If this scheme pleases you, click here to download.
WK | KIPINDI | MADA KUU | MADA NDOGO | SHABAHA | MBINU | VIFAA | ASILIA | MAONI |
---|---|---|---|---|---|---|---|---|
1 | 3 |
Kusoma
|
Shairi
Nyuki nimekosani?
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi na kujibu maswali Kwa ufasaha |
Kusoma. Kufanya zoezi,kuandika
|
Kitabu cha wanafunzi
Mwongozo wa mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 93-94
|
|
1 | 4 |
Kusikiliza na kuongea
|
Fasihi Simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kutambua sifa za soga Kueleza dhima ya soga |
kusikiliza,kusoma,kuandika,kueleza
|
Kitabu cha wanafunzi. Matini ya mwalimu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 91-93
|
|
1 | 5 |
sarufi
|
virejeshi amba- na o-
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vinyume vya vitenzi alivyopewa na kutumia katika sentensi |
Kutunga sentensi,mifano,maswali na majibu
|
Kitabu cha wanafunzi,kadi za maneno
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato cha tatu. Upeo wa sarufi
|
|
1 | 6 |
sarufi
|
virejeshi amba- na o-
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua vinyume vya vitenzi alivyopewa na kutumia katika sentensi |
Kutunga sentensi,mifano,maswali na majibu
|
Kitabu cha wanafunzi,kadi za maneno
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato cha tatu. Upeo wa sarufi
|
|
2 | 1 |
Kusoma
|
Maenezi ya Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu -kupanua msamiati wake |
kusoma. Kusikiliza na kuzungumza
|
Kitabu cha wanafunzi
Matini ya mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100 fani ya isimu jamii |
|
2 | 2-3 |
kuandika
Kusoma |
Ratiba.
Dini ya ulimwengu |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba -kuandika ratiba kwa makini Kusoma makala ya ufahamu Kwa makini na kuyajibu maswali |
kuandika. Kufanya zoezi
kusoma |
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi. Chati yenye muundo wa ratiba. Nakala za ratiba- mifano |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 100-107. Upeo wa insha |
|
2 | 4 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Visakale
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visakale vilivyo -kubainisha Sifa na umuhimu wa visasili |
Kusoma,kuandika,majadiliano,mifano,ufafanuzi
|
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106,fani ya Fasihi simulizi
|
|
2 | 5 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Visakale
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visakale vilivyo -kubainisha Sifa na umuhimu wa visasili |
Kusoma,kuandika,majadiliano,mifano,ufafanuzi
|
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106,fani ya Fasihi simulizi
|
|
2 | 6 |
sarufi
|
Uundaji wa nomino
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kunda nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni kutaja mifano mbalimbali ya vitenzi vya kigeni na kuunda nomino kutokana navyo |
Kutaja
Kueleza,kutunga sentensi |
Kitabu cha wanafunzi, kadi za maneno
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
|
|
3 | 1 |
sarufi
|
Mwingiliano wa maneno
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza maana ya mwingiliano wa maneno. Kutambua dhima ya maneno teule katika sentensi alizopewa |
Kusoma
Kueleza. Kufanya zoezi |
Kitabu cha wanafunzi, chati, matini ya mwalimu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110. Upeo wa sarufi
|
|
3 | 2-3 |
Fasihi |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana Kuuliza na Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa mwalimu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine |
|
3 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
3 | 5 |
Kusoma
|
Kukandamizwa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu Kwa ufasaha |
Kueleza
Kufanya zoezi, |
Makala ya ufahamu na Mwongozo wa mwalimu
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
3 | 6 |
2
|
sarufi- virai
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai.Kutambua aina mbalimbali za virai Mfano Kirai nomino Kirai kitenzi |
-kusoma kutaja mifano. Maswali na majibu
|
Kitabu cha wanafunzi
Matini ya mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 ,upeo wa sarufi
|
|
4 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi Ngani Sifa za ngano Dhima za ngano Kutoa mifano ya ngano |
Maelezo ,kutaja,maswali na majibu
|
Kitabu cha wanafunzi,nakala za ngano
Kamusi |
ngano
‘Fasihi simulizi’ Uk 112-114 Fani ya Fasihi simulizi |
|
4 | 2-3 |
Kuandika
|
Ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi Kutoa miundo ya tungo |
Maelezo
-Kuandika |
kitabu cha mwanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
4 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
4 | 6 |
Kusoma
|
Kukandamizwa
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu na kufanya zoezi |
Kueleza
Kusoma na kujibu maswali |
Kitabu cha wanafunz
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
|
|
5 | 1 |
2
|
Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya mazungumzo na kufafanua dhima yake |
Kueleza
Kutaja Mifano,kuandika |
Kitabu cha Fasihi simulizi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
5 | 2-3 |
2
Kusikiliza na kuzungumza |
Fasihi simulizi |
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya mazungumzo na kufafanua dhima yake |
Kueleza
Kutaja Mifano,kuandika |
Kitabu cha Fasihi simulizi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
|
|
5 | 4 |
Kuandika
|
Ushairi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashairi |
Maelezo
Kuandika |
Kitabu cha ushairi,utendaji wa wanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
|
|
5 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
5 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze kusoma makala ya hadithi teule nkizingatia vipengele vya uchambuzi
|
-
Kusoma Kuchambua Kuandika,maswali na majibu |
kitabu cha mwanafunzi-nakala za Mapambazuko na miongozo ya mwalimu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 2-3 |
Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze kusoma makala ya hadithi teule nkizingatia vipengele vya uchambuzi
|
-
Kusoma Kuchambua Kuandika,maswali na majibu |
kitabu cha mwanafunzi-nakala za Mapambazuko na miongozo ya mwalimu |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
6 | 4 |
Sarufi
|
vishazi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi kutambua aina za vishazi; vishazi huru vishazi tegemezi kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia vishazi huru na tegemezi |
-Kuandika
Kutunga sentensi. Kufanya zoezi |
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi. Matini ya mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129. Upeo wa sarufi
|
|
6 | 5 |
Kuandika
|
wasifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu kutoa mifano tawasifu na wasifu |
-Kuandika
Kusoma, mifano,maswali na majibu,maelezo |
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 131. Upeo wa insha
|
|
6 | 6 |
Fasihi
andishi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza na kujibu maswali Kujibu maswali baada ya hadithi |
Nakala za Mapambazuko Mwongozo Wa Mwalimu/matini
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 1 |
Fasihi
andishi
Kusoma - hadithi fupi na kuchambua |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Nakala za amapambazuko Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
7 | 2-3 |
Fasihi
andishi
Kusoma - hadithi fupi na kuchambua |
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi -kusoma kwa makini na kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi - Kusoma Kujibu maswali |
Nakala za amapambazuko Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138 |
|
7 |
Exam one of term two |
|||||||
8 | 1 |
Kusikiliza na kuongea
|
Miviga
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua maana ya miviga kutambua sifa za miviga kutambua dhima ya miviga wahusika na changamoto za miviga |
Kusikiliza
kuzungumza. Maswali na majibu |
Kitabu cha wanafunzi na matini ya mwalimu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 135-136,Fani ya Fasihi simulizi
|
|
8 | 2-3 |
sarufi
|
setensi ya Kiswahili kiuamilifu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili za kiswahili kuamilifu. Kutunga sentensi tofauti akizongatia dhamira/ uamilifu |
Maelezo,mifano,maswali na majibu
|
Kitabu cha wanafunzi
Kamusi. Matini ya mwalimu |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142. Upeo wa insha
|
|
8 | 4 |
kuandika
|
Ripoti
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanafunzi aweze kueleza maana ya Ripoti,kutambambua muundo au sura ya Ripoti,kuandika ripoti |
Kusoma Kuuliza na kujibu maswali, maelezo,mifano,kufanya zoezi |
Kitabu cha wanafunzi na utendaji wao,nakala zenye mifano ya ripoti |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 144. Upeo wa insha
|
|
8 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua dhamira,ufaafu wa anwani, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
8 | 6 |
Fasihi andishi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
9 |
Mid term break |
|||||||
10 | 1 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo-uchambuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufasaha makala ya hadithi na kueleza ploti |
Kusoma na kuandika
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nakala zaMapambazuko Ya Machweo
Mwongozo wa mwalimu |
Mambazuko Ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
10 | 2-3 |
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza |
Mapambazuko ya Machweo-uchambuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufasaha makala ya hadithi na kueleza ploti |
Kusoma na kuandika
Kujibu maswali Kusikiliza kuzungumza |
Nakala zaMapambazuko Ya Machweo
Mwongozo wa mwalimu |
Mambazuko Ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
10 | 4 |
sarufi
|
setensi ya Kiswahili
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya sentensi za kiswahili kimuuundo na kutoka mifano mwafaka:changamano,sahili,ambatano |
Maelezo,mifano,maswali na majibu,zoezi
|
Kitabu cha Wanafunzi darasani, Mwongozo wa mwalimu,chati yenye sentensi tofauti kumuundo
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142. Upeo wa sarufi
|
|
10 | 5 |
kuandika
|
ufupishaji/muhtasari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu |
Kusoma Kufupisha |
Kitabu cha Wanafunzi kilicho na makala ya ufupisho |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 144
|
|
10 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 1 |
Fasihi andish
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 2-3 |
Fasihi andish
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi Kutaja kueleza |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
11 | 4 |
Kuzikiliza na kuongea
|
maigizo
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani |
Kusoma,maswali na majibu,mifano
|
kitabu cha wanafunzi
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147. Fani ya Fasihi Simulizi
|
|
11 | 5 |
sarufi
|
aina za sentensi sahili- Uchanganuzi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze: kueleza maana ya sentensi sahili- na kuchanganua Kwa:mishale,jedwali,kielezo mstari na matawi
|
Mjadala,maelezo,maswali na majibu,kuandika,zoezi
|
Kitabu cha wanafunzi,chati yenye sentensi sahili
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 upeo wa sarufi
|
|
11 | 6 |
Kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu |
Kusoma
kuandika |
kitabu
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 152
|
|
12 | 1 |
Fasihi simulizi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
12 | 2-3 |
Fasihi simulizi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi |
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
12 | 4 |
Ufahamu
|
Haki zetu binadamu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari -kujibu vilivyo maswali ya ufahamu |
Kusoma
kufanya zoezi |
kitabu cha wanafunzi, Mwongozo wa mwalimu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
|
|
12 | 5 |
Sarufi
|
Njia za kuendeleza Fasihi simulizi katika jamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:kutambua mikakati inayofanywa ili kuendeleza Fasihi simulizi
|
Kueleza,maswali na majibu,mifano
|
kitabu cha mwalimu
|
Fani ya Fasihi Simulizi
|
|
12 | 6 |
Sarufi
|
Njia za kuendeleza Fasihi simulizi katika jamii
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:kutambua mikakati inayofanywa ili kuendeleza Fasihi simulizi
|
Kueleza,maswali na majibu,mifano
|
kitabu cha mwalimu
|
Fani ya Fasihi Simulizi
|
|
13 | 1 |
sarufi
|
Uchanganuzi wa sentensi ambatano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza maana ya sentensi ambatano na kuchanganua Kwa njia ya matawi na kielielezo mstari |
Mjadala,mifano,maelezo,zoezi
|
Kitabu cha wanafunzi,chati,utendaji wa wanafunzi
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 148-150. Upeo wa sarufi
|
|
13 | 2-3 |
Kuandika
Fasihi simulizi |
utungaji wa kiuamilifu
kumbukumbu
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu Kueleza muundo/sura ya kumbukumbu |
Kusoma
kuandika Kujadiliana Kuuliza na Kujibu. Kufanya zoezi |
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu Picha na michoro |
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
Upeo wa insha |
|
13 | 4 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza na Kujibu maswali baada ya kusoma hadithi |
Nakala za Mapambazuko ya Machweeo Mwongozo Wa Mwalimu Itemdaki WA wanafunzi darasani
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
13 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza na Kujibu maswali baada ya kusoma hadithi |
Nakala za Mapambazuko ya Machweeo Mwongozo Wa Mwalimu Itemdaki WA wanafunzi darasani
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
13 | 6 |
Kusoma
|
usalama barabarani
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu -kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo |
Kusoma
Kujibu maswali |
Kitabu cha wanafunzi -makala ya ufahamu
Kamusi |
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 158-159 |
|
14 | 1 |
Kusikiliza na kuzungumza
|
Mbinu za kutafiti na kukusanya data -fasihi simulizi
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutaja ma kueleza mbinu ambazo hutumika katika ukusanyaji wa data kufafanua changamoto ambazo hukumba shughuli hii |
Kisikiliza na kushiriki. Maswali na majibu. Kuandika na kusoma
|
kitabubcha wanafunzi,matini ya mwalimu
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157. Fani ya Fasihi Simulizi
|
|
14 | 2-3 |
sarufi
|
uchanganuzi wa sentensi-changamano
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi -kueleza maana ya aina ya sentensi changamano na kuchanganua Kwa njia ya jedwali,matawi ma mishale |
Kufanya zoezi. Maswali na majibu
Kuandika kueleza |
kitabu cha wanafunzi,chati yenye sentensi changamano
|
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165. Upeo wa sarufi
|
|
14 | 4 |
Kuandika
|
utungaji wa kiuamilifu
tahadhari
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua aina mbili za tahadhari ilani na onyo |
Kuandika na kusoma
kueleza na mifano |
kitabu cha wanafunzi. Chati yenye tahadhari
|
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 165-166
|
|
14 | 5 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya kusoma hadithi. Uchambuzi |
Nakala za Mapambazuko Mwongozo Wa Mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
|
14 | 6 |
Fasihi
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kuchambua mtiririko wa visa, dhamira, lugha, maudhui mbinu za kisanaa na wahusika katika hadithi fupi |
Kujadiliana
Kuuliza Kujibu maswali baada ya hadithi. Kusoma na uchambuzi |
Nakala za Mapambaziko, Mwongozo Wa mwalimu
|
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi Nyingine
|
Your Name Comes Here