Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA PILI
MWAKA WA 2025
MUHULA WA II

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

UFUNGUZI WA SHULE NA MTIHANI

2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Mafumbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mafumbo au chemshabongo
Kufumba na kufumbua mafumbo
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu
Uhondo wa kiswahili 1
(uk 137)
2 2
Kusikiliza na kuzungumza
Misemo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya misemo na nahau.
Mifano ya nahau na misimu
Kujibu maswali
Majadiliano
Maelezo
Mazungumzo
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu
Uhondo wa kiswahili 1
(uk 145)
2 3
Kusikiliza na kuzungumza
Kuandika
Nyimbo
Uandishi wa mahojiano
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya nyimbo
Kueleza maana mbalimbali za nyimbo
Kujibu maswali
Majadiliano
Maelezo
Mazungumzo
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu
Uhondo wa kiswahili 1
(uk 152)
2 4
Kusikiliza na kuzungumza
Hotuba ya Rais
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
kusoma hotuba ya Rais kwa ufasaha
kueleza msamiati uliotumika
Kujibu maswali
Kusoma
Maswali na majibu
Majadiliana
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi Mwongozo wa Mwalimu
Uhondo wa kiswahili 1
(uk 172-173)
2 5
Kuandika
Uandishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua muundo unaozingatiwa katika uandishi wa insha
Kueleza mambo muhimu yakuzingatiwa katika uandishi wa insha
Kuandika insha
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 84-86)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
2 6
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza sifa za mazungumzo katika kituo cha polisi
Kuigiza mazungumzo katika kituo cha polisi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 100-102)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 1
Kusoma
Kusoma kwa kina-shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuchambua shairi kutoka kwa diwani
Kutaja vipengele vinavyounda shairi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 110)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 2
Kuandika
Dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya dayolojia
Kuandika dayolojia
Kueleza mtindo wa dayolojia
Kusoma na kuigiza dayolojia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 116-117)
3 3
Kuandika
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ratiba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika ratiba.
Kuandika ratiba .
Kueleza maana ya hotuba.
Kutambua na kujadili vipengee muhimu katika uandishi wa rotuba
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk132-134)
3 4
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ushairi -Usafi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mabo yaliyozumngumziwa katika ushairi.
Kutambua lengo la shairi hilo.
Kujibu maswali kuhusu ushairi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk136-138)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
3 5
Kuandika
Taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya taarifa.
Kutaja na kujadili sifa za taarifa.
Kuandika taarifa kuhusu hali ya ukame.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk144)
3 6
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi -mwanamke
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma ushairi katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujadili mtindo uliotumika katika uandishi wa shairi hilo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk147-148)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 1
Sarufi
Viunganishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya viunganishi na kueleza manufaa yake katika sentensi.
Kutaja mifano ya viunganishi .
Kutumia viunganishi vyema katika sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk148-150)
4 2
Kusoma kwa mapana
Matumizi ya kamusi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili matumizi ya kamusi.
Kutumia kamusi kueleza maana ya misamiati ya bunge.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk150-151)
4 3
Kuandika
Unadishi wa insha
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua vipengee muhimu vya kuzingatiwa katikauandishi wa insha.
Kuandika insha kuhusu mada aipendayo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk151-152)
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Mjadala
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mjadala.
Kutaja wahusika katika mjadala.
Kusoma mjadala katika kitabu cha mwanafunzi.
Kujibu zoezi kikamilifu
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk153-154)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 5
Kusoma kwa ufahamu
Kusoma kwa mapana
Kusoma taarifa
Mtambo wa ATM
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma taarifa katika kitabu cha mwnafunzi.
Kujadili taarifa kwa kina.
Kutaja aina mbalimbali ya vyakula
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk155-157)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
4 6
Kuandika
Resipe
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya resipe.
Kujadili matumizi ya resipe.
Kueleza mambo ya kuzingatiwa katika uundaji wa resipe.
Kuunda resipe
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk164-165)
5 1
Kusikiliza na kuzungumza
Sauti tatanishi /f/ na /v/ Fasihi simulizi-Visasili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua maneno yenye sauti tatanishi /f/ na /v/
Kutamka vitanza ndimi ipasavyo.
Kueleza maana ya visasili.
Kujadili dhima ya visasili
Kusoma kisa mfano ya kisasili kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk166-170)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 2
Kusoma kwa ufahamu
Tarakilishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya tarakilishi.
Kutambua mifano ya tarakilishi.
Kusoma Makala kuhusu tarakilishi.
Kujibu maswali kuhusu Makala hiyo sahihi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk170-172)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
5 3
Sarufi
Vihisishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya vihisishi
Kujadili matumizi ya vihisishi.
Kutaja mifano ya vihisishi.
Kutumia vihusishi katika sentensi ipasvyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk172-174)
5 4
Kusoma kwa mapana
Ufisadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Makala katikakitabu cha mwanafunzi.
Kuipa kichwa mwafaka Makala hiyo.
Kujadili mabo muhimu yaliyoangaziwa katika kifungu
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk174-175)
5 5
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Risala
Ushairi simulizi-nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kuleza maana ya risala.
kujadili matumizi ya risala
kutambua mifano ya risala.
Kuandika risala
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk175-176)
5 6
Kusoma kwa ufahamu
Ushairi -Mrija
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya mrija.
Kujadili muundo wa shairi
Kukariri shairi lenye mada mrija
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk182-183)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 1
Sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza vinyume vya vitenzi.
Kutumia vinyume vya vitenzi ipasavyo katika sentensi
Kujibu maswali kutokna na vinyume vya vitenzi ipasavyo
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk183-185)
6 2
Kusoma kwa mapana
Jinsia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya jinsia
Kusoma Makala yeyote kuhusu jinsia.
Kutaja vitu muhimu yaliyojadiliwa kuhusu jinsia
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk185)
6 3
Kuandika
Utungaji wa kisanii
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua na kujadili aina ya mashairi.
Kujadili sifa za shairi hizi.
Kutaja vitu muhimu vya kuzingatiwa katika uundaji wa shairi hizi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 186)
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya methali.
Kueleza sifa za methali.
Kutaja mifano ya methali kuu.
Kujadili dhima ya methali
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 187-190)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 5
Kusoma kwa ufahamu
Ajira ya watoto
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutabiri matukio katika ufahamu.
Kusoma ufahamu katika kitabu cha mwanafunzi kuhusu ajira ya Watoto.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 190-192)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
6 6
Sarufi
Kusoma kwa mapana
Nyakati-hali ya ukanushaji
Kusoma maktabani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya ukanushaji.
Kutambua viambishi vinavyoonyesha wakati
Kutumia ukanushaji ipasavyo katika sentensi.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 192-200)
7 1
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi simulizi-Hekaya
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hekaya.
Kusoma hekaya kwenye kitabu cha mwanafunzi
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 205-206)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 2
Kusoma kwa ufahamu
Lubigisa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma kifungu kwenye kitabu cha mwanafunzi kichwa Lubigisa
Kueleza mtiririko wa matukio katika kisa hicho.
Kutambua misemo yaliyotumika katika kifungu,kueleza maana yao na kuyatumia vyema.
Kujibu maswali kuhusu ufahamu ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk206-208)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 3
Sarufi
Sentensi ya kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja na kujadili aina tofauti ya sentensi.
Kutoa mifano ya aina mbali mbali ya sentensi.
Kutunga sentensi tofauti kotaka kwa maneno waliyopewa.
Kujibu maswali kuhusu aina ya sentensi
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk209-211)
7 4
Kusoma kwa mapana
Umoja wa kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutafuta ujumbe kuhusu umoja wa kitaifa
Kutaja manufaa ya umoja wa kimataifa.
Kueleza jinsi ambavyo umoja wa kitaifa inaweza kufanikishwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk212)
7 5
Kusikiliza na kuzungumza
Ushairi simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya shairi simulizi.
Kukariri shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi wimbo wa uchumba.
Kutafsiri maana ya wimbo huo.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk213)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
7 6
Sarufi
Mnyambuliko wa vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Taja njia mbalimbali jinsi vitenzi vinanyambuliwa.
Nyambua vitenzi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 215-217)
8 1
Kuandika
Sarufi
Utungaji wa kiuamilifu
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutaja umuhimu wa orodha ya mambo.
Kutaja na kueleza mikondo inayofuatwa katika uandishi wa orodha ya mambo.
Kutengeneza orodha ya mambo.
Eleza maana ya shajara
Kutengeneza shajara ya siku.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 218-220)
8 2
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
8 3
Kusoma kwa ufahamu
Shairi-Njaa nipishe na kando
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma Shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi ..Njaa nipishe na kando
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza maana ya misamiati yaliyotumiwa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 231-233)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 4
Sarufi
Usemi halisi na usemi wa taarifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Eleza maana ya usemi halisi.
Kutaja matumizi ya usemu halisi katika sentensi.
Eleza maana ya usemi wa taarifa.
Kutambua matumizi ya usemi wa taarifa.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 233-235)
8 5
Kusikiliza na kuzungumza
Maamkizi na mazungumzo;Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya hotuba.
Kujadili umuhimu wa hotuba.
Kutambua na kujadili sehemu mbalimbali ya hotuba.
Kusoma hotuba kwenye kitabu cha mwanafunzi.
Majadiliano
Kuandika
Maswali na majibu
Mazungumzo
Maelezo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 241-242)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
8 6
Sarufi
Uundaji wa maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kujadili uundaji wa nomino kutokana na kitenzi.
Kuunda nomino kutokana na nomino.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 245-246)
9

LIKIZO FUPI

10 1
Kusoma kwa ufahamu
Kuandika
Shairi-Kwaheri tunakuaga
Uandishi wa kawaida
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kusoma shairi kwenye kitabu cha mwanafunzi .
Kujadili mtindo wa shairi hilo.
Kueleza dhamira ya mwandishi wa shairi.
Kujibu maswali kuhusu shairi ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 250-251)
Kamusi ya misemo na nahau (k.w wamithila)
10 2
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kueleza maana ya uakifishaji.
Kutambua na kueleza matumizi ya alama za uakifishaji.
Kuakifisha sentensi husika ipasavyo.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 226-227)
10 3
Kuandika
Uandishi wa Insha - Methali
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo ;
Kutambua mambo muhimu katika uandishi wa insha ya methali.
Kujadili utunzi wa insha.
Kuandika insha ya methali yeyote.
Maswali dodoso
Maelezo
Majadiliano
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB Kiswahili kitukuzwe 2
(uk 230)
10 4
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
10 5
Kusoma
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 11-13
10 6
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kudodosa
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 64-65
11 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
11 2
kuandika
Kuandika
Ratiba
Ushairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 uk 100-101
11 3
kusoma
mchezo wa kuigiza
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa kudadisi ufahamu
-kujibu maswali ya ufahamu
-     
Kusoma
Kukariri
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 125
11 4
kuandika
utungaji wa kiuamilifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-mwanfunnzi aweze kutumia utungaji wa kiuamilifu

Kusoma
Kufupisha

Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 4 Uk 144
11 5
Kusikiliza na kuzungumza
ushairi nyimbo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kukariri mashairi
kuimba nyimno
kutambua dhima ya nyimbo
kutunga mifano wa wimbo
Kisikiliza na kushiriki
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 156-157
11 6
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
somo
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
12 1
Kuandika
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua aina za mahojiano
Kusoma
Kufupisha

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 174
12 2
Kisikiliza na kuongea
Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kusikiliaza hotuba kasha kujibu maswali
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 168-169
12 3
Sarufi
Kuandika
Nyakati na hali marudio
mahojiano na dayolojia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
kutambua kiambishi cha wakati na matumizi yake katika setensi
mfano
-li-( uliopita) walisherehekea
kiambishi cha hali
-me- timilifu
wahalifu wamefungwa
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza
kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 170-172
12 4
Kisikiliza na kuongea
Fasihi simulizi Mafumbo Misimu Kazi mradi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
mwanfunzi kutambua maana ya mafumbo
kueleza umuhimu wa mafumbo
kutoa mifano ya mafumbo
kueleza maana ya misimu
kutoa mifano ya misimu
Malumbano
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 177-179
12 5
Sarufi
Uakifishaji
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuakifisha sentensi
kutambua ukanushi katika kiambishi cha wakati nna kiambishi cha hali
Kutaja
Kueleza

kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 181
12 6
Kusoma
Shairi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kusoma kwa makini na kwa Shairi
-kujibu maswali ya ufahamu
Kusoma
Kujibu maswali
Kitabu
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 188-189
13

MTIHANI WA MWISHO WA MUHULA NA KUFUNGA SHULE


Your Name Comes Here


Download

Feedback