisha umakinifu wa kusikiliza katika mazingira yake kuchangamkia maelezo yake na ya wenzake katika kuimarisha mawasiliano kujivunia nafsi yake na wenzake katika miktadha mbalimbali. |
"
Mwanafunzi asikilize maelezo ya wengine. Mwanafunzi aweza kusikiliza maelezo ya wenzake yaliyorekodiwa kwenye simu, kinasa sauti, kipatakalishi n.k. kuwahusu katika vikundi. i waulizane. maswali na kujibizana k.m. Unaitwaje? " " akizingatia jina, jinsia, umri na gredi mbele ya darasa Mwanafunzi aeleze maana ya msamiati unaotumiwa kujieleza k.v. umri, miaka,msichana, mvulana, gredi na rafiki. Mwanafunzi atunge sentensi kwa kutumia maneno yanayotumiwa kujieleza na kueleza wenzake." " kuhusu maana na matumizi ya msamiati unaotumiwa k.m. umri, miaka, msichana, mvulana, gredi na rafiki katika vikundi" |
Wewe ni nani?
Mwenzako ni nani?
Unapenda kufanya nini?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
4 | 1 |
Mimi na Wenzang u
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Masimuli zi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusimulia hadithi aliyosikiliza darasani ili kujenga stadi ya kusikiliza kufahamu hadithi aliyosimuliwa ili kupata ujumbe kuonyesha umakinifu wa kusikiliza katika miktadha mbalimbali kuchangamkia hadithi simulizi maishani |
"
Mwanafunzi aweze kuwa makini anaposimuliwa masimulizi. " " kupitia vifaa vya kiteknolojia k.m. simu, kinasa sauti, kipatakalishi n.k. " " mgeni mwalikwa akisimulia masimulizi. wekwa katika vikundi na kutoleana muhtasari wa masimulizi yaliyosimulia. maswali kutokana na masimulizi" |
Umewahi kusimuliwa kisa kipi?
Unatarajiw a kufanya nini unaposimul iwa masimulizi
?
Unakumbu ka nini katika masimulizi uliyosimuli wa
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
4 | 2 |
Mimi na Wenzang u
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
", kutambua msamiati uliyotumika katika hadithi ili kuweza kuutumia katika mawasiliano kusikiliza hadithi zikisomwa ili kujenga usikivu kufahamu hadithi aliyosomewa" "darasani ili kupata ujumbe d) kuchangamkia kusikiliza hadithi kila siku" |
"
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi. " " kwenye hadithi. wake baada ya kusomewa hadithi. msamiati uliotumika kwenye hadithi." " Wanafunzi wajadiliane kuhusu hadithi waliosomewa katika vikundi. " " kusikiliza hadithi zikisomwa kupitia vifaa vya teknolojia k.v. tarakilishi, projekta n.k. " " picha na kadi za msamiati uliotumiwa katika hadithi. " " maswali kutokana na hadithi" |
"
Je, ni hadithi kusomewa? Unatarajiw a kufanya nini unaposome"
"wa hadithi? 3)
Unakumbu ka nini"
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
4 | 3 |
Mimi na Wenzang u
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
", kutambua msamiati uliyotumika katika hadithi ili kuweza kuutumia katika mawasiliano kusikiliza hadithi zikisomwa ili kujenga usikivu kufahamu hadithi aliyosomewa" "darasani ili kupata ujumbe d) kuchangamkia kusikiliza hadithi kila siku" |
"
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi. " " kwenye hadithi. wake baada ya kusomewa hadithi. msamiati uliotumika kwenye hadithi." " Wanafunzi wajadiliane kuhusu hadithi waliosomewa katika vikundi. " " kusikiliza hadithi zikisomwa kupitia vifaa vya teknolojia k.v. tarakilishi, projekta n.k. " " picha na kadi za msamiati uliotumiwa katika hadithi. " " maswali kutokana na hadithi" |
"
Je, ni hadithi kusomewa? Unatarajiw a kufanya nini unaposome"
"wa hadithi? 3)
Unakumbu ka nini"
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
4 | 4 |
Tarakimu
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza:Msa miati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua nambari moja hadi kumi (1-10) katika mazingira yake kuhesabu nambari 1-10 kwa mfuatano ili kujenga stadi ya kuzungumza kutaja majina ya nambari moja hadi kumi kwa mfululizo ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya nambari moja hadi kumi kutunga sentensi ili kujenga stadi ya kuzungumza kuthamini matumizi ya nambari katika maisha ya kila siku |
"
Mwanafunzi anaweza kupewa kadi za nambari azitaje kwa maneno. ariri mashairi kuhusu nambari hadi kumi. " " kuimba nyimbo za tarakimu. na maneno kwa kuonyeshwa nambari na kutaja jina la nambari husika. Kiswahili wakiwa wawili wawili k.m. mmoja anachukua kidole kimoja na mwingine anataja jina la nambari, |
Unajua kuhesabu nambari ngapi?
Hesabu moja hadi kumi.
3)
Unaweza kutumia majina yapi ya nambari moja hadi kumi katika sentensi?
4) Ni nini umuhimu wa nambari maishani?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
5 | 1 |
Tarakimu
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza:Mas imulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza visa vinavyohusiana na nambari ili kujenga umakinifu kufahamu masimulizi ya visa vinavyohusiana na nambari ili kupata ujumbe kuonyesha umakinifu wa kusikiliza katika mawasiliano kuchangamkia masimulizi katika maisha ya kila siku |
"
Mwanafunzi asikilize kisa kikisimuliwa. Mwanafunzi ashiriki katika kusimulia kisa kinachohusisha nambari. " " matukio yaliyosimuliwa. visa vinavyojumuisha nambari wakiwa wawili wawili au katika vikundi. " " masimulizi kupitia kwa vyombo vya kiteknolojia kama vile simu, kinasasauti na kipatakalishi vyaweza kutumiwa katika kusimulia visa mbalimbali." |
Nambari hutumiwaje
?
Unatarajiw a kufanya nini unaposimul iwa kisa?
Unakumbu ka nini katika kisa ulichosimul iwa
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
5 | 2 |
Tarakimu
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza:Mas imulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza visa vinavyohusiana na nambari ili kujenga umakinifu kufahamu masimulizi ya visa vinavyohusiana na nambari ili kupata ujumbe kuonyesha umakinifu wa kusikiliza katika mawasiliano kuchangamkia masimulizi katika maisha ya kila siku |
"
Mwanafunzi asikilize kisa kikisimuliwa. Mwanafunzi ashiriki katika kusimulia kisa kinachohusisha nambari. " " matukio yaliyosimuliwa. visa vinavyojumuisha nambari wakiwa wawili wawili au katika vikundi. " " masimulizi kupitia kwa vyombo vya kiteknolojia kama vile simu, kinasasauti na kipatakalishi vyaweza kutumiwa katika kusimulia visa mbalimbali." |
Nambari hutumiwaje
?
Unatarajiw a kufanya nini unaposimul iwa kisa?
Unakumbu ka nini katika kisa ulichosimul iwa
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli zoezi
|
|
5 | 3 |
Siku za wiki
|
Kusikiliz a na Kuzungu mza: Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku kutaja majina ya siku za wiki kwa mfululizo ili kumsaidia kuratibu shughuli za siku kuelezea shughuli za siku mbalimbali za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza kutumia majina ya siku za wiki kutunga sentensi ili kuimarisha mawasiliano kuthamini kila siku ya wiki ili kutilia maanani shughuli za siku husika maishani. |
"
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia kadi za maneno. " " wa siku za wiki. " " mashairi kuhusu siku za wiki. " " majadiliano ya shughuli za siku za wiki k.m. Jumatatu naenda shule, Ijumaa, Jumamosi au Jumapili nashiriki ibada n.k. za majina ya siku za wiki kwa utaratibu wakiwa wawili wawili." |
Wiki moja ina siku ngapi?
Unaenda shule siku gani?
3)
Unaweza kutaja na kuandika majina yapi ya siku za wiki kwa mfuatano?
4) Waweza kutumia majina yapi ya siku za wiki katika sentensi?
|
Charti Vifaa halisi
|
Maswali mapesi ya kauli Zoezi
|
|
5 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua siku za wiki katika mawasiliano ya kila siku |
Mwanafunzi atambue siku za wiki yaani: Jumatatu, Jumanne, Jumatano, Alhamisi, Ijumaa, Jumamosi na Jumapili kwa kutumia
kadi za maneno |
Wiki moja ina siku ngapi
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuelezea shughuli za siku aweze: kusimulia matukio katika siku tofauti za wiki ili kujenga stadi ya kuzungumza |
Mwanafunzi asimulie kisa darasani.
Mwanafunzi aonyeshe umakinifu anaposikiliza masimulizi ya mwalimu na wanafunzi wenzake |
Ni matukio yapi uliyowahi kushuhudia
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumika katika hadithi ili kuimarisha ufahamu |
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ipii
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
Familia |
Kusoma
Hadithi
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kufahamu hadithi aliyosomewa katika mada ili kupata ujumbe |
Mwanafunzi athibitishe utabiri wake baada ya kusomewa hadithi.
Mwanafunzi asikilize hadithi ikisomwa na mwalimu. Mwanafunzi aeleze matumizi ya msamiati uliotumika kwenye hadithi |
Umewahi kusikiliza hadithi ip
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
6 | 4 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atumie teknolojia (papaya)
"kutamkia sauti. Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia kadi za herufi. Mwanafunzi aambatanishe silabi kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa" |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 1 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma maneno kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa katika kujenga stadi ya kusoma |
"Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za maneno.
Wanafunzi waweza kushirikishwa kusikiliza mgeni mwalikwa mwenye umahiri wa kutamka sauti lengwa. Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno" marefu zaidi vipande vipande |
Unajua kusoma herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 2 |
Familia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome maneno kwa kutumia silabi au kugawa maneno marefu zaidi vipande vipande.
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili. Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno ya heshima katika familia |
Wanafunzi waweza kuonyeshwa mchoro wa mtoto akipokea zawadi halafu wajadili neno linalofaa kutumiwa na anayepokea zawadi.
Mwanafunzi aweza kuonyeshwa video inayoashiria matumizi ya maneno ya heshima k.m. Mtu akipokea zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini |
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
7 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Maneno ya heshima
Kusoma: Hadithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kuambatanisha maneno ya heshima na hisia zifaazo katika mawasiliano |
zawadi au wageni wakimtembelea mgonjwa hospitalini. Mwanafunzi aweza kupewa ufafanuzi kuhusu maneno ya heshima kama vile
|
Unapopewa zawadi unatakiwa kusema nini?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Kusoma:
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu familia darasani |
Mwanafunzi aweza kutabiri kitakachotokea
kwenye hadithi. Mwanafunzi aweza kufuatilia hadithi ikisomwa na mwalimu, kisha asome pamoja na mwalimu na baadaye |
Unatakiwa kufanya nini
unaposomewa hadithi
|
Charti
Vifaa harisi Charti Vifaa harisi |
Maswalimepesi
ya kauli
|
|
8 | 2 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sarufi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua maneno na viambishi vinavyotumika kuonyesha nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika mawasiliano.
Mwanafunzi aweza kutumia nafsi ya kwanza wakati uliopo hali ya umoja na wingi katika sentensi |
Je, unatumia maneno gani kujirejelea na mkiwa wengi?
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 3 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha mazungumzo |
Mwanafunzi atambue sauti /t/, /l/, /n/ na /o/ katika maneno.
|
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
8 | 4 |
Kusikili za na Kuzung umza
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atambue herufi inayowakilisha sauti lengwa kwa kutumia
kadi za herufi |
Ni sauti zipi unazojua kutamka
|
Charti Vifaa harisi
|
Maswalimepesi ya kauli
|
|
9 |
Midterm assessment and break |
||||||||
10 | 1 |
Kusikili za na Kuzung umza
Kusoma: |
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
Hadithi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusoma vifungu vilivyo na maneno yaliyo na sauti lengwa ili kujenga stadi ya kusoma |
Wanafunzi wasome hadithi zilizo na maneno yaliyobeba sauti lengwa kama darasa au wawili wawili.
Mwanafunzi asikilize na kusoma hadithi kupitia vifaa vya kiteknolojia kama vile tarakilishi, projekta n.k. |
Unajua kusoma herufi na
|
Charti Vifaa harisi
Mwalimu asikize sentensi za wanafunzi wanapotunga. |
Maswalimepesi ya kauli
|
|
10 | 2 |
Kusoma:
|
hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma |
Mwanafunzi asome
hadithi baada ya mwalimu, kisha pamoja na mwalimu na baadaye akiwa peke yake au wawili wawili |
Kufikia mwisho wa mada
mwanafunzi aweze
kusikiliza hadithi zikisomwa na mwalimu zinazohusu usafi wa mwili katika kujenga stadi ya kusoma
|
Fanya zoezi la
kwanza ukurasa 93 Mwalimu asahihishe zoezi la mwanafunzi. |
Tarakilishi
"
Uk 92-93
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi"
ya lugha gredi 1
|
|
10 | 3 |
Sarufi:
|
Matumizi ya
huyu na hawa
Matumizi ya huyu na hawa |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua matumizi ya huyu na hawa katika mawasiliano kusoma sentensi zinazojumuisha huyu na hawa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi atunge
sentensi zenye matumizi "ya huyu na hawa k.m. Huyu anakata kucha - Hawa wanakata kucha; Huyu anachana nywele - Hawa wanachana nywele. Mwanafunzi aandike sentensi zinazojumuisha" matumizi ya huyu na hawa |
Je, unajua ni kwa nini
tunatumia huyu na
hawa
|
Mwalimu asikize
wanafunzi wakisoma. majibu wa mwanafunzi kuhusu maswali aliyowapa. |
Tarakilishi
"
Uk94
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
10 | 4 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, "kutamka sauti nne za herufi moja katika kuimarisha stadi ya kuzungumza" |
Mwanafunzi atambue
sauti lengwa /s/, /b/, /y/ na "/z/ katika maneno. Mwanafunzi asikilize mwalimu akitamka sauti" lengwa, kisha atamke pamoja na mwalimu na mwishowe atamke akiwa peke yake, wawili na kama darasa. |
Ni sauti zipi
unazoweza kutamka?
|
Mwalimu asikize
sauti ambazo mwanafunzi anaweza tamka. Mwalimu asikilize mwanafunzi akisoma. |
Wanafunzi
Uk97-98
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
Wanafunzi
|
|
11 | 1 |
Vyakula
vya
kiasilia
|
Sauti na majina
ya herufi za
Kiswahili
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua majina ya herufi zinazowakilisha sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi
aambatanishe silabi "kusoma maneno yanayotokana na sauti lengwa. Mwanafunzi atenganishe silabi katika kutambua sehemu mbalimbali za" maneno. |
Unajua kusoma herufi
na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame
mwanafunzi akisoma silabi katika uk 99 kisha utunge maneno. Mwalimu aanaglie akifanya zoezi. |
Wanafunzi
"
Uk 98-99
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1"
|
|
11 | 2 |
"Vyakula
vya"
kiasilia
|
"Sauti na majina
ya herufi za"
Kiswahili
"Sauti na majina ya herufi za" Kiswahili |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
" " kusoma maneno kwa kutumia silabi zinazotokana na sauti lengwa katika kuimarisha stadi ya kusoma |
"Mwanafunzi aandike
maumbo ya herufi za sauti" alizosoma hewani na vitabuni. |
"Unajua kuandika
herufi na maneno"
yapi?
|
"Mwalimu atazame
mwanafunzi" akiandika maneno. "Mwalimu aangalie anapoandika herufi anazojua. |
Wanafunzi
"
Uk 101
Oxford Kiswahili"
Dadisi mazoezi
ya lugha gredi 1
|
|
11 | 3 |
Vyakula vya kiasilia
|
Sauti na majina ya herufi za Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kuandika maumbo ya herufi yanayowakilisha sauti lengwa |
Mwanafunzi aandike maumbo ya herufi za sauti alizosoma hewani na vitabuni
|
Unajua kuandika herufi na maneno yapi?
|
Mwalimu atazame maumbo ambayo mwanafunzi anachora.
Mwalimu atazame kazi ambayo mwanafunzi anachora. |
Wanafunzi
Uk103
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
11 | 4 |
Msamiati
|
Msamiati
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua vyakula vya kiasili ili kuimarisha lishe bora b) kusoma majina ya vyakula mbalimbali ili kuimarisha stadi ya kusoma |
Mwanafunzi atambue vyakula mbalimbali vya kiasili kwa kutumia vyakula halisi, picha na michoro kama vile mihogo, viazi, mahindi, maharagwe, mboga na matunda.
Mwanafunzi atumie msamiati aliyofunzwa kutunga sentensi. |
Unapenda waweza kutaja chakula kipi?
|
Mwalimu asahihishe sentensi ambazo mwanafunzi anaandika.
Mwalimu asikize baadhi ya chakula vinazokuzwa shambani. |
Wanafunzi
Uk 104
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
12 | 1 |
Kusikiliza na Kuzungu mza
|
Masimulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kusikiliza masimulizi kuhusu vyakula vya kiasili katika kuimarisha stadi ya kusikiliza |
Mwanafunzi asimulie hadithi kuhusu vyakula vya kiasili.
Wanafunzi wajadiliane kuhusu umuhimu wa vyakula vya kiasili. Wanafunzi wasimuliane visa kuhusu vyakula vya kiasili.wanafunzi |
Kwa nini tunakula chakula?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akieleza umuhimu wa chakula.
Mwalimu atazame mwanafunzi akifanya zoezi. |
Tarakilishi
Uk 107
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
12 | 2 |
Kusoma:
|
Hadithi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
, kutambua msamiati uliotumiwa katika hadithi aliyosoma au kusomewa ili kuimarisha mawasiliano |
Mwanafunzi ajadili picha zilizojumuishwa kwenye hadithi.
Mwanafunzi atabiri kitakachotokea kwenye hadithi. Mwanafunzi afahamu matumizi ya msamiati uliotumika kwenywae hadithi.wanafunzi |
Je, unaona nini katika picha?
|
Mwalimu asikize mwanafunzi akisimulia kis a chochote.
Mwalimu asikize mwanafunzi akisoma hadithi. |
Wanafunzi
Uk 110
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
12 | 3 |
kusoma
Sarufi |
Hadithi
Matumizi na |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kufurahia vyakula vya kiasili maishani. |
Mwanafunzi asikilize hadithi ya mwalimu au hadithi iliyorekodiwa kuhusu vyakula vya kiasili.
|
Unakumbuka hadithi gani uliyoisoma?
|
Mwalimu asahihishe kazi ya mwanafunzi.
Mwalimu asikilize mwanafunzi akitunga sentensi. |
"Tarakilishi
Uk112
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi"
ya lugha gredi 1
|
|
12 | 4 |
Sarufi
|
Matumizi na
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kufurahia kutumia |
Mwanafunzi atunge sentensi zenye matumizi ya -angu na
|
Je, ni maneno gani tunayotumia kuonyesha kuwa kitu ni chako au ni chenu?
|
Mwalimu asikilize mwanafunzi akitumia angu na etu katika kutunga sentensi.
|
Tarakilishi 114-115
Oxford Kiswahili Dadisi mazoezi ya lugha gredi 1
|
|
13-14 |
End term assessments and closing |
Your Name Comes Here