Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
2 2
Sarufi
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
2 3
Sarufi
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
2 4
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Maswali ya dodoso
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 71
2 5
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
2 6
Kusoma (fasihi)
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 1
Kusoma (fasihi)
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 2
Kusoma (fasihi)
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 3
Sarufi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
3 4
Sarufi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
3 5
Kusoma
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
3 6
Kusoma
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
4 1
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
4 2
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
4 3
Kusoma (fasihi)
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 4
Kusoma (fasihi)
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 5
Kusoma
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
4 6
Kusoma
Shairi Nyuki nimekoni?
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusoma shairi
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 93-94
5 1
Kusikiliza na kuongea
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
kusikiliza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
5 2
sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 3
sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
5 4
Kusoma
Maenezi ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
5 5
kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
5 6
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 1
Kusoma
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 2
Kusoma
Dini ya ulimwengu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 3
Kusikiliza na kuzungumza
Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza maana ya Visasili
vilivyo
-kubainisha aina mbali mbali za Visasili
Kutao mifano ya Visasili
Kutambua maana ya mighani
Sifa za mighani na umuhimu wa mighani
Kusoma
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 102-106
6 4
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 5
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
Kutaja
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 106-107
6 6
sarufi
Uundaji wa nomino
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kueleza nomino kutokana na vitenzi vya asili ya kigeni
-kutaja aina mbalimbali za sentensi
mifano- samehe, abiri, husudu
-          Kusoma
Kueleza
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 108-110
7 1
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
7 2
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika isnha ya masimulizi
Kutoa mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 110-111
7 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 4
Kusoma Marudio
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
7 5
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
7 6
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Anian mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-kusoma            - kutaja mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk
8 1
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
ngano
‘Fasihi simulizi’
Uk 112-114
8 2
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:

-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
-Kuandika
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
8 3
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 4
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 5
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
8 6
Kusoma
Kukandamizwa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kutaja mambo muhimu yanayozingatiwa katika usemi wa taarifa
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 114-115
9 1
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
9 1-2
2
sarufi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutoa maana ya Virai
Aina mbalimbali ya virai
Mfano
Kirai nomino
Kirai kitenzi
Virai vielezi
Kirai kivumishi
Virai vihusishi
-          Kueleza
Kutaja Mifano
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk 115-118
9-10

Likizo fupi

10 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kueleza fasihi simulizi
Nago
Sifa za ngano
Dhima za ngano
Kutoa mifano ya ngano
Maelezo
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 Uk
10 5
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
10 6
Kuandika
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kuandika mashiri ya arudhi
Kutoa miundo ya tungo
-          Maelezo
Kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe kidato 3 uk 118-122
11 1
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
11 2
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
11 3
kusoma
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
11 4
kusoma
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
11 5
Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo- isimujamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kusikiliza majadiliano baina ya marafiki wawili kuhusu umoja wa taifa
Kujibu maswali
Kuandika
Kutunga sentensi
Kusoma
kitabu cha mwanafunzi
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 uk 124
11 6
Sarufi
vishazi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua maana ya vishazi
kutambua aina za vishazi
vishazi huru
vishazi tegemezi
kutambua maana ya vishazi huru na vishazi tegemezi
mwanafunzi Kuandika sentensi akitumia v. huru na v.tegemezi
mfano
vishazi huru
Mwashi amewasili
mgeni atakuja shuleni leo
vishazi tegemezi
jiwe lililomgonga
cheti kilichopotea
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 128-129
12 1
Kuandika
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
12 2
Kuandika
wasifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuandika wasifu
kutoa mifano
tawasifu na wasifukazi
-      Kuandika
Kutunga sentensi
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 uk 131
12 3
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
12 4
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
12 5
Fasihi andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo Wa Mwalimu
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
12 6
Kusoma
mhepa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-      Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 136-138

Your Name Comes Here


Download

Feedback