Home







MAAZIMIO YA KAZI
Kiswahili
KIDATO CHA TATU
MWAKA WA 2025
MUHULA WA I

School


To enable/disable signing area for H.O.D & Principal, click here to update signature status on your profile.




To enable/disable showing Teachers name and TSC Number, click here to update teacher details status on your profile.












Did you know that you can edit this scheme? Just click on the part you want to edit!!! (Shift+Enter creates a new line)


WK KIPINDI MADA KUU MADA NDOGO SHABAHA MBINU VIFAA ASILIA MAONI
1

Kufungua shule na kufanya marudio ya mtihani wa muhula uliopita

2 1
Kusikiliza na kuzungumza
Isimu jamii; Sajili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya sajili.
Kutaja na kufafanua sifa za sajili ya dini.
Kuigiza maamkizi na mazungumzo katika sehemu za maabadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 1-3
2 2-3
Kusoma kwa ufahamu
Sarufi
Ufahamu; Asali Yawa Shubiri
Viulizi
Vivumishi vya Idadi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maudhui ya ufahamu.
Kufafanua maana za methali zilizotumika kwenye ufahamu.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza maana ya viulizi.Kutumia kiulizi kifaacho kukamilisha maswali.
Kutunga sentensi zenye kiulizi –pi na kiulizi –ngapi.
Kueleza maana ya vivumishi vya idadi.Kutumia kivumishi kwenye mabano kukamilisha sentensi ipasavyo.
Kutunga sentensi kutumia vivumishi vya idadi.
Kueleza
Kujadiliana
Kuandika
Kuuliza maswali
Utafiti
Kueleza
Kuandika
Kujadiliana
Kuuliza maswali
Kazi ya vikundi
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kamusi ya Methali
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 3-7
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 10-11
2 4
Kusoma
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthiliaKufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 5
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Fasihi andishi; Muktadha na usuli wa tamthilia
Kusoma magazeti: Tahariri na Habari
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya tamthilia
Kufafanua muktadha tofauti ya tamthilia
Kunasibisha muktadha wa usuli na maudhui ya tamthilia
Kueleza maana ya tahariri.
Kusoma tahariri aliyopewa kwa sauti, akidondoa mambo muhimu kisha kujadiliana kuhusu maoni ya mhariri.
Kutambua habari za Kitaifa na Kimataifa kwenye magazeti.
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha
Kuuliza maswali
Kuandika
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
2 6
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu: Barua Rasmi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo na sehemu kuu za barua rasmi.
Kupambanua msamiati wa uandishi wa barua rasmi.
Kuandika barua rasmi kwa kuzingatia kanuni zake.
Maelezo
Ufafanuzi
Kujadili vidokezo
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Nakala halisi ya barua rasmi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 13-16
3 1
Kusikiliza na kuzungumza
Dhima ya Fasihi kwa jumla
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza nafasi ya fasihi simulizi katika jamii.
Kutaja sifa za fasihi simulizi.
Kufafanua vipera vya fasihi simulizi.
Kueleza umuhimu wa fasihi Simulizi
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 17-19
3 2-3
Kusoma kwa Ufahamu
Kusoma (fasihi)
Shairi: Mikanda Tujifungeni
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma na kutaja maudhui katika shairi.
Kueleza sifa bainifu za shairi huru.
Kujibu maswali yatokanayo na shairi huru kwa usahihi.
Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia.
Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule.
Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali.
Kueleza umuhimu wa wahusika katika tamthilia.
Kutaja wahusika wote kutoka tamthilia teule.
Kutofautisha wahusika wa aina mbalimbali.
Kusoma.
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Uchambuzi
Kusoma
Kujadili
Kutafiti zaidi
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Shairi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 20-21
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
3 4
Sarufi
‘A’ Unganifu
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa ‘A’ unganifu.
Kutunga sentensi akitumia ‘A’ unganifu mwafaka pamoja na nomino.
Kukamilisha sentensi kwa kutumia ‘A’ unganifu.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 21-23
3 5
Sarufi
Virejeshi ‘O’ na ‘amba’
Matumizi ya ‘O’ rejeshi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kirejeshi ‘amba’
Kutumia kirejeshi ‘amba’ katika sentensi.
Kutunga sentensi akitumia kirejeshi ‘amba’
Kueleza matumizi ya ‘O’ rejeshi.
Kutumia ‘O’ rejeshi katika sentensi.
Kujibu maswali kwa usahihi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 23-24
3 6
Sarufi
Viashiria visisitizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza matumizi ya kiashiria kisisitizi.
Kuandika sentensi katika umoja na wingi akitumia kiashiria kisisitizi.
Kutumia kiashiria kisisitizi kukamilisha sentensi.
Kusoma
Kusikiliza
Kuandika
Kujadiliana
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 25-28
4 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule.
Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule.
Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
4 2-3
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kuandika
Fasihi Andishi; Wahusika na uhusika katika Tamthilia
Kusoma kwa sauti; Barua kwa Mhariri
Utungaji wa Kiuamilifu; Barua kwa Mhariri
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja hulka (sifa) za wahusika katika tamthilia teule.
Kueleza sifa za wahusika katika tamthilia teule.
Kufafanua sifa za wahusika kwa kutoa mifano katika tamthilia.
Kueleza maana ya barua kwa mhariri
Kusoma mfano kitabuni na gazetini kisha kufafanua sifa bainifu.
Kuandika sifa bainifu kwa mhariri kwa usahihi.
Kueleza muundo wa barua kwa mhariri.
Kufafanua maudhui ya barua kwa mhariri.
Kuandika barua kwa mhariri wa gazeti.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kutafiti zaidi
Kueleza
Kueleza
Kujadili
Kusoma
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Magazeti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 29-31
4 4
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu; Zimwi Limeingia Duniani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maadili na maudhui ya kifungu.
Kujibu maswali kutokana na ufahamu.
Kutambua umuhimu wa kuwa msikivu.
Kusikiliza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 32-33
4 5
Sarufi
Kusoma (fasihi)
Vivumishi kwa pekee
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kubainisha matumizi ya vivumishi vya pekee.
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano.
Kueleza mtindo katika tamthilia.
Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia.
Maelezo
Ufafanuzi
Majadiliano
Uchunguzi
Uvumbuzi
Kazi ya vikundi
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 33-38
4 6
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi muundo na mtindo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kufafanua muundo wa tamthilia kwa kutoa mifano.
Kueleza mtindo katika tamthilia.
Kutaja kaida za utunzi wa tamthilia.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 1
Kusoma
Kusoma kwa Mapana; UKIMWI
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya maswala ibuka.
Kusoma makala yanayohusu afya ya na Ukimwi.
Kujibu maswali yanahosu makala.
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 38-39
5 2-3
Kuandika
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma kwa Ufahamu
Utungaji wa Kiuamilifu; Resipe, Muhtasari
Maamkizi na Mazungumzo
Umoja wa Kitaifa
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza mambo yanayozingatiwa katika uandishi wa resipe.
Kuandika resipe ya chakula akipendacho.
Kutaja hatua kuu katika uandishi wa muhtasari.
Kupambanua lugha (sajili) ya mazungumzo kitabuni.
Kutambua hasara za utengano.
Kueleza msamiati mpya na kujibu maswali kwa usahihi.
Kueleza umuhimu wa usanifishaji.
Kusoma ufahamu, ‘Umoja wa Kitaifa’
Kufafanua mambo yanayosaidia kuleta umoja wa Kitaifa hapa nchini.
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Majadiliano
Mazoezi
Kueleza
Kusoma kwa sauti
Kuigiza
Kujadili ujumbe na muundo
Kujibu maswali
Usomaji
Maelezo
Maswali na majibu.
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 39-41
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 43-44
5 4
Kusoma (fasihi)
Matumizi ya lugha katika fasihi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake.
Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule)
Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 5
Kusoma (fasihi)
Sarufi
Matumizi ya lugha katika fasihi
Vielezi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tamathali za usemi na umuhimu wake.
Kutaja mifano katika kazi ya fasihi (kitabu teule)
Kujibu maswali kwa kurejelea kitabu teule.
Kueleza dhana ya vielezi.
Kueleza aina za vielezi.
Kutunga sentensi kwa kutumia vielezi.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Utafiti
Maelezo
Ufafanuzi
Maswali na majibu
Ufafanuzi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
5 6
Kusoma
Utungaji wa Kiuamilifu; Hotuba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kuelezea muundo wa hotuba
Kutaja vipengele muhimu vya hotuba mufti
Kuandika hotuba kwa hati nadhifu.
Kueleza
Kujadili
Kuhutubu mbele ya darasa
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 49-50
6 1
Kuandika
Fasihi Simulizi; Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya isimujamii.
Kufafanua maana ya sajili katika lugha.
Kuigiza mazungumzo.
Kusoma
Kuigiza
Kujadili
Kusikiliza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 51-52
6 2-3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Fasihi Simulizi; Malumbano ya Utani
Fasihi andishi; Matumizi ya lugha katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya utani.
Kufafanua mwingililiano wa utani na utamaduni.
Kutaja aina za utani.
Kutunga utani mbalimbali.
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali.
Kutumia tamthilia teule kutoa mifano.
Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe.
Kutaja matumizi ya lugha mbalimbali.
Kutumia tamthilia teule kutoa mifano.
Kufafanua jinsi lugha imetumiwa kukuta ujumbe.
Kutamka
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kusoma
Kusoma
Kujadili
Kueleza
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 52-53
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
6 4
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi Simulizi; Ulumbi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya ulumbi na kutoa mifano katika jamii.
Kusoma mifano kitabuni na kuchambua.
Kutofautisha ulumbi na tanzu nyinginezo.
Kusikiliza
Kuuliza maswali
Kuandika
Kusoma
Utafiti (kazi ya ziada)
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 53-54
6 5
Sarufi
Kusoma
Viwakilishi (W)
Kusoma kwa Kina; Historia na Maendeleo ya Kiswahili
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja aina za viwakilishi.
Kueleza na kubainisha aina za viwakilishi.
Kutumia viwakilishi katika sentensi kwa usahihi.
Kutaja lahaja za Kiswahili na kule zinakozungumzwa.
Kufafanua chimbuko la Kiswahili.
Kueleza ushahidi wa kihistoria unaoonyeshwa kuwa kiswahili kilizungumzwa katika sehemu ya Afrika Mashariki.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kujibu maswali
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 56-60
6 6
Kuandika
Uandishi wa Insha; Insha ya Mazungumzo
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza muundo wa mazungumzo.
Kusoma mfano kitabuni na kufafanua kimtindo na ujumbe.
Kuandika insha ya mazungumzo kwa njia ifaayo.
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kuigiza mazungumzo
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 62-63
7 1
Kusoma (fasihi)
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7 2
Kusoma (fasihi)
Kusikiliza na kuzungumza
Fasihi andishi; Maadili na mafunzo katika tamthilia
Isimujamii; Mahakamani
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kutaja maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kufafanua maadili na mafunzo ya tamthilia teule.
Kueleza jinsi tamthilia inaafikiana na matukio ya sasa katika jamii.
Kutaja sifa za lugha (sajili) ya mahakamani.
Kueleza kaida na wafanyikazi wa Mahakamani.
Kusoma kifungu na kujibu maswali.
Kusoma
Kujadili
Maswali na majibu
Kuandika
Kudodosa
Kuigiza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kamusi ya Kiswahili
Kitabu cha Fasihi Simulizi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
7-8

Kufanya mjarabu wa kati ya muhula na kwenda likizo ndogo

8 6
Sarufi
Mwingiliano wa Maneno
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza sehemu mbili kuu za sentensi (KN na KT)
Kutambua sifa za KN na KT.
Kuonyesha KN na KT katika sentensi.
Kueleza
Kusoma
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 69-70
9 1
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifu; Makala ya Redio na Runinga
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma habari kwa kina na kueleza yaliyomo.
Kueleza umuhimu wa vyombo za habari.
Kuandika makala yatakayosomwa katika kipindi kimojawapo cha redio.
Maswali ya dodoso
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Redio na vinasa sauti
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 71
9 2-3
Kusikiliza na kuzungumza
Kusoma (fasihi)
Isimujamii; Mahojiano kati ya Wataalamu Wawili
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kusoma kwa kina; Fasihi andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma kifungu na kueleza.
Kueleza sifa za lugha (sajili) ya Wataalamu.
Kupambanua mazungumzo kwa kuzingatia sajili.
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kupambanua falsafa na itihadi ya mwandishi wa tamthilia
Kutaja maadili katika tamthilia
Kuchambua vipengele tofauti za fasihi.
Kueleza
Kusoma
Kujadili
Kuigiza
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kusoma
Kujadili
Kuwasilisha mbele ya darasa
Kuandika
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 72-73
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
9 4
Sarufi
Vitenzi; Mzizi wa Kitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kubainisha mizizi ya vitenzi.
Kutambua viambishi awali na tamati.
Kuonyesha mzizi wa kila kitenzi alichopewa kisha anyambue.
Kueleza
Kutunga sentensi
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 74-75
9 5
Kusoma
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Uchambuzi wa Fasihi Andishi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza tofauti iliyopo baina ya riwaya, tamthilia na ushairi.
Kutoa sababu zinazoweza kumfanya mwandishi kutumia lafudhi mbalimbali katika kazi yake.
Kutaja lugha na mbinu au mitindo mbalimbali wanayotumia wasanii kuwasiliana na hadhira.
Maelezo
Ufafanuzi.
Ufaraguzi.
Majadiliano.
Maswali na majibu
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 75-80
9 6
Kuandika
Utungaji wa Kiuamilifi; Mialiko
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza maana ya barua ya mwaliko.
Kutaja sifa za barua za mwaliko.
Kuchora na kuandika kadi ya mwaliko.
Kusoma
Kujadili
Kuandika
Kuchora
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo wa Mwalimu
Kamusi ya Kiswahili
KLB; Kiswahili Kitukuzwe Kidato cha tatu Uk. 80-81
10 1
Kusoma (fasihi)
Muhtasari; Tamthilia
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kusoma tamthilia teule yote.
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
10 2-3
Kusoma (fasihi)
Kusoma
Kusikiliza na kuongea
Muhtasari; Tamthilia
Shairi Nyuki nimekoni?
Fasihi Simulizi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
Kueleza dhamira kwa ufupi.
Kufafanua maudhui kwa ufupi.
kusoma shairi
-sifa za soga
Dhima ya soga
Kusoma riwaya
Kusoma
Kueleza
Kujadili
Kuandika
Kufanya zoezi
kusikiliza
Kitabu Cha Mwanafunzi
Mwongozo Wa Mwalimu
Kichocheo cha Fasihi simulizi na andishi
Kitabu
Kamusi
Kitabu
Kamusi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kiswahili Kitukuzwe 3kidato 3 Uk 91-93
10 4
sarufi
Vinyume vya vitenzi
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
- kueleza Vinyume vya vitenzi
Mafano
Shuka- panda
Nuka-nukia
Lala-amka
Kueleza vitenzi katika hali ya kuamrisha
Kuchanganua
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe 3 kidato 3 Uk 95-96
10 5
Kusoma
kuandika
Maenezi ya Kiswahili
Ratiba
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-Kusoma kwa mapana na marefu
-kupanua msamiati wake
Kutambua maana ya ratiba
-kuandika kwa makini
-kuandika insha nzuri ya maelezo
kusoma
kuandika
Kitabu
Kamusi
Kiswahili Kitukuzwe
kidato 3 Uk 97-100
10 6
Fasihi
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
Kufika mwisho wa funzo mwanafunzi aweze:
-kutambua wahusika mbalimbali na ngazi zao
-kueleza sifa za wahusika
kusoma
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege
BEMBEA YA MAISHA na Timothy Arege. 
11-13

Kufanya mtihani wa mwisho wa muhula na kufunga shule


Your Name Comes Here


Download

Feedback