Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
2 3
Sarufi
Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
2 4
Kusoma
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 5
Kusoma (fasihi)
Kuandika
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Nakala halisi ya barua rasmi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 6
Kusikiliza na kuzungumza
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii.
Kutaja sifa za fasihi simulizi.
Kufafanua vipera vya fasihi simulizi.
Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
3 1
Sarufi
‘A’ Unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
3 2
Sarufi
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’
Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 23-24
3 3
Sarufi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi.
Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi.
Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
3 4
Kusoma
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 28-29
3 5
Kuandika
Sarufi
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Vivumishi kwa pekee
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
3 6
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe.
Kuandika resipe ya chakula akipendacho.
Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 39-41
4 1
Sarufi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 44-48
4 2
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Viwakilishi (W)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii.
Kusoma mifano kitabuni na kuchambua.
Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo.
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuandika
Kusoma
Utafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
4 3
Kuandika
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo.
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe.
Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo.
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kuigiza mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
4 4
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 6
Kusikiliza na kuongea
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
kusikiliza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
5 1
sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 2
Kusoma
kuandika
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
5 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
5 4
Kusoma
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
5 5
Kusikiliza na kuzungumza
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
5 6
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 1
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
6 2
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kuchambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
-          Kusoma
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 3
Kusoma Marudio
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
6 5
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
6 6
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Uchambuzi
Majadiliano
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 1
Kusoma
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
7 2
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
7 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi simulizi
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
7 4
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini kufeli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya matanikio hayo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 5
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutathmini nkufli katika uwasilishi wa hadithi zote fupi
-kutaja baadhi ya udhaifu huo
-          Uchambuzi
Majadiliano
Hadithi fupi
kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 6
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
8 1
Sarufi
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
8 2
Kuandika
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
8 3
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza matukio katika katika onyesho la V
-kuandika muhtasari wa onyesho hilo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
8

MIDTERM BREAK

9 1
Kusoma
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
9 2
Kusikiliza na kuongea
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga
kutambua sifa za miviga
kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136
9 3
sarufi
kuandika
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
9 4
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
9 5
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
9 6
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
10 1
sarufi
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi
Maelezo
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
10 2
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
10 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 4
Fasihi andishi
Ufahamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege 
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy AregeI. 
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 5
Kuzikiliza na kuongea
maigizo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
10 6
sarufi
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za sentensi
mfano sentensi sahihi
sentensi ambatano
sentensi changamano
mwanafunzi Kuandika sentensi za aina mbali mbali za sentensi
mfano
kutumia viunganishi, vishazi viwili
Mjadala
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
11 1
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
11 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
11 3
Ufahamu
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
11 4
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
maigizo
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
11 5
Kuandika
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
11 6
Fasihi simulizi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu onyesho la 1 na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio
Kusoma
kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 1
Fasihi
Kusoma
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
usalama barabarani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu onyesho la X na kuchambua vilivyo
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kitabu
Kamusi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 2
Kusikiliza na kuzungumza
ushairi nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
12 3
sarufi
uchanganuzi wa sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Maelezo
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
12 4
Kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. ’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari
ilani na onyo
Kuandika
kueleza
kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 165-166
12 5
Fasihi
Uchambuzi: ‘Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na ufahamu kila onyeso
-kuchambua vilivyo maudhui
-          Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
12 6
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini /kuelewa
-kchambua vipengele vya maudhui
Kusoma
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13 1
Kusoma
Fasihi andishi
Shairi
Kusoma na Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
13 2
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13 3
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambuaNguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13 4
Fasihi
Fasihi andishi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. a
13 5
Fasihi
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kutaja matukio muhimu katika onyesho ……..
-kufupisha kwa kuandika muhtasari wa matukio muhimu
Kuchambua
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
13 6
Fasihi andishi
Kusoma na kuchambua Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma na kueleza ploti katika onyesho la …
-kuandika muhtasari wa matukio hayo
Kusoma kwa zamu
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
Nguu za jadi. na CLARA MOMANYI. 
14

EXAMS AND CLOSURE OF SCHOOL


Your Name Comes Here


Download

Feedback