Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Isimu jamii; Sajili
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.

Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
2 3
Sarufi
Kusoma
Kusoma (fasihi)
Vivumishi vya Idadi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
2 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Nakala halisi ya barua rasmi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Shairi: Mikanda Tujifungeni
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii.
Kutaja sifa za fasihi simulizi.
Kufafanua vipera vya fasihi simulizi.
Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi
Kitabu cha Shairi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
2 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
‘A’ Unganifu
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 1-2
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Viashiria visisitizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.

Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 24-25
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
3 4
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Vivumishi kwa pekee
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
3 5
Kusoma
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
3 6
Kusoma (fasihi)
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 1-2
Kusoma
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuelezea muundo wa hotuba
Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti
Kuandika hotuba kwa hati nadhifu.

Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kueleza
Kujadili
Kuhutubu mbele ya darasa
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
4 3
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Viwakilishi (W)
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii.
Kusoma mifano kitabuni na kuchambua.
Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo.
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuandika
Kusoma
Utafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
4 4
Kusoma
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.
Kufafanua chimbuko la Kiswahili.
Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 60-62
4 5
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Isimujamii; Mahakamani
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 6
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Maswali ya dodoso
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 71
5 1-2
Kusoma (fasihi)
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
5 3
Kuandika
Kusoma (fasihi)
Kusoma (fasihi)
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
5 4
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
5 5
sarufi
Kusoma
kuandika
Vinyume vya vitenzi
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 6
Fasihi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 1-2
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
sarufi
Kuandika
Fasihi
Kusoma Marudio
Visasili
Uundaji wa nomino
Uundaji wa nomino
Uandishi wa insha
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
-kuandika isnha ya masimulizi
Kusoma
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
6 3
2
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
6 4
Kuandika
Fasihi
Fasihi
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
6 5
Kusoma
2
Kukandamizwa
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
6 6
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Fasihi
Fasihi simulizi
Ushairi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
7 1-2
Fasihi
kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
Sarufi
Kuandika
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mchezo wa kuigiza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
vishazi
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
kitabu cha mwanafunzi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
7 3
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 4
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
sarufi
mhepa
Miviga
setensi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138
7 5
kuandika
Fasihi
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
7 6
Fasihi andishi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
mhepa
Miviga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 1-2
sarufi
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Ufahamu
setensi ya Kiswahili
utungaji wa kiuamilifu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Haki zetu binadamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya setensi ya Kiswahili
kutambua miundo ya kikundi nomino (KN)
mfano
nomino za pekee
kiwakilishi pekee
nomino na nomino
nomino na kivumisi
nomino na vivumishi
nomino kivumishi na kielezi
miundo ya kikunndi tenzi

Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Maelezo
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 138-142
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 3
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
Kuandika
maigizo
aina za sentensi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuigiza maigizo
kutoa mifano wa shughuli za jandoni katika kabila fullani
Kuchambua
kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 146-147
8 4
Fasihi simulizi
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 5
Ufahamu
Kuzikiliza na kuongea
sarufi
Haki zetu binadamu
maigizo
aina za sentensi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa makini na kwa ufahamu kifungu cha habari
-kujibu vilivyo maswali ya ufahamu
Kutaja
kueleza
kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 147-148
8 6
Kuandika
Fasihi simulizi
utungaji wa kiuamilifu kumbukumbu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika kumbukumbu
Kusoma
kuandika
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 152
9

Midterm

10 1-2
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuzungumza
sarufi
Kuandika
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
usalama barabarani
ushairi nyimbo
uchanganuzi wa sentensi
utungaji wa kiuamilifu tahadhari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
-kueleza maana ya uchanganuzi wa sentensi
-kutaja aina ya sentensi sahili
kujaza jedwali
kuandika sentesni ambatano
kuandika sentesni changamano
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 160-165
10 3
Fasihi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 4
Kisikiliza na kuongea
kusoma
Kuandika
Hotuba
uzalendo
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
10 5
Fasihi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 6
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
kusoma
Hotuba
Nyakati na hali marudio
uzalendo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Tamthilia
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
11 1-2
Kuandika
Fasihi
Kusoma
Kisikiliza na kuongea
Sarufi
mahojiano na dayolojia
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Uraibu
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo
Kusoma
Kufupisha
Kusoma
Jibu maswali
kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 179-181
11 3
kusoma
Kuandika
Ukimwi
Barua meme
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa ufahamu
-kujibu maswali
Kusoma
Kuchambua
Tamthilia
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 182
11 4
Fasihi
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Shairi
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
11 5
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Vitenzi
Mazingira fomu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua myambuliko wa vitenzi
Kauli ya kutendeshwa, kutendesha na- kutendesheka
Mfano
Bakisha- bakishiwa-
Kauli ya kutendesha na
Kosesha- kosesheana
Pimisha- pimishana
Mifano katika sentensi
Mzee aliinamishiwa tagaa atunde mapera
Majitrani waliondosheana uhasam uliowatenganisha kwa muda mrefu
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
11 6
Fasihi
Fasihi andishi
Kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Ufahamu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
12 1-2
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Vitenzi
Methali
Utungaji wa kisanii
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kukunga sentesni kwa kauli ya kutendama
Mafano
Kwaa- kwama
Tua- tuama
Mifano kwa sentesni
Pikipiki ilikuwama matopeni
Kauli ya kutendata
Mfano
Fumba- fumbuta
Kama- kamata
Mifano kwa sentensi
Askari walimkamata pwagu aliyenyakua rununu
Halima alikokota rukwama iliyojaa shehena
mwanfunnzi aweze kutunga mashairi huru
Kusikiliza
kuzungumza

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
kamusi
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 189-191
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 198-199
12 3
Kusoma
Sarufi
Kusikiliza na kuongea
Urithi
Vitenzi
Maghani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 200-201
12 4
kuandika
Fasihi
Matangazo
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunnzi aweze kuandika matangazo

Kusoma
Kufupisha
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 203-204
12 5
Fasihi andishi
Kusoma
Sarufi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Mchezo wa kuigiza: tusikate miti ovyo!
Vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kitabu
kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
12 6
Kusikiliza na kuongea
kuandika
Fasihi
Fasihi andishi
Ngomezi
Ripoti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua Ngomezi
Kutaja sifa za Ngomezi , dhima ya Ngomezi na kutoa mifano
Kusikiliza
kuzungumza
Kitabu
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 206-207

Your Name Comes Here


Download

Feedback